Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Waziri Silaa baada kupitia nyaraka hizo na kusikiliza pande zote zenye mgogoro amewataka wananchi hao wafike ofisi za ardhi za mkoa wa Dar es Salaam na kuhakiki uhalali wa malipo yao ili Serikali iweze kulitafutia ufumbuzi suala hilo.