Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

Kwa comment ninazoziona hapa Kwenye Uzi huu, basi kama taifa tuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikilia. Hebu imagine issue sensitive kiasi hiki mtu ana mkejeli mtoa post mbaya zaidi mtoa post amesema watu wamesha uandikia barua uongozi wa chuo lkn hawajapata majibu wa changamoto zao then mtu anakuja kutoa kejeli,tuweni serious walao kidogo kwenye sensitive issues.
Pole pole JF imekuwa kijiwe cha YOSO. ni watu wanaoweza kushangilia ubakaji na ushenzi wa malezi yao.
 
  • Thanks
Reactions: F4B
Leo ndio nimeuona huu uzi,nikalinganisha na baadhi na maneno kuhusu elimu yetu na taifa kwa ujumla.

Naomba niandike machache kuhusu yanayoendelea katika vyuo vyetu,ila leo nitaanza na hiki chuo cha serikali kilichopo morogoro yaani SUA,nikipata muda tena nitakuja na mambo ya hovyo yaliyoko UDOM na UDSM.

Hapa nitaandika kuhusu mambo aliyosema mtoa mada na mengine ninayoyafahamu.

1. Kuhusu wanafunzi kupewa marks bila kufanya UE ni kawaida sana kwa SUA ya kipindi hiki,binafsi ninawafahamu wanafunzi watatu hawajafanya UE semester iliyopita ila kwenye matokeo wana A zao,wawili wapo mazimbu mmoja main campus,na utawala akiwamo DVC academic na VC wana taarifa hizi kwa ukamilifu wake kwa maandishi,email,simu na text pia,ila hawajawahi kufatilia.

2. Kwa kuongezea,SUA kwa sasa hakuna external examiners,yaani mtu wa mitihani kutoka nje,hivyo lecturers wengi wanafanya watakavyo wakijua hakuna wa kukagua habari zao. Hii imetoa hata mwanya wa baadhi kuwekea matokeo wanafunzi bila kufanya UE,mfano yule jamaa kule forest.,nasema hivi kwa kuwa wanamjua ila hawafatilii habari hizi.

3. SUA ya sasa wanafunzi wakifeli utasumbuliwa sana kuwabadilishia marks wafaulu.
Ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka yule mzee wa agriculture ile kozi mlivyokuwa mnamsumbua kwa barua na kulazimisha aongeze marks wanafunzi wafaulu wakati wameshindwa?,KWA SASA AMEAMUA KUSARENDA WAKIFELI ANAWAGAWIA C,angekuwepo EXTERNAL EXAMINER MNGEFANYA HIVI?,au ndio maana hamtaki kupeleka external examiner?

Mnakumbuka issue ya yule kijana mnalazimisha afaulishe wakati wale mabinti ile kozi wamefeli mkaanza kumuundia zengwe ya rushwa?.

Mnakumbuka yule jamaa mmemtesa kuchezea matokeo hadi ameondoka ?

Je.mitihani yenu ya semester hii ina viwango vya kusema ni ya Chuo Kikuu?,mfano mtihani wa jana (26.7.2022) mchana kule mazimbu wanafunzi ndani ya saa 1 wamemaliza wakati mtihani ni masaa matatu.
Quality assurance ya Chuo iko wapi?,mmeipa meno kuuma?

4. SUA unaweza kwenda kusoma masters ila ukawa unafundishwa na T.A.,hapo college ya Agribussiness ni mchezo wao na uongozi upo hapo gorofani na taarifa hizi wanazo ila kila siku kujigamba SUA chuo bora kumbe kuna uozo namna hii.

5. SUA kuna rushwa ya ngono kubwa mno kuanzia kwenye mitihani hadi darasani.,kumbukeni yule mhadhiri mliyemkamata ipoipo na TAKUKURU ikasimamia usahihishaji wa SP ya yule binti.

