Hospital za binafsi ni wezi , wezi , wezi wakubwa , siku zoto wanabambikizia bili watu wenye bima . Ukiwa medical personel utagundua wanavyowaibia walala hoi.. Tatizo ni serikali kutokuwa na chombo kinachowafuatilia . Kama huamini nenda hospital tatu ukawaambia una tatizo fulani , utaona unavyobambikiziwa vipimo vikumba visivyo na tija ili ulipe hela nyingi