Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu: Wagonjwa 37 wamethibitishwa kupona virusi vya Corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani

Kwa sasa Uganda ndo inaitangazia Tanzania visa vinavyopatikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni mbaya sana, wagonjwa wetu kupatikana Uganda; ila inawezekana wameupata hukohuko Uganda!, Kuna shida kubwa yaweza kutokea, kama madreva kutoka TZ watakuwa wanaonekana kuwa na corona wanapofika nchi za jirani, kuna hatari nchi hizi zikasusia bandari ya DSM, zikatumia zaidi Mombasa
 
Back
Top Bottom