Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako hana kosa lolote anahukumiwa kimakosa

wewe unasema ndalichako ana misimamo na hayumbishwi SIO HUYU HUYU NDALICHAKO ALIYEKUBALI KUFUNDISHWA HISTORIA KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI NAWAKACHAPISHA VITABU VIANZE KUTUMIKA MWAKA JANA.?
Vipi alipoingia mama samia vile vitabu na hayo mambo ya historia yameyayukaje gafla kama kweli ana msimamo.
Viongozi wa hii nchi wapo kiulaji tu wanabadilika kama vinyonga.
 
Kaharibu sana katika utunzi na uchapishaji vitabu vya kiada na ziada kwa mashule - vina makosa mengi sana kwa sababu watunzi ni graduates, tangu lini graduate akatunga vitabu vya watoto wa darasa la 1 hadi 4 kwa mfano. Zamani vitabu hivi vilikuwa vinatungwa na walimu waliostaafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…