6. SUA mazingira ya ufundishaji si salama kwa mustakabali wa taifa kwa ujumla.hapa naongelea miundombinu kama madarasa na maabara na vifaa vyake.
(Hapa nimewahi kaundika uzi kuwa SUA ina kozi hazina waalimu yaani lecturer hata mmoja ila wanadahili wanafunzi wakifika wanapigwa crash program kwa part time,mojawapo ya hiyo kozi ni kozi zote za ualimu zenye Physics,hawa maaabara hawana,kuna semester practical kozi hazifanyiki wanaenda kufanya crashing practical pale Muslim University),Jiulize Physics ya dunia ya leo hauna maabara unafundisha nini?

Yaani utakuta wanafunzi wa masomo ya sayansi maabara haipo na vifaa havipo ila mmedanganya hadi TCU na wizara ya elimu kuwa ipo na ina kila kitu kuweza kutoa degree, ila kazi kumezesha madesa wanafunzi,mitihani line by line aliyekariri notes ndio atafaulu halafu mnakuja kudanganya watanzania mna ubora,ubora ukiwepo ni wale watu wa VET sio ninyi kama chuo kizima,mkisema mna ubora mseme wazi ni VET au COA na si wote.

Hivi ulimwengu wa leo mtu analeta kifaa cha mwaka 80 eti ndio anatolea practical za animal sciences kweli?.....

7. SUA unaweza ukaona jambo haliko sawa na ukapeleka mapendekezo yako au kusema ila yatakayokupata utajua mwenyewe,ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka mlichomfanya kwa jamaa aliyewaambia madarasa mabovu wanafunzi wanakaa nje mwaka jana?.
ifikie wakati tuwe wakweli,SUA ya leo si ile ya miaka ya Sembuche,sasa hivi mnajipendekeza kwa wanasiasa kwa kila njia.

8. SUA IS CORRUPTED, CASE CLOSED,TUKUTANE AIRPORT BAR leo saa 1 jioni.
 
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Walimu wengi wana stress sn hivyo mapenzi kwao ni tiba
 
Leo ndio nimeuona huu uzi,nikalinganisha na baadhi na maneno kuhusu elimu yetu na taifa kwa ujumla.

Naomba niandike machache kuhusu yanayoendelea katika vyuo vyetu,ila leo nitaanza na hiki chuo cha serikali kilichopo morogoro yaani SUA,nikipata muda tena nitakuja na mambo ya hovyo yaliyoko UDOM na UDSM.

Hapa nitaandika kuhusu mambo aliyosema mtoa mada na mengine ninayoyafahamu.

1. Kuhusu wanafunzi kupewa marks bila kufanya UE ni kawaida sana kwa SUA ya kipindi hiki,binafsi ninawafahamu wanafunzi watatu hawajafanya UE semester iliyopita ila kwenye matokeo wana A zao,wawili wapo mazimbu mmoja main campus,na utawala akiwamo DVC academic na VC wana taarifa hizi kwa ukamilifu wake kwa maandishi,email,simu na text pia,ila hawajawahi kufatilia.

2. Kwa kuongezea,SUA kwa sasa hakuna external examiners,yaani mtu wa mitihani kutoka nje,hivyo lecturers wengi wanafanya watakavyo wakijua hakuna wa kukagua habari zao. Hii imetoa hata mwanya wa baadhi kuwekea matokeo wanafunzi bila kufanya UE,mfano yule jamaa kule forest.,nasema hivi kwa kuwa wanamjua ila hawafatilii habari hizi.

3. SUA ya sasa wanafunzi wakifeli utasumbuliwa sana kuwabadilishia marks wafaulu.
Ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka yule mzee wa agriculture ile kozi mlivyokuwa mnamsumbua kwa barua na kulazimisha aongeze marks wanafunzi wafaulu wakati wameshindwa?,KWA SASA AMEAMUA KUSARENDA WAKIFELI ANAWAGAWIA C,angekuwepo EXTERNAL EXAMINER MNGEFANYA HIVI?,au ndio maana hamtaki kupeleka external examiner?

Mnakumbuka issue ya yule kijana mnalazimisha afaulishe wakati wale mabinti ile kozi wamefeli mkaanza kumuundia zengwe ya rushwa?.

