Waziri wa Elimu na TAMISEMI, ni sawa Wanafunzi Shule za Serikali kuambiwa waende na dissecting kit na vitabu vya tahasusi?

What do you mean saying "..anything cheap is expensive...?" Who wants cheap things, cheap education...? You or me..?

Ukipenda, unaweza kurudia kusoma tena andiko langu kuu hapo juu na utaelewa nini mantiki ya hoja yangu...

Sijaogopa kununua kitabu kwa ajili ya mtoto wangu. Lakini pia unadhani kila mzazi anaweza kununua vitabu..? When we are discussing this topic we have to think about other poor people who can't even afford a lunch and dinner and they have children who must go to school...

Hoja yangu ya kujadili ni;

Hivi ni kwanini shule ya serikali isiwe na vitabu? Sababu ni mini hasa...?
 
Huenda kwa upande wako uko sawa, ila kwa upande wangu vitabu mimi nitamnunulia mtoto wangu bila hata kuuliza, utanisamehe tu kwa kweli mkuu.
Sawa kabisa. Mimi nitafanya hivyo pia...

Lakini ninachotaka tujadili hapa ni "SHULE ZA SERIKALI NA MAPUNGUFU YAKE". Je, ni sawa na ni kwanini..?

Hii ndiyo mantiki ya hoja yangu lakini hawaelewi wanadhani Mimi naogopa kununua kitabu kwa ajili ya mtoto wangu...

Ishu ni kuwa,serikali yetu haina uwezo kui - equip shule zake na vifaa vya kujifunzia na kufundishia vitabu vikiwemo? Na kwani, ni nini hasa maana " formal" ya "shule"..?
 
Tena shukuru sasa Hiv mnaandikiwa sis ilikuwa unaripot ndo Unajua kumbe kuna dissection kit, kumbe kuna chandi, kumbe kuna scientific calculator, kumbe kuna vitin pamflect
Explain pls...

Una maana gani kusema hivi? Umeelewa hoja yangu kweli...?
 
Kwa hiyo hata darasani inakuwa hivyo sio? Kwa hiyo ndiyo Tanzanianayotujemgea. Tammbua Tanzania sio ya mtu mmoja. Mimi Kama mzazi nipe ufafanuzi.
Ufafanuzi gani unataka? Be specific pls. Niko kwa ajili yako...
 
Wewe pamoja na wazazi wanaojitambua hamna shida mtanunua mabox ya vitabu hata mkitaka kujenga darasani kwa ajili ya watoto wenu. Tatizo ni wazazi ambao wameshasikia elimu bure, hataki kusikia ufagio au kitabu Cha elfu 80 mfano maxmillia kinauzwa Bei g and?

Sikulaumu Ila machozi ya Hawa watoto wanaotaka kutimiza ndoto zao na hazitimii ndizo zitakutesa. Kwa ajili ya ulafi.
 
Serikali ya CCM ni wanafiki na wazandiki wanasema elimu bure ni uwongo huku wazazi wakiamini,huko mashuleni hakuna vitabu kuanzia shule za msingi hadi sekondari unashangaa wazazi yaani maccm yanaamini sijui hawa watanzania wamelogwa au vipi!
Lini walikwambia form six bure?
 
Elimu bure Advance nani alisema?
Kuna cost sharing hata hiyo 70 unayolipa haitoshi ndio maana unaambiwa upeleke mpaka mafagio
 
Mzazii shule nyingi hazina vitabu narudia tena hazina vitabu na vikiwepo nivile vya TIE(Tanzania Institute of Education) ambavyo viko shallow mnoo
 
Labda cha kukushauri, vitabu muhimu sana hata kama havijaandikwa kwenye joining instructions isipokuwa kama huna hela angalia kwanza mahitaji ya umuhimu kisha vitu vingine vitafuata kidogokidogo

#A level inabidi uache ubahiri, hapo bado kuna tuition likizo zina gharama, pamphlets zinahitajika na ikiwezekana pesa ya matumizi ya kutosha maana Kula maharage -ugali siku zote za wiki haijakaa vizur

Shule hazina hela, kuna shule inabidi ziingiziwe mil 38 kwa mwez ila inaingia mil chini ya 25 so zina madeni hatar
 
[emoji23][emoji23]Kumbe mzazi na yeye alipita shule tena special school[emoji23] acheni kumlaumu sasa
 

..serikali imenunua ndege kwa fedha taslim.

..subiri kwanza wamalize kununua ndege then kutakuwa na fedha za kuhudumia mashule.

..au tutakapopata mkopo toka World Bank kugharamia elimu.

..kwani wewe hutaki nchi yetu iwe na ndege?

..hivi hujisikii fahari Tz kuwa na shirika la ndege?
 
Hadi nakuhurumia unavyojitahidi kuwaelewesha hawa viumbe[emoji23] tulia tu kunywa maji ulale it's too complicated! Bongo wajinga wengi mno.
 
Mpeleke Tabora boys
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…