Ndio unasema uongo.Watakuwa wanatumiwa tu na mabeberu waarabu koko hao.
Hizi ni chuki tu za mabeberu kwa kipenzi cha Mungu Dkt JPM.
Watakuwa wanatuonea wivu tu kwa kuwa tuko uchumi wa kati.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Wewe kama nani unaiambia dunia?Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Una maanisha kama huyu mhandisi?Dunia nzima tujifunze kuishi na hivi vijimafua visivyo na madhara yoyote kwa binadamu, kuzuia watu kusafiri au lockdown haiwezi kuwa suluhisho make hivi vijimafua bado vipo vipo saaana tu!
Vyetu huwa vya mbuzi na mapapai. Siyo vya watu.Kwani ukiwahi kusikia kuwa tuna vipimo vya corona?
Mbona hawafi wala kuumwa sasa hao wasafiri?View attachment 1703573
View attachment 1703577
Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Kumbe waTanzania wenye angalau akili kichwani bado mpo, safi sana..Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.
18% tu alafu unasitisha safari?? Yeye nchini kwake maambukizi ni % ngapi??View attachment 1703573
View attachment 1703577
Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Watu wanalalamika humu, kwanin wasitengeneze chanjo zao wenyew ?wamekalia kulalamika mara ooh Wazungu wanataka watuue, Sasa najiulz mnaopinga chanjo si mtengeneze yenu?
Shida ni dola 100 siyo kupimwaTaarifa zilizopo ni kwamba huwa wanapimwa ila huwa wanapewa majibu ya uongo!Yaani unapigwa dola 100 kupima Corona ambayo utaambiwa huna hata kama unayo.
Dunia kwa sasa inatakiwa kuwa makini sana na Tanzania kuliko hata corona, hebu fikilia hao ni wasafiri waliopimwa kabla ya kuondoka vipi walioko huko vijijini
Ukipinga chanjo itabidi upinge Kila kitu, pinga madawa yote ya Kizungu, pinga elimu ya Mzungu, pinga simu ya Mzungu, Pinga dini ya Mzungu, au Kama vp tengeneza chanjo yako unayoiamini iweze kutusaidia, Ila kama unapiga porojo tu na hata nguo ulizovaa zimetoka kwa Wazungu.
Sasa huo ni mlinganisho wa kimahesab zaid. Maisha hayako hivyo. Kwan huwez kuwa na rafiki unaweza kufanya nae biashara lakin hamwez kukopeshana? Chanjo hii ina maswali meng kuliko majibu. Iwe kwetu. Iwe kwao. Iwe kwa jiran zao. Afya haijaribiwi. Nijibu kwanini South Africa wameisitisha chanjo? Kweli hili jiongeze maarifa zaidi ya milengo ya kisiasa. Muhim tushirikiane kumwomba Mungu ashughulike na kidudu na aliyetengeneza.Ukipinga chanjo itabidi upinge Kila kitu, pinga madawa yote ya Kizungu, pinga elimu ya Mzungu, pinga simu ya Mzungu, Pinga dini ya Mzungu, au Kama vp tengeneza chanjo yako unayoiamini iweze kutusaidia, Ila kama unapiga porojo tu na hata nguo ulizovaa zimetoka kwa Wazungu basi hoja yko haina mashiko
Mbona hawafi wala kuumwa sasa hao wasafiri?
Sasa huo ni mlinganisho wa kimahesab zaid. Maisha hayako hivyo. Kwan huwez kuwa na rafiki unaweza kufanya nae biashara lakin hamwez kukopeshana? Chanjo hii ina maswali meng kuliko majibu. Iwe kwetu. Iwe kwao. Iwe kwa jiran zao. Afya haijaribiwi. Nijibu kwanini South Africa wameisitisha chanjo?
Watakuwa wanatumiwa tu na mabeberu waarabu koko hao.
Hizi ni chuki tu za mabeberu kwa kipenzi cha Mungu Dkt JPM.
Watakuwa wanatuonea wivu tu kwa kuwa tuko uchumi wa kati.
Au nasema uongo ndugu zangu?unasema ujinga wa kiwango cha juuu
Wewe kama nani unaiambia dunia?
Ndio unasema uongo.
Kama airport huijui iko wapi hii topic wala haikuhusu stand iko Mbezi siku hizi.We kapigwe chanjo tu uendelee na maisha yako.....tusipangiane
Hakuna anayependa mtanzania afe. Nchi hii haijawai kuzalisha shetan. Naamin kupitia chanjo hata wewe huna uhakika kuwa watu hawatakufa. Kuwa umepata suluhisho. Sio tiba ile. Haijathibitishwa ipasavyo. MRNA sio kama chanjo nyingine ulizotolea mfano. Ni bora nusu shari kuliko shari kamili. Katika vita kuna askar hupotea pia. Mashujaa. Tumetupiwa tatzo. Tulikabili kwa namna hatutazalisha tatzo kubwa zaid. Tena la kudumu.Chanjo ya South Africa imesitishwa kwa sababu ufanisi wake kwa virus vipya vya South Africa ni mdogo. Zipo chanjo katika zilizopo zenye ufanisi pia na kwa virus hivi. Iliyositoshwa itaelekezwa kusiko virus vya South Africa. Tatizo like wapi?
Si nchi zote zina virus daraja hili la Africa Kusini ambavyo ni vikali zaidi.
Kwani sisi vya Africa Kusini vipo hapa nchini kwetu pia? Au navyo ni nyara za serikali?
Chanjo haina maswali yoyote zaidi ya kuwa wasio wataalamu wameteka nyara mambo ya ugonjwa huu kwa maslahi binafsi.
Enyi msiokuwa katika makundi yaliyoko hatarini tafadhali fungeni midomo yenu inanuka uvundo! Mna nini cha kufanya nyie au mnawacheza shere tu hawa wanaokufa?
Tanzania tunakiri corona ipo. Hata Abas kashaliweka sawa. Ila tunatofautiana namna ya kukabiliana nayo. Sisi kama nchi hatuko tayar kwa chanjo ambayo haijafanyiwa uhakiki wa kutosha. Hatuko tayar kwa lockdown. Sana sana tuongeze vifaa tiba kama oxygen na watoa huduma wa kutosha ikibid. Tuchukue taadhar za kawaida kama usafi, distancing na barakoa[barakoa si muhim sana]. Tupunguze mikusanyiko isiyo ya lazma[lakin ya kiuzalishaji iendelee]. Pia tuziamin dawa zetu za asili kama kufukiza na limao na tangawizi. na tule vyakula vya kuongeza virutubisho kinga. Tuone kama herd immunity pia itafanya kaz. Tusijiingize kwenye mbinu zinazotugharim kwa tija kidogo. Muhim zaid tupunguze hofu mana huu si ugonjwa wa kuisha leo. Tukabilane nao. Lawana na laana ziwaendee waliotengeneza hiyo virus kwa maslahi yao.