Mnakumbuka yule jamaa mmemtesa kuchezea matokeo hadi ameondoka ?

Je.mitihani yenu ya semester hii ina viwango vya kusema ni ya Chuo Kikuu?,mfano mtihani wa jana (26.7.2022) mchana kule mazimbu wanafunzi ndani ya saa 1 wamemaliza wakati mtihani ni masaa matatu.
Quality assurance ya Chuo iko wapi?,mmeipa meno kuuma?

4. SUA unaweza kwenda kusoma masters ila ukawa unafundishwa na T.A.,hapo college ya Agribussiness ni mchezo wao na uongozi upo hapo gorofani na taarifa hizi wanazo ila kila siku kujigamba SUA chuo bora kumbe kuna uozo namna hii.

5. SUA kuna rushwa ya ngono kubwa mno kuanzia kwenye mitihani hadi darasani.,kumbukeni yule mhadhiri mliyemkamata ipoipo na TAKUKURU ikasimamia usahihishaji wa SP ya yule binti.

6. SUA mazingira ya ufundishaji si salama kwa mustakabali wa taifa kwa ujumla.hapa naongelea miundombinu kama madarasa na maabara na vifaa vyake.
(Hapa nimewahi kaundika uzi kuwa SUA ina kozi hazina waalimu yaani lecturer hata mmoja ila wanadahili wanafunzi wakifika wanapigwa crash program kwa part time,mojawapo ya hiyo kozi ni kozi zote za ualimu zenye Physics,hawa maaabara hawana,kuna semester practical kozi hazifanyiki wanaenda kufanya crashing practical pale Muslim University),Jiulize Physics ya dunia ya leo hauna maabara unafundisha nini?

Yaani utakuta wanafunzi wa masomo ya sayansi maabara haipo na vifaa havipo ila mmedanganya hadi TCU na wizara ya elimu kuwa ipo na ina kila kitu kuweza kutoa degree, ila kazi kumezesha madesa wanafunzi,mitihani line by line aliyekariri notes ndio atafaulu halafu mnakuja kudanganya watanzania mna ubora,ubora ukiwepo ni wale watu wa VET sio ninyi kama chuo kizima,mkisema mna ubora mseme wazi ni VET au COA na si wote.

Hivi ulimwengu wa leo mtu analeta kifaa cha mwaka 80 eti ndio anatolea practical za animal sciences kweli?.....

7. SUA unaweza ukaona jambo haliko sawa na ukapeleka mapendekezo yako au kusema ila yatakayokupata utajua mwenyewe,ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka mlichomfanya kwa jamaa aliyewaambia madarasa mabovu wanafunzi wanakaa nje mwaka jana?.
ifikie wakati tuwe wakweli,SUA ya leo si ile ya miaka ya Sembuche,sasa hivi mnajipendekeza kwa wanasiasa kwa kila njia.

8. SUA IS CORRUPTED, CASE CLOSED,TUKUTANE AIRPORT BAR leo saa 1 jioni.
Haya yote yanatokea SUA kweli " Duu"
 
Kama hii ndio michango ya watanzania kwenye mada iliyoko mezani,basi tukubali tuna taifa la hovyo kabisa.

Yaani mtu ameleta suala kama hili,halafu mwingine anajibu kama vile kilichofanyika ni halali?,

Kuhusu SUA naomba muda wa kazi ukiisha nije kuandika uozo ulioko pale.

SUA iko overrated sana.
Hii Nchi Ina matahira wengi mkuu,jamaa kaandika Jambo la maana, hila wanavyomshambulia Ni hatari
 
Kama hii ndio michango ya watanzania kwenye mada iliyoko mezani,basi tukubali tuna taifa la hovyo kabisa.

Yaani mtu ameleta suala kama hili,halafu mwingine anajibu kama vile kilichofanyika ni halali?,

Kuhusu SUA naomba muda wa kazi ukiisha nije kuandika uozo ulioko pale.

