#COVID19 Waziri wa Afya: Watu 408 wamebainika kuwa na Corona , 284 wakiwa katika mashine za oksijeni

#COVID19 Waziri wa Afya: Watu 408 wamebainika kuwa na Corona , 284 wakiwa katika mashine za oksijeni

Huko Mjini Posta nasikia watu wanasepa sana

Dodoma mmmh...
Halafu ugonjwa unabagua,kuna wengine hauwapati,ni kama story ya hiv tu,wengine hawawi affected,ila wanaweza kuku infect,
Na huwezi jua wewe ni carrier au uko kwenye risk untill it is too late
 
Waziri wa Afya, Dk Dorothy Gwajima amesema watu 408 wamebainika kuwa na ugonjwa wa corona nchini huku 284 wakiwa katika mashine za oksijeni

Waziri kama huyu sijui ni kutuona je? Serikali nao sijui ni kutuona je? Hivi hata takwimu zilizopo kutokea mataifa mengine zinasema je?

Proportion ipi ya wagonjwa wanahitaji matibabu? Ipi itahitaji machine za oksijeni? Wangapi watapona? Wangapi wanakufa?

Kwa nini wasitoe takwimu kama vilivyo kwa mikoa na kwa siku? Takwimu za kupika hizi hazina manufaa yoyote.

Takwimu sahihi ni manufaa kwani ingesaidia uwepo wa tahadhari zaidi kutegemeana na uathirika kwa sehemu.

Kwa nini takwimu za wengine ziko wazi kama hivi:



Wizara yetu hii inahitaji watendaji wapya.
 
Hao waliobaki mbona haelezi wako wapi
Ataje na hospitali zinazowahudumia
Moja wapo Bugando.
Hospitali zote za rufaa na za mikoa zimetenga ward maalumu tangu kipindi cha mwenda zake kwaajli ya wagonjwa wa covid 19.
 
Wakati sisi tunaanza kutoa takwimu wenzetu wameshaacha kutoa.sisi tunatoa malengo tupate msaada na sio kuumaliza ugonjwa.
 
Aisee wenzetu wameshaachana na haya mambo, sisi ndio tumekomaa nayo.
 
Nashauri wasafiri kutoka Kilimanjaro, Arusha, Dar na Mwanza wasiruhusiwe kusambaa mikoa mingine maana katika mikoa hiyo kuna janga la juu na linalotisha la Corona.
 
Back
Top Bottom