Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Kafuata ushauri wa Rais, sasa angetoa taarifa iliyokamilika zaidi; maambukizi mapya kama wapo ataje idadi, vifo kama vipo, then na hao waliopona.

Ila huo ushauri wa bosi wake nao ni kama mtego, wasije sema wamepona wengi ili wamfurahishe jamaa, kumbe ukweli ni kinyume chake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya ile hotuba nilitegemea hili kutokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
swakatktaa...plus yale mabadiliko ya katibu mkuu wizara ya afya.
akina Ummy wanafanya kile boss anataka kusikia tuu ilimradi umma usipate taharuki hata kama hakuna uhalisia!.

hii ni hatari sana mkuu, tunapika takwimu kuficha ukweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu eti unaomba usamehewe madeni wakati unaficha takwimu!Hao jamaa sio wajinga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…