SUA iko overrated sana.
Kuna wakati huwa nadoubt idadi ya graduate hapa jukwaani .... Enzi hili jukwaa linaanza graduates walikuwa zaidi ya 95 %. Kuanzia 2010 jukwaa limekuwa diluted very fast mpaka inatisha .... Nashangaa wachangiaji wengi hawaoni kama hiyo ni issue!!
 
Leo ndio nimeuona huu uzi,nikalinganisha na baadhi na maneno kuhusu elimu yetu na taifa kwa ujumla.

Naomba niandike machache kuhusu yanayoendelea katika vyuo vyetu,ila leo nitaanza na hiki chuo cha serikali kilichopo morogoro yaani SUA,nikipata muda tena nitakuja na mambo ya hovyo yaliyoko UDOM na UDSM.

Hapa nitaandika kuhusu mambo aliyosema mtoa mada na mengine ninayoyafahamu.

1. Kuhusu wanafunzi kupewa marks bila kufanya UE ni kawaida sana kwa SUA ya kipindi hiki,binafsi ninawafahamu wanafunzi watatu hawajafanya UE semester iliyopita ila kwenye matokeo wana A zao,wawili wapo mazimbu mmoja main campus,na utawala akiwamo DVC academic na VC wana taarifa hizi kwa ukamilifu wake kwa maandishi,email,simu na text pia,ila hawajawahi kufatilia.

2. Kwa kuongezea,SUA kwa sasa hakuna external examiners,yaani mtu wa mitihani kutoka nje,hivyo lecturers wengi wanafanya watakavyo wakijua hakuna wa kukagua habari zao. Hii imetoa hata mwanya wa baadhi kuwekea matokeo wanafunzi bila kufanya UE,mfano yule jamaa kule forest.,nasema hivi kwa kuwa wanamjua ila hawafatilii habari hizi.

3. SUA ya sasa wanafunzi wakifeli utasumbuliwa sana kuwabadilishia marks wafaulu.
Ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka yule mzee wa agriculture ile kozi mlivyokuwa mnamsumbua kwa barua na kulazimisha aongeze marks wanafunzi wafaulu wakati wameshindwa?,KWA SASA AMEAMUA KUSARENDA WAKIFELI ANAWAGAWIA C,angekuwepo EXTERNAL EXAMINER MNGEFANYA HIVI?,au ndio maana hamtaki kupeleka external examiner?

Mnakumbuka issue ya yule kijana mnalazimisha afaulishe wakati wale mabinti ile kozi wamefeli mkaanza kumuundia zengwe ya rushwa?.

Mnakumbuka yule jamaa mmemtesa kuchezea matokeo hadi ameondoka ?

Je.mitihani yenu ya semester hii ina viwango vya kusema ni ya Chuo Kikuu?,mfano mtihani wa jana (26.7.2022) mchana kule mazimbu wanafunzi ndani ya saa 1 wamemaliza wakati mtihani ni masaa matatu.
Quality assurance ya Chuo iko wapi?,mmeipa meno kuuma?

4. SUA unaweza kwenda kusoma masters ila ukawa unafundishwa na T.A.,hapo college ya Agribussiness ni mchezo wao na uongozi upo hapo gorofani na taarifa hizi wanazo ila kila siku kujigamba SUA chuo bora kumbe kuna uozo namna hii.

5. SUA kuna rushwa ya ngono kubwa mno kuanzia kwenye mitihani hadi darasani.,kumbukeni yule mhadhiri mliyemkamata ipoipo na TAKUKURU ikasimamia usahihishaji wa SP ya yule binti.

6. SUA mazingira ya ufundishaji si salama kwa mustakabali wa taifa kwa ujumla.hapa naongelea miundombinu kama madarasa na maabara na vifaa vyake.
(Hapa nimewahi kaundika uzi kuwa SUA ina kozi hazina waalimu yaani lecturer hata mmoja ila wanadahili wanafunzi wakifika wanapigwa crash program kwa part time,mojawapo ya hiyo kozi ni kozi zote za ualimu zenye Physics,hawa maaabara hawana,kuna semester practical kozi hazifanyiki wanaenda kufanya crashing practical pale Muslim University),Jiulize Physics ya dunia ya leo hauna maabara unafundisha nini?

