Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

Waziri wa Afya Oman: Asilimia 18% ya wasafiri wanaotokea Tanzania wamekutwa na maambukizi ya virusi vya corona, tunafikiria kusitisha safari za ndege

View attachment 1703573
View attachment 1703577

Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Sisi hata mapapai na mbuzi tumekuta Yana Corona,Ngoja kidogo chato Capitol Hill itupe msimamo
 
Wapimwe kwa kutumia vioimo vipi?Maana mkuu alishasema vipimo vyote ni feki kwahiyo vinaonesha majibu yasiyo sahihi hivyo kutupilia mbali zoezi la upinaji tangu April mwaka jana
Tunahitaji mkono wa MUNGU wenye nguvu kuingilia hii hali lasivyo tutahangaika sana
 
Taarifa zilizopo ni kwamba huwa wanapimwa ila huwa wanapewa majibu ya uongo!Yaani unapigwa dola 100 kupima Corona ambayo utaambiwa huna hata kama unayo.
Sasa wanafanya hivyo kwa faida ya nani jamani? Huko si kukumbatia bomu? Ee MUNGU aliyeturoga nani, mbona tunakuwa kama Wagalatia 3:1?
 
Oman wako serious na hili gonjwa...kwangu nawaona wako sawa kufungia ndege za kutoka tz. Fungaaaaaa fungaaaaa
 
View attachment 1703573
View attachment 1703577

Waziri wa Afya wa Oman amethibitisha takwimu za maambukizi ya Corona kwa wasafiri wanaotokea nchini Tanzania kuwa katika kiwango cha juu sana, ambapo asilimia 18 ya wasafiri wamekutwa na maambukizi ya virusi hivyo. Waziri huyo amesema wanafikiria kuzuia safari za ndege kutoka nchi zinazoonyesha kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi ya virusi vya corona.
Jamani chanjo ije mwenye kutaka kupata aruhusiwe tu. Maana hali za afya. Mungu tusaidie tu
 
Mkuu kuna elimu ya huu ugonjwa watu hawapewi vya kutosha. Kupata corona sio lazima uumwe unaweza ukawa positive na usijue kabisa tatizo unaweza kumuambukiza mtu bila kujuwa na huyo mtu akapata shida sana hata kupoteza maisha sababu watu tunatofautiana. chukulia mtu kabeba virus bila kujuwa kapelekea wazazi wake watu wazima ua kati ya family yake ukawachukuwa vibaya wakapoteza maisha au kuteseka. hatari ya ugonjwa huu ni dalili zake kuchukuwa muda ndio maana unaambiwa ukae siku 14. Oman wamekuja na number hizi kwa sababu ukifika Oman inabidi ulipe dola 70 wanachukuwa kipimo cha PCR halafu unatakiwa uchukuwe Hotel kwa hesabu yako ukae ukisubiri majibu siku ya pili unatumiwa majibu yakiwa mazuri ndio unaenda unakoenda ukiwa positive inabidi ukae quarantine hesabu yako hotelini. ndege ikitoka Tz wanachukuliwa vipimo hata kama una certificate ya negative sasa hapo ndio majibu yanatoka katika kila abiria 100 kumi na nane yanatoka positive. Na hii wanafanyiwa abiria wote ncho zote. sampling kama hii ni kama kusema 18% ya watanzania wana corona, kuumwa au kutokuumwa sio issue wengi wanapata bila kujuwa kabisa hatari yake kumuambukiza mtu dhaifu. tujikinge sisi na family zetu na majirani zetu na hata tusiowajuwa.
Na wewe pia nakuweka kwenye kundi la great thinker maana umefafanua vizuri sana
 
Hapana B

Jamani wa Tanzania tumemkosea nini Mungu?? hivi wewe unaandika kabisa na kujiamini kuwa tunachofanya ni sawa?? Huu ugonjwa sio issue ya Tanzania ni duniani kote chanjo utapiga unataka hutaki ni lazima jeuri yako italeta majanga kwa watu wengine hii sio optional tena, adhabu ya kwanza zitapigwa ban ndege zote kutua hakuna nchi itakayochukuwa risk kuwapelekea ugonjwa mbaya zaidi kuruhusu virus kubaki katika mzunguko ni kuvipa njia ya kujiegeuza na kuunza upya hili halitakubalika. Israel wameshasema jana 71% wamepata chanjo na drop ya wagonjwa 94% na UK number zinashuka USA number zinashuka unataka prove gani, piga marufuku basi na chanjo zote za watoto maana huko ndio wangetupa kama wanatutaka waje kutufunga uzazi leo watu wenyewe hata kwa vumbi la congo huna faida. Dunia nzima wako serious ila sisi tu wenye nyimbo ya uchumi wa kati(fake) ndio tuko smart sana? Nailaumu CCM wanaipeleka hii nchi kubaya na tutafika huko kama ZANUPF. tutafika tu ila kurudi ndio kimbembe.
Usijifanye mjuaji saana kuliko rais mwenye reliable source of information..... Na pili hujumuelewa anachosema mpaka na sisi tujiridhishe kwani hujui Kuna chanjo tofauti tofauti?? Unadhani wanazo chanja wao ndizo za kwetu??
Msipende kupinga pinga tuuu tulieni muelewe akili kubwa ya Rais.
Unasemaje mwaka Jana na man lockdown yao ?? Yalisaidia nn ukilinganisha na sisi?
 
