Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malimao yao sijui yapo wapi?Baada ya kubanwa mbavu na mabeberu sasa wameanza kuzungumza ukweli
HahahaSerikali ya Samia soon inakwenda kuwaweka ndani wanyonge ...hakuna beberu anayekubali kujenga banda then mifugo ikaendelea kuzulula tu
Yani hiyo idadi nindogo huku mwanza tu ukianzia Hindu hospil bungando seketure hali nimbaya sanaNdio nini sasa hiki ? hao 408 wamegundulika lini ? Na Wapi ? Katika kutambua ukubwa wa tatizo tunatakiwa tuambiwe eneo na kipindi cha muda walipogundulika vinginevyo tunaona ni janja janja tu !