The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
- Thread starter
- #41
What do you mean saying "..anything cheap is expensive...?" Who wants cheap things, cheap education...? You or me..?• Zamani za kale, miaka ya arobaini na kitu, na miaka ya tisini na kitu
Serikali iliweza kuwapa huduma zote za kijamii wananchi wanazotaka bure, watu walikuuwa wachache na serikali zilimudu.
View attachment 1829880
'Serikali itahakikisha itatoa huduma za hakika na bure' kwa zama hizi kauli hii haitekelezeki. Abiria chunga mzigo wako. Isitoshe vifaa husika ni vya mwanafunzi mwenyewe.
Kuna baadhi ya shule zimeelemewa, wanafunzi ni wengi kuliko rasilimali zilizopo. Nimesoma shule za kata; huenda Tabora boys na Kibaha hilo tatizo hakuna, ila mnunnulie kam huwezi mwache akapambane. Fikiria shule labda ina , ina Biology takers 180 alafu BS ziko 50 au 25! Acheni utani nyie, wenye pesa hawapelekagi watoto wao shule hizi zetu; wakiwapeleka hutimiza kisemwacho kwenye 'join instruction'
Anything cheap is expensive
Ukipenda, unaweza kurudia kusoma tena andiko langu kuu hapo juu na utaelewa nini mantiki ya hoja yangu...
Sijaogopa kununua kitabu kwa ajili ya mtoto wangu. Lakini pia unadhani kila mzazi anaweza kununua vitabu..? When we are discussing this topic we have to think about other poor people who can't even afford a lunch and dinner and they have children who must go to school...
Hoja yangu ya kujadili ni;
Hivi ni kwanini shule ya serikali isiwe na vitabu? Sababu ni mini hasa...?