Waziri wa Afya kazi imemshinda tishio la Hospitali binafsi kuikataa NHIF

Wenyewe wamalizane huko huko sie tunatak huduma pesa wanakata kwahiyo wapambane tu ila ila wafike mwisho
 
Wajinga kama wewe ni mzigo kwa taifa
 
Inasemekana majizi baada ya kukaziwa na serikali yameona bora yakubali yaishe.
 
Nhif ni saccos wanakopeshana wao KWA wao na ni benki pia wanakopesha taasisi za umma hata serikali kukuu hujichotea hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…