NASENA HATA WANAOPONA MWATAJE WATU WAPATE MATUMAINI. 37 RISE ABRUPTLY!#NipasheHabari Waziri wa Afya @ummymwalimu amesema leo Aprili 24, 2020 wagonjwa 37 amethibitishwa kupona virusi vya corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani.
Mbona kama vile unaombea mabaya?Nachojua maji yatakapozidi unga kuna mtu atalia mbele ya press bila kujali Dunia inamwangalia hiyo siku yaja
Magufuli alisema wamepona 100 mbona waziri kasema wamepona 37 na sio 100!! Tumuamini nani kati yao?Chukua namba ndogo mkuu ufurahishe nafsi maana hupendi habari nzuri za taifa hili.
Magufuli alisema wamepona 100 mbona waziri kasema wamepona 37 na sio 100!! Tumuamini nani kati yao?Kwanini wengi mnatamani idadi kubwa itangazwe ya wenye maambukizi na waliokufa kama siyo roho ya uchawi inawasumbua
♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Wanasema uongo!Hajasema wamepima wangapi?
Kujibusti
too late,waogope technologyLeo lazima Magufuli atweet. Naona wameanza kunata na beat yake. Pia hakuna tena kutangaza maambukizi wala vifo 😁😁
Ni habari nzuri,#NipasheHabari Waziri wa Afya @ummymwalimu amesema leo Aprili 24, 2020 wagonjwa 37 amethibitishwa kupona virusi vya corona na wameruhusiwa kwenda nyumbani.
Wanasema kumfurahisha! Halafu eti Ummy atafunga! Mwezi mtukufuHakuna maambukizi mapya.
Against all odds, premonition and Corona virus models, the disease is burning itself out!
Jamani Rais alisema walishapona zaidi ya Miamoja ndio maana akaomba watangazwe wanaopona kuanzia sasa, Aliomba watangazwe hao waliopita ndio basi haiwezekani kuwachanganya,nyie ndio walewale mtakaoanza kuuliza maswali yakijinga kuwa hao watu wameponaje kwa muda mfupi 137?na ndio maana hawajachanganywa kuondoa hayo maswaliKwahiyo ni 137 waliopona?
Huyo ni mjinga afe yeye sasa tumtangazeKuna mtu anaumia kwamba, Kwa nini wapone wengi kiasi hicho? Pumbavu kabisa hicho kichwa!!
Nilijua tu maagizo ya jiwe yataaanza kutekelezwa haraka hatutaasikia number kubwa ya waagonjwa tena.Jaman tumekwisha kwa hili jiweWaziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa 37 wa corona wamepona na kuruhusiwa na sasa waliopona wamefikia 48, wagonjwa hao ni kati ya 108 waliothibitika kuwa na corona ila kwa sasa hawana dalili, wengine 71 wanasubiri vipimo vya mwisho na wataruhusiwa.
KwakweliBaada ya maelekezo maalum sasa wagonjwa wanapona kwa kasi- Only in Bongo
Hahahahaha we mjamaa hujipendi, hujui kwamba tumekatazwa kutoa takwimu za uongo..?Kwahiyo ni 137 waliopona?