Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda, kauli yako ya kufunga Shule ni kama imedharauliwa au haijasikika. Chukua Kipaza Sauti

Waziri wa Elimu Prof. Adolf Mkenda, kauli yako ya kufunga Shule ni kama imedharauliwa au haijasikika. Chukua Kipaza Sauti

wacha ujamaa wakishamba duniani na ahera kote hakuna usawa
Ujamaa unao wewe hapo. Nchi moja ina systems kadhaa za elimu. Mnataka Alshaab aanzishe shule zake ndio mjue elimu gharama zake nini, kama ukiacha kila mtu afanye anachotaka?
 
Ni afadhali mtoto aende shule akapate hata kadose kama multiplication table kuliko kukaa nyumbani na house girl kuangalia TV channel zisizo na maadili na kushinda na smart phone asubuhi hadi jioni.
Ni bora akatulie shuleni au library kujisomea vitabu kuliko kubaki nyumbani kucheza michezo isiyo eleweka
Ni bora aende shule kuliko kushinda nyumbani na house girl au house boy huku akiwa anadhurula mtaani kwenye vibanda umiza
 
Hii tabia ya watendaji wa Elimu kutotii maagizo ya boss wao either ni ishara ya dharau au ni kushindwa kutii maagizo kwa makusudi. Sisi wazazi tunasubiri watoto wetu kurejea nyumbani alafu wanatokea maafisa Elimu na wakuu wa dhule wasio na nidhamu kwa maboss wao kwa makusudi wanaamua kuwakatalia watoto wetu shuleni.

Hizi shule za binafsi Wana sababu Mfu kuwa watoto wakirudi nyumbani et huwa wanazurura tu. Hii ni dhana ya hovyo kabisa maana wazaz wengine husubiri watoto warudi likizo ili wafundishwe maadili ya kifamilia na kijamii kulingana na ukuaji wao wa akili na mwili.

Wanadai kuwa wazazi huwa wanaridhia. Sio kweli bali wazazi hupewa tu taarifa ya mipango Yao na pale wazazi tunapoitwa huwa km ni kupokea tu agizo kutoka kwa uongozi wa shule. Na km wanaona wakija likizo watazurura basi wawe wanawapatia assignments ili wafanye wawapo makwao. Kinyume na hapo si tu kuwa wanawafanyia watoto ukatili wa kiakili bali wanatunyanyasa wazazi kwa kukosa fursa ya kukaa na kuongea na watoto wetu kadri ya mabadiliko ya miili yao.

Hivi Wizara wakati wanaweka mihula hawa wanaokaidi wanadhani wao walikuwa wajinga. Hakuna elimu Wala kazi isiyo na mapumziko. Hata hao Walimu wanahitaji kupumzika, siyo maroboti. Inafikia wakati watoto wengine wanaenda shule kabla ya kuvunja ungo, wanakaa huko hadi wanavunja ungo na hatimae kukosa taulo za kike.

Hii hali inakera sn, ebu Waziri wa Elimu tumia kipaza sauti ili tuone wapi panavuja.
Kwanza nadhani wew sio mzazi. Watoto wetu waache wabaki shule, tunataka walimu wawe na muda zaidi wa kuwafundisha wanetu.
Wanasiasa hamtakiwi kutuingilia kiivo, ni maamuzi yetu sisi wazazi, na tumechangia fedha zetu ili walimu waendelee kuwafundisha watoto wetu.
Nyie chawa wa kisiasa, tunawaomba tena tunawaomba sana, mmeiharibu nchi sana, na hata tumefikia hapa kielimu na hata mambo mengine kisa nyie chawa wa kisiasa.
Tafadhari Mkenda na hao chawa wako(mfano huyu aliyepost post hii) tuacheni na walimu wetu, mzazi ambaye anamtaka mwanaye akae nae nyumbani kuangalia the ottoman wakawachukue wanao, ila sisi wazazi wengine(huenda sisi ndo wajinga ila nyie msiotaka watoto waendelee na masomo mna akili) tuacheni na makubaliano yetu.
Aisee walimu wa shule x iliyopo tukuyu, kata ya kyimo. Nawashukuru Kwa kunifundishia mwanangu, mnafundisha adi jumamosi, mwanangu kabadirika sana.
Sina Cha kuwalipa walimu, ila MUNGU wa mbinguni awabariki, awape mahitaji yenu, mifuko yenu ijaye adi mkopeshe wengine.
Duuuuuhhhhh!!!! Kwa sababu yenu walimu, na hata Mimi nitawalea watoto wa wengine wakitanzania
 
Waambie huna hela wakisema mkopo waambie mkopo sitaki chukua mwanao nenda naye nyumbani wakati wa likizo Mara moja moja muongoze mtoto ajikumbushe waliyokuwa wanafundishwa darasani ili asisahau.hutakiwi kuyumba kwenye maamuzi yako
 
Likizo ni muhimu ila kama mtoto unaona bado hafanyi vizuri ni afadhali abaki shule kufanya masomo ya ziada kuliko kubaki nyumbani kucheza gemu,kuangalia tv mizengwe na tamthiliya zisizo na maadili.

