RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Kufauru ni galama wacheni malalamiko kupanua miguu na kuzaana mnaona rahisi ila kusomesha mnalalamikaKatika vitu vinaudhi wazazi ni watoto wao kupigwa.Inaumiza sana.Buku jero kitu gani?Tutatoa tu ila wasipige watoto wetu.Unakuta asubuhi mtoto anakua mnyonge anasikilizia umpe 1500 ya mtihani,nauli 1000 na chakula 1000.