Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

robinson crusoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2020
Posts
762
Reaction score
1,236
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
 
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Kijana wako yeye imemiathiri nini mtu kuwekewa alama ?
 
Malecturer wanafaidi totoz jamani. Ata mie ningekuwa lecturer kwa kweli mrembo nampa marks zake anipe utamu maisha ya songe tuu.
 
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Mzazi acha kukumbatia umbea. Kijana wako atakuwa dhaifu, hivyo anajificha katika umbea.
 
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Mkuu umeongea vema na ni haki yako kutoa mada kama hii, usikatishwe na vijana hawa wa form 2 wanavyokujibu, wengi wao ni Lia Lia na sasa wapo na Lia Lia na kazi za muda za sensa!,umasikini wetu ni tatizo ila kama una uwezo pls tembea unchi ili mwanao apate elimu bora, mtafutie chuo hapo Zimbabwe, ukipata SA itakua 🍒 on top of the carrot cake, below Sahara 🏜, ukipata UCT,WITS,UJ,au kwa maswala ya kilimo pale stell.univeristy, watoto wengi wa vigogo hawasomi hapa nchini wengi wapo ughaibuni ndio maana tunaona utawala wa kifamilia, pigana na pigana kiume mkuu,Pelikan mwanao nje akaelimike.
 
Kama hii ndio michango ya watanzania kwenye mada iliyoko mezani,basi tukubali tuna taifa la hovyo kabisa.

Yaani mtu ameleta suala kama hili,halafu mwingine anajibu kama vile kilichofanyika ni halali?,

Kuhusu SUA naomba muda wa kazi ukiisha nije kuandika uozo ulioko pale.

SUA iko overrated sana.
 
Kama hilo swala limelalamikiwa hadi kwa kuandika barua kwa uongozi lazima kuna tatizo hapo la kutafutiwa ufumbuzi haraka iwezekenavyo, haya mambo ya kulea umwamba wa wahadhiri ndo yanachangia kushusha hadhi ya elimu na taaluma kiujumla.
 
Kama hilo swala limelalamikiwa hadi kwa kuandika barua kwa uongozi lazima kuna tatizo hapo la kutafutiwa ufumbuzi haraka iwezekenavyo, haya mambo ya kulea umwamba wa wahadhiri ndo yanachangia kushusha hadhi ya elimu na taaluma kiujumla.
Uongozi wa SUA si wa kuaminika sana kwa sasa.

Kuna mengi tu yamesemwa kuhusu SUA ila wale jamaa walivyo badala ya kufatilia taarifa wanamtaka mtoa taarifa.
 
Ka
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Kwa comment ninazoziona hapa Kwenye Uzi huu basi kama taifa tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikilia. Hebu imagine issue sensitive kiasi hiki mtu ana mkejeli mtoa post mbaya zaidi mtoa post amesema watu wamesha uandikia barua uongozi lkn hawajapata majibu tuweni serious walao kidogo kwenye sensitive issues.
 
Waambie vijana wakazane kusoma waache kulia lia
Acha kumwendekeza kijana. Mwambie apambane aache visingizio. Nawewe mzazi umeingia ktk mtego wa mwanao mzembe?
Mzazi acha kukumbatia umbea. Kijana wako atakuwa dhaifu, hivyo anajificha katika umbea.
Mbona ni kama umbea flani hivi. Umeandika kwa "mhemko" !
Kwa haraka sana nimeangalia michango ya hawa ndugu, nikaliona tatizo linalosababisha watu kukosa ajira. Hawa yaonekana ni wahitimu, tatizo ni ubora wao. Bado wana mambo ya mafanikio ya kijiweni. Wizi na upuuzi kwao ni mfanikio. watu kama hawa uwape ajira ili wakusaidie nini? Hata kama ni shamba la nyanya yabidi uwalinde kama ngedele.

Kwa SUA mi nawapa pole sana Najua wanaoongozwa na nani na anataka nini. Kwa ujumla viongozi wa vyuo hivi viwili kwa sasa; SUA na UD ni tatizo. Ni watu wanaohangaikia sifa kwa wanasiasa basi! Ukiwauliza nini wamefanya kuinua heshima ya elimu, hakuna kabisaa!!
 
Kwa comment ninazoziona hapa Kwenye Uzi huu, basi kama taifa tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikilia. Hebu imagine issue sensitive kiasi hiki mtu ana mkejeli mtoa post mbaya zaidi mtoa post amesema watu wamesha uandikia barua uongozi wa chuo lkn hawajapata majibu wa changamoto zao then mtu anakuja kutoa kejeli,tuweni serious walao kidogo kwenye sensitive issues.
 
Back
Top Bottom