Mtoto amepata C au D halafu mzazi unataka apumzike akija kufeli utalaumu walimu au utjilaumu mwenyewe.
 
Mzazi unatakiwa uwe na msimamo, likizo mtoto asibaki shule, wambie huna pesa.
Tusiishi maisha kama kukaa darasani ndo kitu pekee twaweza.

Maisha yana mengi mazuri kuliko kuwa na Division 1
Watoto wote wenye akili ya kawaida wanaweza kabisa kupata division one kwa muda uliopangwa kuwa shuleni na likizo.
Ufaulu wa kutumia muda mrefu kusoma kitu kile kile au kukesha hauna maana yoyote kwa watu wenye upeo mpana.
Pamoja na kwamba wanangu wapo kwenye janga hili la kupewa likizo nusu nusu, mimi nalipinga na nina Imani watafaulu kwa division one wakisoma muda wa kawaida uliopangwa na wizara.
Watoto wapate haki yao ya likizo.
 
Watoto wote wenye akili ya kawaida wanaweza kabisa kupata division one kwa muda uliopangwa kuwa shuleni na likizo.
Ufaulu wa kutumia muda mrefu kusoma kitu kile kile au kukesha hauna maana yoyote kwa watu wenye upeo mpana.
Pamoja na kwamba wanangu wapo kwenye janga hili la kupewa likizo nusu nusu, mimi nalipinga na nina Imani watafaulu kwa division one wakisoma muda wa kawaida uliopangwa na wizara.
Watoto wapate haki yao ya likizo.
Mimi wakati nasoma nilifuata ratiba ya wizara ya elimu na nilifaulu .
Iweje leo watoto wakaririshwe?
 
Hii tabia ya watendaji wa Elimu kutotii maagizo ya boss wao either ni ishara ya dharau au ni kushindwa kutii maagizo kwa makusudi. Sisi wazazi tunasubiri watoto wetu kurejea nyumbani alafu wanatokea maafisa Elimu na wakuu wa dhule wasio na nidhamu kwa maboss wao kwa makusudi wanaamua kuwakatalia watoto wetu shuleni.

Hizi shule za binafsi Wana sababu Mfu kuwa watoto wakirudi nyumbani et huwa wanazurura tu. Hii ni dhana ya hovyo kabisa maana wazaz wengine husubiri watoto warudi likizo ili wafundishwe maadili ya kifamilia na kijamii kulingana na ukuaji wao wa akili na mwili.

Wanadai kuwa wazazi huwa wanaridhia. Sio kweli bali wazazi hupewa tu taarifa ya mipango Yao na pale wazazi tunapoitwa huwa km ni kupokea tu agizo kutoka kwa uongozi wa shule. Na km wanaona wakija likizo watazurura basi wawe wanawapatia assignments ili wafanye wawapo makwao. Kinyume na hapo si tu kuwa wanawafanyia watoto ukatili wa kiakili bali wanatunyanyasa wazazi kwa kukosa fursa ya kukaa na kuongea na watoto wetu kadri ya mabadiliko ya miili yao.

Hivi Wizara wakati wanaweka mihula hawa wanaokaidi wanadhani wao walikuwa wajinga. Hakuna elimu Wala kazi isiyo na mapumziko. Hata hao Walimu wanahitaji kupumzika, siyo maroboti. Inafikia wakati watoto wengine wanaenda shule kabla ya kuvunja ungo, wanakaa huko hadi wanavunja ungo na hatimae kukosa taulo za kike.

Hii hali inakera sn, ebu Waziri wa Elimu tumia kipaza sauti ili tuone wapi panavuja.
Hivi wathibiti ubora wa Elimu nchii wapo kweli ,inakuaje mfumo wa elimu ambao unatambua haki ya msingi ya mwanafunzi kupewa likizo inachezewa na wahuni walionificha kwenye Elimu?
 
Likizo ni muhimu ila kama mtoto unaona bado hafanyi vizuri ni afadhali abaki shule kufanya masomo ya ziada kuliko kubaki nyumbani kucheza gemu,kuangalia tv mizengwe na tamthiliya zisizo na maadili.

Mtoto amepata C au D halafu mzazi unataka apumzike akija kufeli utalaumu walimu au utjilaumu mwenyewe.
Uliona wapi mtoto wa miaka kumi anasoma masaa kumi na mbili kwa siku kwa muda wa mwaka mzima?
 
