Kwa sababu ww ni public servant lazima watoto wako wasome shule za kata?this is such a dumb take....haya mawazo ni ya kidikteta.
Labda km sio wa nchi hii ya Tanzania.Mawaziri wote wanatakiwa watoto wao wasome shule za umma
hayo sio ya kijima, nchi zilizostaarabika hufanya hivyoNaona una hallucination kijana. Unamtafutia visa tu waziri. Kwani amefanya kosa gani kupeleka watoto wake katika shule anayotaka kama uwezo upo. Achana na haya mawazo ya kijima dogo.
mambobya nchi hii huwezi kuyajua, pengine ndio chokochoko za makusudi kum dis mama ndaliAtafukuzwa mpka kwenye chama kapiga kwenye mshono
Is she doing her job accordingly ?Ngongo
Kuna kosa Mtanzania yeyote kusomesha watoto shule anayoipenda? Hilo sidhani kama ni kosa kwa mtu yeyote yule. Hilo ni suala la kifamilia na ni maamuzi ya kifamilia. Hayapaswi kuingiliwa.
Hoja iwe ni jinsi gani Waziri anatatua changamoto za Watanzania katika suala zima la elimu. Apigwe mawe au apeee sifa eneo hilo, na sio mambo binafsi ya kifamilia.
Hata akisomesha mtoto Harvard, it's none of our business. Our business is for the minister to do his job accordingly.
Kwa hili umekuwa unfair!
wakati ule tunasoma na kina makongoro kwenda shule za private ilikuwa ni aibu na ndio maana hata chakula cha ukweli kilipatikana shuleni,Watoto wao wangesoma kata na kupanda daladala elimu Ingekuwa bora nchini.Maana Katu huwezi endesha gari ukiwa nje.
Job Ndugai mwanae alisoma shule ya ummaTutajieni mawaziri na viongozi wote ambao watoto wao wanasoma shule za private.
That was supposed to be the topic not some family matters.Is she doing her job accordingly ?
Si mmeona hata mtoto wa PM mstaafu Pinda kashaingia 18 za utawala.....muwe wapole tu.Eeh kule haendi kapuku kule labda kwa nafasi za kawaida ila connection zinahusika kwa 100%.
Wanpachikana watoto wa ma MD na mawaziri mle ikifikia utawala umegeuka kaja raisi mpya wanapandishwa vyeo ndio unashangaa amepewa uwaziri wa fedha πππ Dkt. Gordet Ndalichako kipindi hiko mama yake ni mstaafu
Hapa una maana ya English Medium School au International School? Sina hakika kama International Schools wanavaa uniforms, wanaovaa uniforms ni English Medium Schools. Watu wengi wamekua hawaelewi tofauti ya International Schools na English Medium Schools.Hiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.
Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?
View attachment 1852747
I stand with Antony mtaka!
Watch mwigulu wall tegeta FezaHiki ndicho alichokimaanisha mkuu wa mkoa wa dodoma.
Huyu ni mtoto wa waziri wa tamisemi anayesimamia elimu ngazi ya msingi na sekondari na hapa akiwa amevalia uniform ya international school. Inshort hata waziri hana imani na shule za serikali unafikiri ndio atakuwa na uchungu na mwanao anayesoma shule ya kata?
View attachment 1852747
I stand with Antony mtaka!
Huyo ni wa nyumba ndogoJob Ndugai mwanae alisoma shule ya umma
Hapana jamani, huwezi kumpeleka mtoto hizo shule za Kata na Serikali; yaani kama kweli una uwezo na unampenda mwanao. Hapana! Elimu bure ni elimu hovyo, hakuna cha thamani kisicho na gharama.Heshima sana wanajamvi,
Tanzania pengine ni nchi pekee duniani yenye maajabu yasiyoweza kulinganisha au kufananishwa na nchi nyingine.
Ni jambo la ajabu waziri wa elimu msimamizi wa elimu yenu na mustakabali wetu wa siku zijazo.Waziri wetu huyu watoto wake hawasomi katika shule za umma,wapo katika zile shule zetu "english medium" binafsi. Ikiwa Waziri hana imani na shule zetu za Kata au ukipenda St Kayumba na wakati huo huo yeye ni msimamizi na mwangalizi au ukipenda mlezi mkuu hapeleki watoto wake huko maana yake nini ?.
Mwl Nyerere watoto wake walisoma Tabora,Bunge,Tambaza. Waziri wake wa Elimu aliyajua matatizo yote ya elimu kwakuwa hata watoto wao walisoma shule hizo hizo.Watoto wake walikwenda JKT,walipigana vita vya Uganda hapakuwepo ubaguzi wa aina yoyote kama tunavyoona leo.
Ifike mahali uzalendo usisitizwe katika nyanja kama hizi,ukibahatika kupata nafasi ya kuongoza wizara ya Viwanda basi wewe kama Waziri lazima uonyeshe mfano wa kununua bidhaa za Tanzania mfano thamani za maofisini,nguo. Ukibahatika kuongoza Wizara ya Elimu lazima watoto wako wasome shule za kata wakutane na changamoto za ukosefu wa waalimu,vitabu madarasa,matundu ya choo na nk.Hii itasaidia Wizara kupanga mipango ambayo italenga kuondoa kero zote zinazozikumba shule za umma.
Ni aibu kwa jamii iliyostaharabika kuhubiri jambo ambalo kwa hakika wewe mwenyewe huliamini unalitilia shaka,unalionea aibu,hulipendi hauko tayari jamii yako ya karibu kwa maana ya watoto wako wasilishiriki.
Mama Ndalichako, Ummy ikiwa watoto wenu hawasomi shule za serekali wakati nyinyi ni wasimamizi wakuu wa elimu Tanzania basi hakuna nafasi nyingine zaidi ya kujiuzulu.