Yaani utakuta wanafunzi wa masomo ya sayansi maabara haipo na vifaa havipo ila mmedanganya hadi TCU na wizara ya elimu kuwa ipo na ina kila kitu kuweza kutoa degree, ila kazi kumezesha madesa wanafunzi,mitihani line by line aliyekariri notes ndio atafaulu halafu mnakuja kudanganya watanzania mna ubora,ubora ukiwepo ni wale watu wa VET sio ninyi kama chuo kizima,mkisema mna ubora mseme wazi ni VET au COA na si wote.

Hivi ulimwengu wa leo mtu analeta kifaa cha mwaka 80 eti ndio anatolea practical za animal sciences kweli?.....

7. SUA unaweza ukaona jambo haliko sawa na ukapeleka mapendekezo yako au kusema ila yatakayokupata utajua mwenyewe,ninyi viongozi wa SUA mnakumbuka mlichomfanya kwa jamaa aliyewaambia madarasa mabovu wanafunzi wanakaa nje mwaka jana?.
ifikie wakati tuwe wakweli,SUA ya leo si ile ya miaka ya Sembuche,sasa hivi mnajipendekeza kwa wanasiasa kwa kila njia.

8. SUA IS CORRUPTED, CASE CLOSED,TUKUTANE AIRPORT BAR leo saa 1 jioni.
Nashauri baadhi ya mambo uyaweke vizuri kuhusu mtihani wa tarehe 26.07, na Kuhusu wanafunzi kufeli imekuwa nongwa na ni case kubwa na inamkumba mwalimu wa somo, inaonekana unaifahamu taasisi ni vema ukaweka bayana kwa kuchana vizuri Kwa hoja na vielelezo. Inaudhi Kwa mfumo wa tetesi tu.


Elimu ilishakufa enzi zetu za akina Professor Mathew Luhanga na Professor Biseko Lwoga
 
Nashauri baadhi ya mambo uyaweke vizuri kuhusu mtihani wa tarehe 26.07, na Kuhusu wanafunzi kufeli imekuwa nongwa na ni case kubwa na inamkumba mwalimu wa somo, inaonekana unaifahamu taasisi ni vema ukaweka bayana kwa kuchana vizuri Kwa hoja na vielelezo. Inaudhi Kwa mfumo wa tetesi tu.


Elimu ilishakufa enzi zetu za akina Professor Mathew Luhanga na Professor Biseko Lwoga
Kuhusu mtihani niliosema wa tarehe 26.7,huu umefanyika upande wa mazimbu,kusema vizuri ningeweza kufanya hivyo,nimestahi kazi za watu zisiwe rehani lakini wasimamizi waliokuwa pale wanajua kilichokuwa kinaitwa mtihani ni mtihani au maneno kwenye karatasi na nembo ya chuo,hata waliofanya hiyo pepa wanajua.

Hiyo kusema ni tetesi nimekubali kwa kuwa umesema wewe,bali mimi najua waliofanya hivyo wanajua sio tetesi.

Nimesema mimi binafsi ninafahamu wanafunzi watatu kuwa na matokeo bila kufanya UE,chukulia huyo wa mtoa mada ni wa nne,hao ni wale waliojulikana,vipi kuhusu hao tusiowajua?.
 
