Waziri wa Afya Ummy Mwalimu, aagiza kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii na Meneja udhibiti na ubora

Soma vizuri bro.
SUA,Mandela,Tmda,ni wataalam wa afya hao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgonjwa mathalani wa moyo amezidiwa, kakimbizwa hospitali, madaktali hawamtibu hadi wajiridhishe na hali yake kuhusu corona, machine inachunguzwa, watu wa maabara wapo chini ya uchunguzi....

Nini hatma ya wagonjwa, hasa waliozidiwa?

Hatima yao sote tunaijua, tuwaongoze sala ya toba tu.
 
Ivi ni kweli papai limepimwa likakutwa na corona,,? Haini ingii akilini.
Majimaji yake yalipelekwa kama sampuli ya kupimwa na yakapimwa!!
Baba mwenye nyumba kashasema sasa wewe ikuingie akilini au ikatae ndo keshasema......tutulie tu tunyolewe mwanawane…………… Nifanyieni booking Chatto nikapumzishe akili mie.
 
Alishauri nchi zingine pia zipime papai! 🤣🤣
 
MA
mabeberu sio watu wazuri wanamtumia kila mtu kutoa matokeo hasi na wanatuonea wivu sana hadi wanawatumia watu wa Maabara.
 
Mambo mengine nivizuri kutumia busara kuya kabili hapa tumesha watoa imani watu watu hawajui sasa klpi ni sahihi haya mambo ni technical sana tena world Wise tuna haribu
 
Nlifikir kamati ya kuingia chimbo kutafta dawa. Kama majibu anayo anko kuna haja gani ya kuharibu pesa?

Hapo hakuna atakayekuja na majibu tofauti na yaliyotolewa jana na anko.
 
Ivi ni kweli papai limepimwa likakutwa na corona,,? Haini ingii akilini.
Inaweza isiingie Akili yako lakini kwa alibukua vizuri sayansi inaingia fresh tu. Inaitwa false positive FP ama false negative FN pale unapotumia sampuli isiofaa
 
ushauri kwa wanaoanzisha mada wanatakiwa kuwa neutral kuacha wasomaji watafsiri kwa muono wao na si kuanzisha mada na kuwaelekeza wapi wapite. mfano

"Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuwasimamisha kazi Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii, Jacob Lusekelo na Meneja uthibiti na ubora ili kupisha uchunguzi.

Sasa wameanza kushughulika na wataalam badala ya kudeal na Corona".
HAPA KUNA SHIDA HISIA ZIMEMZIDI AKILI
 
Hilo nalo ni neno!
Pia wangeshirikisha wataalamu toka WHO au Namibia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana Umy Mwalimu kuna Watu wanatumika kuidhalilisha taaluma yetu, tunasoma miaka 4 harafu jitu moja linasababisha tuonekane si wazalendo.
 
Safi sana Umy Mwalimu kuna Watu wanatumika kuidhalilisha taaluma yetu, tunasoma miaka 4 harafu jitu moja linasababisha tuonekane si wazalendo.
Kwa hiyo wamehongwa na mabeberu siyo ?Mabeberu hawa hawa wanaowapa ARV za bure ?
 
Exactly👊👊👊...Nimeshangaa kuna watu walitaka serikali ikae kimya kwa hili...Mtoa mada yeye anaona wakifanya hivi basi hawadeal na #covid19.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…