Unategemea waje na majibu ambayo ni tofauti na mawazo ya Magufuli? Ile professorial rubbish ya mruma itajirudia tena hapa, just waitNi sawa :kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.
Hawajafukuzwa hawa watumishi. Na kuwa mkurugenzi haimaanishi yeye ndiye hupima, wao ni wasimamizi wa wafanyakazi wengi.
Tuwape muda wafanye kazi yao, tusianze kuwa hukumu kabla.
Vinavyochunguzwa vingi naamini, watu uzoefu na taaluma zao hasa wahusika, machines zenyewe, chemicals/ reagents.
Na vingine tusivyo visual.
Hivyo tuwape muda watuletee majibu.
Hawa wakitoa ukweli ambao unawafavor Nyambura na Jacob,lazima Magufuli atasema wamemuhujumu.Dada yangu Ummy usijitoe ufahamu; hawa akina LYAMUYA, SHIRIMA, MARANDU, MSHANA, NA MSANGI wewe unajipenda ? ohoooo!!!! Yaani umekosa akina Masanja, Kobeho, Magige, Cheyo, hata akina Muras
Muda ndio kitu pekee cha kuwapa 😕Ni sawa :kusimamishwa" kupisha uchunguzi ni taratibu za kawaida duniani Kote nadhani.
Hawajafukuzwa hawa watumishi. Na kuwa mkurugenzi haimaanishi yeye ndiye hupima, wao ni wasimamizi wa wafanyakazi wengi.
Tuwape muda wafanye kazi yao, tusianze kuwa hukumu kabla.
Vinavyochunguzwa vingi naamini, watu uzoefu na taaluma zao hasa wahusika, machines zenyewe, chemicals/ reagents.
Na vingine tusivyo visual.
Hivyo tuwape muda watuletee majibu.
Unaweka misumari kwenye mashine ya kusaga mahindi alafu unasema mashine haisagi vizuri!wanawaonea tu ,tatizo wanaweka siasa mbele taaluma nyuma
mi nadhani wa kuwajibika ni waziri na serikali kwa ujumla
maswali ni mengi ,je hivyo vifaa vikingizwa wrong specimen majibu yatakuwa accurate?
wapimaji wanafanya kazi kulingana idadi ya vipimo kwa siku, mean hawapo overwork?
Ndio tulipofikia kama nchi. Doomedaisee,siasa mpaka kwenye maisha ya watu
Ndio,,inabidi sample hizi za mbuzi,fenesi,papai ziipimwe upya kila mtu akishuhudia,majibu yakitoka ndo yataamua,sample zilikua contaminated,Ana mashine Ni fake,ama kulikuwa na uzembe wa kulipua kaziMaabara ya taifa wanatumia PCR. Sioni ajabu RNA ya Coronavirus kukutwa kwenye mbuzi,papai ama fenesi. Yatakuwa yalikuwa contaminated. Otherwise ili kuleta confirmation walitakiwa same sample wapeleke kwenye maabara tofauti hata tano. Hizo information moja tu haiwezi kukonclude kwamba mashine ni mbovu au wapimaji walikosea. The data is not sufficient kuwatuhumu watu.
Yaani hii nchi. Mkurugenzi asimamishwa kazi.
Any way hawa wanakimbia tu tatizo. Mikusanyiko kila sehemu,ukipata cases nyingi za Covid unakuwa suprised kweli ?Unategemea nini wakati mazingira yote yanayofavor propagation yapo ON ?.Only idiots will think that the machine is fake.Ndio,,inabidi sample hizi za mbuzi,fenesi,papai ziipimwe upya kila mtu akishuhudia,majibu yakitoka ndo yataamua,sample zilikua contaminated,Ana mashine Ni fake,ama kulikuwa na uzembe wa kulipua kazi
Ungekuwa scientist usingeona tatizo la Magufuli katika confirmation of his hypothesis.Wewe nawe. Kama mwanasayansi nimeguswa kwenye moyo kabisa. Ndo maana Albert Einstein akajisemea Siasa ni ngumu kuliko phyzikia. Wakati mwingine maamuzi ya wanasiasa ni ya kushangaza.
Wanawaonea tu ,tatizo wanaweka siasa mbele taaluma nyuma mi nadhani wa kuwajibika ni waziri na serikali kwa ujumla
maswali ni mengi ,je hivyo vifaa vikingizwa wrong specimen majibu yatakuwa accurate?
Wapimaji wanafanya kazi kulingana idadi ya vipimo kwa siku, mean hawapo overwork?
How come wakati hatujavuka sample 1000?Mkuu nasikia waakuwa overworked ile mbaya. Wengine wanafanya kazi zaidi ya 24Hrs!
Kamati ya Corona ipo ndio ile inayofanya kazi na Ummy hii ni kamati ya kuchunguza mwenendo wa maabara...………..ulaji mwingine huo watalipwa posho kama kawa……… Tanzania yangu.Nilishangaa mpaka Leo hatuna kamati ya Korona
How come wakati hatujavuka sample 1000?