Usijifanye mjuaji saana kuliko rais mwenye reliable source of information..... Na pili hujumuelewa anachosema mpaka na sisi tujiridhishe kwani hujui Kuna chanjo tofauti tofauti?? Unadhani wanazo chanja wao ndizo za kwetu??
Msipende kupinga pinga tuuu tulieni muelewe akili kubwa ya Rais.
Unasemaje mwaka Jana na man lockdown yao ?? Yalisaidia nn ukilinganisha na sisi?
Baba Jay rose ahhh source zake waziri wa afya Gwajima mama wa kula matunda 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 haya wanamzika makamu wa Rais Zanzibar
 
Usijifanye mjuaji saana kuliko rais mwenye reliable source of information..... Na pili hujumuelewa anachosema mpaka na sisi tujiridhishe kwani hujui Kuna chanjo tofauti tofauti?? Unadhani wanazo chanja wao ndizo za kwetu??
Msipende kupinga pinga tuuu tulieni muelewe akili kubwa ya Rais.
Unasemaje mwaka Jana na man lockdown yao ?? Yalisaidia nn ukilinganisha na sisi?
Huu ni upumbavu sio ujinga, nenda Hosp kaone watu wanavyopigania maisha yao kwa akili za kijinga hawa viongozi.
 
Ndo madhara ya kuamini katika ushirikina na imani mfu hii hapa. Wenzenu wanaamini katika process na ndyo sayansi mnataka mtu aseme twende lockdown na tuvae barakoa corona ipotee paap. Na waliokufa wafufuke. Wenzenu wanaamin katika facts na sio kumjaribu jaribu Mungu 2 na midhambi yenu afu mnataka msaidiwe. Wenzi waliweka vizuizi kwanza ili wapunguze rate ya maambukizi kutokana na muda na wanaeza sema wamefanikiwa kwa hilo kwasbabu rate imepungua badala ya kuongezeka kama walivoacha
Mwaka Jana, majbu mliyapata pamoja yakwamba hatukutoa twakwimu lakini ushahidi wa uhalisia mtaani kwenu mnaujua kwamba waliondoka wangapi??
So far mnamajibu Nani alikua na akili kwenye kupambana na Corona . Kama we Ni mtoto wa utakua na familia sio Kila kitu uige ige have your own ways to solve tatiso au tumia ile iliyoonesha mafanikio.
Magufuli did the best kwa wakati wake and I praise God for him
 
Baba Jay rose ahhh source zake waziri wa afya Gwajima mama wa kula matunda 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 haya wanamzika makamu wa Rais Zanzibar
Nadhani mnaweza kujichagulia nchi yakwenda mkapambana vizuri na Corona ila Mimi nitabaki na Magu maaana amepambana the best kwakumuamini Mungu kupitia herd immunity kulingana na hali zetu kiuchumi na kijamii
 
Dawa za Madagascar nani aliona mafanikio yake mbona Chopa ya Rais ilitumwa kwenda kuzifuata zilithibitishwa wapi, huuulizi zilienda wapi na umeshawahi kuuliza nani alizibugia. Vita ya Corona ni ngumu sana shida ipo kwenye approach ya wenye dhamana, hutaki lockdown fine lakini kwa nini uhamasishe watu wasivae barakoa. Akili kichwani mwako kijana wewe Corona hautakuumiza ila mkumbuke mzazi wako bado ana hamu ya kuishi
Baba mask sio Kinga ya Corona, ingekua hivo wenzetu huko mbele wasingekufa....! Mbona mnakua malimbujeni?? Inamaana ma profesa na matajiri waliokufa woote hawakuvaa barakoa??
 
Nadhani mnaweza kujichagulia nchi yakwenda mkapambana vizuri na Corona ila Mimi nitabaki na Magu maaana amepambana the best kwakumuamini Mungu kupitia herd immunity kulingana na hali zetu kiuchumi na kijamii
Baba Jay naomba usitumie jazba tumia busara tu, mimi siungi mkono lockdown hapana na heard immunity nikutoa kafara baadhi ya watu sasa Mungu aepushe isiwe watu wako au unaowajua kuwa kafara ya heardy immunity. point hapa ni serikali kuwaambia watu ukweli corona ipo hatari cha kufanya ni kuzuia mikusanyiko isiyo ya lazima na kama inabidi kuwepo na mikusanyiko ni kuvaa barakoa, distance na kunawa mikono na mifano ingeoneshwa na viongozi katika mikutano yao, sio kwamba ingemaliza huu ugonjwa ila ingepunguza maambukizi mtu kwa mtu. uimara wa afya yako sio uimara wa mwingine. Ni hali ya kukiri ugonjwa na tahadhari sio aibu hii.
 
Back
Top Bottom