George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Mara moja moja toka kwenye hiyo "cycle" uliyopo mkongwe, ingia mtaani uone Watanzania wenzako wana maisha ya namna gani. 1500 ni pesa kubwa sana, kuna watu wana hali mbaya aisee, kuna wazazi huku mtaani anatamani kuona mtoto wake anafeli ili aepukane na aibu ya kushindwa kusomesha.Swiming lessons katika private schools ni 45,000 per month study tour 70,000 mhula wa mwisho come tógather party, nk huyu ni mtoto wa kitanzania pia mtagombania ajira zile zile. 1500 tu mtu analalamika kweli.
Umeajiriwa au unajitolea?Wewe umeona gharama ya mitihani ni kopi tu!!? Hiyo mitihani itajisahihisha!?
Wapo watoto ambao hawana watu/wazazi wa kuwapa hizo 1500 za mtihani.I
lla wewe ni kubwa jinga au mtoto wako ni kilaza hivi 1500 Kwa ajili ya mitihani ya mwanao ni ya kutolea Uzi kweli?Mimi nachokihisi mwanao hajiwezi ndio maana unahisi hiyo 1500 ni kutapeliwa.Upo sahihi
Wewe ni mmoja kati ya watu mnaofanya JF ionekane kituko!Jf ilikuwa na vichwa vya logic na reasoning ila ninyi ndio mnafanya humu kuonekane kituko na member wote waonekane hovyo.
Ndiooooooooooo tena ndioooooooooooBuku tu mishipa imesimama ofa umpe nani bwana 🤣🤣🤣.
Jitafute tafute mpeleke mtoto shule ya maana, shule ukienda kwenye graduu risala kwa mgeni rasmi ni "ndugu mgeni rasmi shule yetu ina upungufu wa computers"
Sio shule za "ndugu mgeni rasmi shule ina upungufu wa matundu ya choo" na bado mgeni rasmi anaingia mitini 😹😹 nacheka kama mazuri
Msitetee ujingaWapo watoto ambao hawana watu/wazazi wa kuwapa hizo 1500 za mtihani.
Ni 1500 sio 15000 watu mnachanganya fingure.....1500 ni kilo moja ya sembe.Mara moja moja toka kwenye hiyo "cycle" uliyopo mkongwe, ingia mtaani uone Watanzania wenzako wana maisha ya namna gani. 1500 ni pesa kubwa sana, kuna watu wana hali mbaya aisee, kuna wazazi huku mtaani anatamani kuona mtoto wake anafeli ili aepukane na aibu ya kushindwa kusomesha.
Poleni sana ndio mkaikatae sasa huko mashuleni msiishie kulalamika mitandaoni haisaidii, hata waziri unaemlalamikia hatokusaidia chochote mtoto wake yuko huko school of naniliu shida zako na mwanao wala hazijuihatujawahi kuwa na mkutano kama huo, actually wote wanalalamika. Ni watu masikini, hawawezi kumudu. Mimi namudu lakini sitaki miradi ya walimu ya kijinga! (and actually ni mtoto simjui as such, namsaidia tu. alikuja kufanya kazi za nyumbani akiwa mdogo nikaamua kumsaidia asome maana alikuwa at the age of 10 yrs na hakuwa amewahi kwenda shule, eti wanamleta kufaya kazi za ndani, nikasema siwezi kutenda kosa kama hilo, nikampeleka shule. sasa huu usumbufu wa kijinga siutaki)
Ubarikiwe sana mkuu na mizimu ya kiafrika kwa wema unaomtendea huyo mtoto kwa kumpeleka shule ingali huna nasaba naye.hatujawahi kuwa na mkutano kama huo, actually wote wanalalamika. Ni watu masikini, hawawezi kumudu. Mimi namudu lakini sitaki miradi ya walimu ya kijinga! (and actually ni mtoto simjui as such, namsaidia tu. alikuja kufanya kazi za nyumbani akiwa mdogo nikaamua kumsaidia asome maana alikuwa at the age of 10 yrs na hakuwa amewahi kwenda shule, eti wanamleta kufaya kazi za ndani, nikasema siwezi kutenda kosa kama hilo, nikampeleka shule. sasa huu usumbufu wa kijinga siutaki)
Kwani mwalimu analipwa mshahara kwa ajili ya nin?Wewe umeona gharama ya mitihani ni kopi tu!!? Hiyo mitihani itajisahihisha!?
Ujinga upi?Msitetee ujinga
Hiyo kilo moja ya sembe kuna watu mtaani inawashinda kuipata!Ni 1500 sio 15000 watu mnachanganya fingure.....1500 ni kilo moja ya sembe.
Kweli kabisa Madam Eva...Sio mradi wa walimu bali ni makubaliano ya wazazi katika vikao, kuomba watoto waongezewe ufaulu..... Hivyo walimu ni watekelezaji.
Kama unachukua hatua chukua tu, hakuna serikali itakuja kukupa tamko kwenye hilo.