KERO Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, tueleze mitihani ya kila wiki kwa kuwalipisha wazazi mchango wa Tsh. 1,500 kila Ijumaa , ndiyo sera uliyoiruhusu?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
U
By that response, it is most likely wewe ni mwalimu wa primary 😀 😀 😀 😀
 
Mtoto akirudi nyumbani muulize shuleni hali ikoje nini kinaendelea, kama kafanyiwa kisa muulize huyo mwalimu.....kisha kaonane na mwalimu uso kwa jicho, mwanao afanyiwe ndivyo sivyo unaogopa?
Tunawaepusha ninyi walimu wa "Nyamhongolo" msifikishwe jela kwa kuua watoto wa wenyewe kwa madai ya buku bee.Shauri yenu.
 
Akihitaji zaidi uthibitisho tuwasiliane nami nitakuongezea.
Nimepita shule nyingi watoto nao hali ni ngumu sana kwao.
Watoto wasipotoa hiyo hela 1500 wanafungiwa darasani hakuna kutoka kipindi cha mapumziko.
 
Mtoto wa darasa la pili anachangia 2000 kwa mitihani miwili(copies) yenye gharama halisi ya urudufishaji ni Tsh 200 unaona ni sawa?
Usiwe serious sana na maisha yaani unaona shida hata mwalimu Alibaba hiyo 700.
Lakini bar, michepuko, Kwa manabii, pesa mnatoa
Kumpa mwalimu tip unafungua Uzi ili abanwe umharibie kazi.
Sasa kama mtoto mitihani kafanya tatizo nini
 
La pili nae ana mitihani 😳😳😳 hii balaa, mpeleke mwanao shule za maana achana na chaurembo shule ya msingi 😹
Utaona ni utani.Ninawakilisha kijiji changu chote hapa "Bitaraguru".Hadi darasa la kwanza wanafanya mitihani kila wiki.
 
Simple kabisa. Tuna watu wanapenda sana kudekezwa. No wonder some guys huko nje wanatuona kituko. Au akae na huyo mtoto amtungie mitihani home
 
Usiwe serious sana na maisha yaani unaona shida hata mwalimu Alibaba hiyo 700.
Lakini bar, michepuko, Kwa manabii, pesa mnatoa
Kumpa mwalimu tip unafungua Uzi ili abanwe umharibie kazi.
Sasa kama mtoto mitihani kafanya tatizo nini
Si aje awe mchepuko wangu kama anazipenda ndururu zangu.Mengine aniachie ntaongea na paroko wangu.
 
Simple kabisa. Tuna watu wanapenda sana kudekezwa. No wonder some guys huko nje wanatuona kituko. Au akae na huyo mtoto amtungie mitihani home
Msipende kuchukulia kila kitu kiwepesi ndiyo maana tunatukanwa kila siku kwa kutokuwa wafuatiliaji kama nchi.Kila kitu kuibiwa tu.
 
Si aje awe mchepuko wangu kama anazipenda ndururu zangu.Mengine aniachie ntaongea na paroko wangu.
Nenda kawambie Sasa walimuuza mtoto wako hutak afanye mitihani kwamba 1500 yako ni nyingi,
Sisi wazazi wengine pesa tutatoa, wewe msiburi waziri wa elimu akujibu apige marufuku majaribio na mitihani shuleni ikiwa watoto wake wako international school 🎒
 
Huo utaratibu wa kupiga watoto hata mie siupendi kwakweli unanikwaza sanaaa ndio wazazi msimame sasa.....sio kuandika tu huku watoto wakati wenu wanaoga fimbo
Mpenzi wangu Evelyn Salt acha kazi ya ualimu nikupe mchongo mwingine. Wewe ni mwalimu safi unaponzwa na wenzako.
 
Tunawaepusha ninyi walimu wa "Nyamhongolo" msifikishwe jela kwa kuua watoto wa wenyewe kwa madai ya buku bee.Shauri yenu.
🤣🤣🤣🤣
Unaepusha nini bana we ijumaa leo buku jero ishakutoka......

Hiyo hela masikini mtihani uje uchapwe utolewe kopi, wasimamie wasahishe wagawane sijui elf kumi naa, umasikini ni mbaya sana itoshe kusema hivi
 
Kuwa muelewa wewe.Tunapoandika hivi,hatuandiki kwa ajili ya watoto wetu tu.Hii inashuka hadi kwa watoto wa familia zenye uchumi mwembamba zaidi ya tishu.Hao ndiyo hasa wanazungumziwa.Uwe unachukulia mambo kwa upana.Usichukulie kama tunanunuliana kimbo za rubisi kwa fujo kilabuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…