Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nenda kausha damu wakunyooshe hadi uimbe!😂Mzazi umecharuka 😁
Mie hapa nadaiwa laki na nusu ya mitihani kijana wangu yupo la nne...... Nadesa point zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kausha damu wakunyooshe hadi uimbe!😂Mzazi umecharuka 😁
Mie hapa nadaiwa laki na nusu ya mitihani kijana wangu yupo la nne...... Nadesa point zako
Kwahiyo mitaala ambayo serikali inawekeza fedha za kutosha kuandaa maana yake serikali inajifurahisha pasipo kuwa na impact chanya?Sio mradi wa walimu bali ni makubaliano ya wazazi katika vikao, kuomba watoto waongezewe ufaulu..... Hivyo walimu ni watekelezaji.
Kama unachukua hatua chukua tu, hakuna serikali itakuja kukupa tamko kwenye hilo.
Laiti kama mngekua mnajua uhalisia mngeshughulikia mambo yenu binafsi binafsi na si kusema serikali serikali.......Kwahiyo mitaala ambayo serikali inawekeza fedha za kutosha kuandaa maana yake serikali inajifurahisha pasipo kuwa na impact chanya?
Serikali haijaweka mitihani ya kila wiki kwasababu wataalamu walikaa wakaona mtaala ukifundishwa ipasavyo uta meet matarajio ya kielimu sasa wewe unapokuja na habari ya mitihani kila wiki unaona serikali haina maarifa ilipopanga mtaala?
Wewe hujui njaa za walimu ama utakuwa mwalimu maana kila kukicha wanabuni mbinu mpya za kumuumiza mzazi basala wapambane na serikali iwawekee mazingira mazuri ya stahiki zao waache usumbufu kwa mzazi.
Kausha damu nkafanye nini jamani ijumaa hii watoto 100*1500🤣🤣🤣Nenda kausha damu wakunyooshe hadi uimbe!😂
Yani nije nijilevye kwa doo yangu?Hakyanane walimu ni wabunifu viwango vya SGR ya ngedere na bundikibundile.Maticha oyeeee!🙏Kausha damu nkafanye nini jamani ijumaa hii watoto 100*1500🤣🤣🤣
njoo tuinywe hela yako mzazi
Oyeeeee 🍺🍺🍺Yani nije nijilevye kwa doo yangu?Hakyanane walimu ni wabunifu viwango vya SGR ya ngedere na bundikibundile.Maticha oyeeee!🙏
Kauli yangu ya asubuhi kwamba sintotoa ofa ya bia nimeifuta rasmi kuanzia sasa.Naikana.Nilikuwa nina hangover.Oyeeeee 🍺🍺🍺
Binafsi naona walimu kama Wana ka mradi wao. Hivi unadaiwa remedial 5000 ni masomo matatu. Ila walichosoma mwezi mzima ni page 3 kila daftariSio mradi wa walimu bali ni makubaliano ya wazazi katika vikao, kuomba watoto waongezewe ufaulu..... Hivyo walimu ni watekelezaji.
Kama unachukua hatua chukua tu, hakuna serikali itakuja kukupa tamko kwenye hilo.
Wanaita ubunifu aka fujo isiyoumiza.Kaza roho mkuu.Binafsi naona walimu kama Wana ka mradi wao. Hivi unadaiwa remedial 5000 ni masomo matatu. Ila walichosoma mwezi mzima ni page 3 kila daftari
Bro 1,500 nayo inataka ikutoe roho?Kila Ijumaa wazazi tunadaiwa shs 1,500 kama ada ya mtihani. Je walimu wanafanya haya kwa ruhusa ya Wizara kama examination policy?
Mtoto asipoleta hela anapigwa. Tupelekane mahakamani na walimu wako kwa kuwapiga watoto bila sababu? Kama mtoto hakupewa hela, unampiga ili hela aitoe wapi?
Au Ni miradi ya waalimu kujiongezea kipato?
Wazazi watashindwa
Nitakupa ushahidi kama ukihitaji uthibitisho
Soma :
I love you mzazi uko wapiiiii.......Kauli yangu ya asubuhi kwamba sintotoa ofa ya bia nimeifuta rasmi kuanzia sasa.Naikana.Nilikuwa nina hangover.
Ngoja nipande juu ya jabali nitafute network.Ntakucheki.I love you mzazi uko wapiiiii.......
You can not understand the context of my argument! Kwaheri!Bro 1,500 nayo inataka ikutoe roho?
Shida yenu na nyie mnadhani mwalimu ana miujiza yani ukishampa mtoto wako wewe umemaliza unakaa pembeni, fatiliaaa kagua daftari za mwanao hajafundishwa fika shule upate sababu, umelipa buku ya mtihani hakikisha mtoto kafanya mtihani, umesahishwa amerudishiwa na correction kafanyiwa.Binafsi naona walimu kama Wana ka mradi wao. Hivi unadaiwa remedial 5000 ni masomo matatu. Ila walichosoma mwezi mzima ni page 3 kila daftari
Sasa hapo shida si ni yenu maana hamjielewi!! Mtaburuzwaje!!!Kwa uzoefu wangu wa kipelelezi,huwa hakuna vikao huru vya wazazi na walimu.Zaidi ni walimu kwa kushirikiana na kamati majambazi kupitisha agenda zao tamutamu(za kuwafaidisha wao)kwa kutumia mihutasari yenye mahudhurio ya wazazi/walezi.Wazazi huwa wanaburuzwa,kupewa lugha za vitisho na agenda kupita kihunihuni tu.
Tuma kwa namba hii jina litakuja Teacher EveNgoja nipande juu ya jabali nitafute network.Ntakucheki.
Ngoja nicheki kwanza na tisiaraei kama hujabadili mynameyako.Tuma kwa namba hii jina litakuja Teacher Eve