Katika dunia Kuna misingi mitatu tu ya kufanikiwa
1. Ukiwa unauwezo mkubwa wa kutunza Siri
2. Kutoa- hili ni suala la nature ningumu iwe Kwa mazuri au mabaya mtu anaetoa chochote ni ngumu Kwa mpokeaji kuendelea na msimamo na hasa akiwa na kitu specific hao malecture mnawalaumu bure alishindwa SAMSON! Tusisahau hata hela ya kaisali ilipokelewa pale hekaluni, tena hao malecture wanawafundisha uhalisia wa maisha kuwa hata ukimaliza hapo hayo utakutana nayo sana huko duniani. Ni ngumu kukwepa rushwa ya value against valueless eg A inathamani Kwa mwanafunzi ila Kwa lecture ni herufi kama herufi nyingine hivyo exchange ya human body to alphabet A unaweza ukaona urahisi ulivyo pia. Hili neno kutoa ndio msingi wa pili uliobeba mafanikio ya dunia ndio maana hata mungu hana shida lakini tunatoa Dhaka,sadaka,fungu la kumi nk hata kwa shetani Ili ufanikiwe unatoa kafara hivyo katika hili vijana mtaumia sana mioyo yenu chamsingi pambana kivyako Kwa angle nyingine maana aliepokea ukisema upambane nae ujue huto weza kwani Kila mtu duniani anapenda kupokea hivyo hata huko mlikoenda kushitaki nao ni wapokeaji ni sawa na kuombwa rushwa na police then unaenda shitaki Kwa police mwingine kisa anacheo kikubwa[emoji16]
3. Kuamini Kila kitu kinakinyume chake hapa duniani- hivyo kama Kuna haki basi kunabatili ila target ni moja ni wewe kuamua unapitia wapi kufikia target nje ya hapo neno furaha hautakuwa nalo milele juu ya huu USO wadunia
Hivyo huu ni ukweli usiopingika yaliobaki yote ni makelele ndio maana hata wanasiasa wakati wa uchaguzi hutoa Kila kitu tena bure Ili wapate wanachokitaka, yaani mjumbe ameshapokea then aanze kujiuliza sijui nani anahaki loh!
 
Kuhusu mtihani niliosema wa tarehe 26.7,huu umefanyika upande wa mazimbu,kusema vizuri ningeweza kufanya hivyo,nimestahi kazi za watu zisiwe rehani lakini wasimamizi waliokuwa pale wanajua kilichokuwa kinaitwa mtihani ni mtihani au maneno kwenye karatasi na nembo ya chuo,hata waliofanya hiyo pepa wanajua.

Hiyo kusema ni tetesi nimekubali kwa kuwa umesema wewe,bali mimi najua waliofanya hivyo wanajua sio tetesi.

Nimesema mimi binafsi ninafahamu wanafunzi watatu kuwa na matokeo bila kufanya UE,chukulia huyo wa mtoa mada ni wa nne,hao ni wale waliojulikana,vipi kuhusu hao tusiowajua?.
Inatisha sana mtihani ukiwa mgumu matokeo shida mtihani ukiwa rahisi shida, rahisi inapimwaje? na ngumu inapimwaje? Una haki na uhuru wa maoni japo kuna sehemu inaonesha Nia mbaya au mhemko au kuegemea hisia zako zaidi.
 
Ndio.
Hata baadhi ya wahusika na waalimu wanajua aghalabu machache ya haya.
Hapa nimeandika machache tu,kuna mengi.
Wanajua Kwa vielelezo au Kwa hisia?! Na wewe ni nani katika taasisi hiyo ya SUA? Credibilit, reliability na validity ya uliyoyasema itapimwaje? Wewe ni sehemu ya SUA au snitch tu au mpiga mbiu ya wanyonge?
 