Mimi wakati nasoma nilifuata ratiba ya wizara ya elimu na nilifaulu .
Iweje leo watoto wakaririshwe?
Wanakaririshwa ili wapate A bila kuangalia athari za watoto husika kiafya ,imagine mtoto wa miaka kumi na mbili anaza masomo saa kumi na mbili hadi saa tatu usiku?
 
Wanakaririshwa ili wapate A bila kuangalia athari za watoto husika kiafya ,imagine mtoto wa miaka kumi na mbili anaza masomo saa kumi na mbili hadi saa tatu usiku?
Mi hilo swala nitalipinga daima, nitapeleka mtoto shule ambayo hawafanyi huo upumbavu
 
Kama hutaki mwanzo asome mfungie ndani,halafu akipata zero walaumu walimu.Tz ukifaulu ndio unaangaliwa wewe jidai kichwa ngumu,labda uwe ofisi kuu za umma
 
Mimi wakati nasoma nilifuata ratiba ya wizara ya elimu na nilifaulu .
Iweje leo watoto wakaririshwe?
Mimi pia. Tangu nianze kusoma, kuanzia msingi mpaka chuo, nilitumia muda uliopangwa na nilifaulu, hivyo tuna mifano binafsi na uzoefu.
 
Mkuu mbna huku kwetu shule za gvmnt za sek na msng mbna zote zmefunga
Mkoa Gani na wilaya Gani?
Huku nilipo madarasa ya mitihan wanaendelea kufundishwa.
Sema huu utaratibu siukubal ifike wakat watoto wapumzike maana siku ya mitihan ya kitaifa hasa hao private wanaiba sana mitihan na kuwa sovia madogo ,Sasa unajiuliza pamoja na kuhangika kote kule lakin mitihan Kwa asilimia 70 inafanywa na hao hao walimu.
Tz hakuna elimu Zaid ya upumbavu tu
 
1.Mkoa wa ruvuma, shule nyng sana zmefngwa .
2.Elimu ipo mzee, sindio hao wanasoma badae wanakutibu hospitali? Unasemaje elimu hamn
Mkoa Gani na wilaya Gani?
Huku nilipo madarasa ya mitihan wanaendelea kufundishwa.
Sema huu utaratibu siukubal ifike wakat watoto wapumzike maana siku ya mitihan ya kitaifa hasa hao private wanaiba sana mitihan na kuwa sovia madogo ,Sasa unajiuliza pamoja na kuhangika kote kule lakin mitihan Kwa asilimia 70 inafanywa na hao hao walimu.
Tz hakuna elimu Zaid ya upumbavu tu
 
Kama hutaki mwanzo asome mfungie ndani,halafu akipata zero walaumu walimu.Tz ukifaulu ndio unaangaliwa wewe jidai kichwa ngumu,labda uwe ofisi kuu za umma
Ziro gan wakat watoto wanafanyiwa mitihan ?
Ni vile wazaz wengi hamjui hayo yanayoendelea huko mashulen hasa hizi za private .
Na hii ya kufanyiwa mitihan IPO sana hizi shule za msingi Kwa upande wa private maana ni kujaza A,B,CBE Kwa mfumo wa kusiriba.
Muwe mnawauliza watoto wenu ingawa wanalishwa viapo vikal vya kutosema popote .
Walimu wanahangaika kufundisha bila hata kujipumzisha ajabu hao hao ndio waafanya mitihan Kwa asilimia fulan
 
1.Mkoa wa ruvuma, shule nyng sana zmefngwa .
2.Elimu ipo mzee, sindio hao wanasoma badae wanakutibu hospitali? Unasemaje elimu hamn
Kwa upande wa msingi Kuna uhuni mkubwa sana unaendelea labda Kwa upande wa sec maana kule ni kujieleza Zaid .
Amin nakwambia shule nyingi za private walimu ndio wanafanya hio mitihan
 
Mzazi unatakiwa uwe na msimamo, likizo mtoto asibaki shule, wambie huna pesa.
Tusiishi maisha kama kukaa darasani ndo kitu pekee twaweza.

Maisha yana mengi mazuri kuliko kuwa na Division 1
Hivi hizi shule za serikali na private unajua jinsi wanavyotuchukilia wazazi. Yani ukimchukuwa mwanao Mfano private unaweza kuambiwa umuhamishe moja kwa moja au akirudi atasakwamwa haswa.
 
Mimi pia. Tangu nianze kusoma, kuanzia msingi mpaka chuo, nilitumia muda uliopangwa na nilifaulu, hivyo tuna mifano binafsi na uzoefu.
Tatizo ni wazazi wana watoto vilaza hivyo wanataka wabaki shule kuondoa ukilaza
 
Back
Top Bottom