Waziri wa Elimu na TAMISEMI, ni sawa Wanafunzi Shule za Serikali kuambiwa waende na dissecting kit na vitabu vya tahasusi?

Hiyo shule inawapenda hao wanafunzi waliochaguliwa.Shule zingine wanatelekezwa bila hivyo vitu vyote vilivyotajwa wanasoma hadi anamaliza kichwani hana kitu.Elimu bure ni kivuli kinachowalevya wazazi wengi na kujiona kua hawastahili kuwajibika kwa watoto wao.Sikudanganyi elimu bure haiwezi kumtengeneza mwanao awe yule unayemtaka.Shuleni hakuna vifaa muhimu na hivyo vitabu havipo pesa ya kuendesha shule hazipo.Mzee somesha mwanao hali ni tete kwenye hizi shule mpya.
 
Hiyo ndogo mkuu,kwingine unatakiwa dawati na meza!
 
We mwenyewe umekubali kuwa serikali Haina uwezo wa kukidhii mahitaji yote shuleni, so yanayibaki mzazi jitahidi uyatimize kama unahitaji mtoto. Wako afauulu
 
Teh tunapenda mambo ya bure mkubwa, ukisema ada wanaona ni mzigo, tunasahu bure ndio ghali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…