Katika dunia Kuna misingi mitatu tu ya kufanikiwa
1. Ukiwa unauwezo mkubwa wa kutunza Siri
2. Kutoa- hili ni suala la nature ningumu iwe Kwa mazuri au mabaya mtu anaetoa chochote ni ngumu Kwa mpokeaji kuendelea na msimamo na hasa akiwa na kitu specific hao malecture mnawalaumu bure alishindwa SAMSON! Tusisahau hata hela ya kaisali ilipokelewa pale hekaluni, tena hao malecture wanawafundisha uhalisia wa maisha kuwa hata ukimaliza hapo hayo utakutana nayo sana huko duniani. Ni ngumu kukwepa rushwa ya value against valueless eg A inathamani Kwa mwanafunzi ila Kwa lecture ni herufi kama herufi nyingine hivyo exchange ya human body to alphabet A unaweza ukaona urahisi ulivyo pia. Hili neno kutoa ndio msingi wa pili uliobeba mafanikio ya dunia ndio maana hata mungu hana shida lakini tunatoa Dhaka,sadaka,fungu la kumi nk hata kwa shetani Ili ufanikiwe unatoa kafara hivyo katika hili vijana mtaumia sana mioyo yenu chamsingi pambana kivyako Kwa angle nyingine maana aliepokea ukisema upambane nae ujue huto weza kwani Kila mtu duniani anapenda kupokea hivyo hata huko mlikoenda kushitaki nao ni wapokeaji ni sawa na kuombwa rushwa na police then unaenda shitaki Kwa police mwingine kisa anacheo kikubwa[emoji16]
3. Kuamini Kila kitu kinakinyume chake hapa duniani- hivyo kama Kuna haki basi kunabatili ila target ni moja ni wewe kuamua unapitia wapi kufikia target nje ya hapo neno furaha hautakuwa nalo milele juu ya huu USO wadunia
Hivyo huu ni ukweli usiopingika yaliobaki yote ni makelele ndio maana hata wanasiasa wakati wa uchaguzi hutoa Kila kitu tena bure Ili wapate wanachokitaka, yaani mjumbe ameshapokea then aanze kujiuliza sijui nani anahaki loh!
Hapa umejibu nini na kwa angle ipi? Tuchangie kuepusha tatizo na fitina au husda katika wasilisho au kukemea mabaya hasa ya kimaadili na miiko ya kazi
 
Kichwa cha habari hakina uhusiano na main content, hapo ndipo mtoa mada amefeli. Kitendo cha mwanafunzi mmoja kupewa maksi za chupi haiifanyi elimu yote ya Tanzania kuwa mbovu.
 
Hapa umejibu nini na kwa angle ipi? Tuchangie kuepusha tatizo na fitina au husda katika wasilisho au kukemea mabaya hasa ya kimaadili na miiko ya kazi
Najua ni mbaya ingawa hatua ya dunia ilipofika ni bora mtu umwambie ukweli kuliko kumwambie apambane na kitu asichokiweza maana hata mkataza rushwa nae anasuburi tukio litokee Ili akapokee rushwa, yaani tulipofikia kuendelea kumwongopea hata mwanao kuwa rushwa hamna atachelewa maana atajikuta Kila kitu hayumo, kikubwa mwambie ukweli ishu kutokana na uhalisia wa mazingira ukiona wanalia na wewe Lia, wakicheka na wewe cheka
 
Nimemkumbuka Prof Mkude UDSM (Linguistics) Alisemaga Darasani "Maisha Haya Hayana Usawa, Pambana Ufaulu Kwa Njia Yoyote Ili Ada Yako Isiende Na Maji"

Mwenye Uchi Atatoa
Mwenye Pesa Atatoa
Mwenye Mzaz Kigogo Atamuweka

Nakumbuka Ya JESCA WA MAGUFULI UDOM Nabakia Kukaa Kimya Tu
 
Vyuo vyetu bado viko hoi sana hata kwa miundombinu tukilinganisha na waliotuacha kama South Africa.

Bila ushabiki, kupitia mitandaoni SUA imekuwa ikisikika kama mfano wa chuo bora kwa uwezo wa wahitimu wake. Ni mfano wa wahitimu wavumilivu na wabunifu ktk taaluma zao. Hata hivyo, adui mkubwa ktk vyuo vyote nchini pamoja na UD ilikuwa udhaifu wa baadhi ya waalimu, hasa wa kiume kuwapa wanafunzi wa kike alama kwa uhusiano binafsi. Ni jambo ambalo lilipigwa vita sana hata wanafunzi wenyewe kuziita ni ‘ ushindi wa chupi’ [sic!].

Nimeletewa tukio hovyo na kijana wangu kwamba kuna mwanafunzi mwenzao hakufanya mitihani amewekewa alama za ufaulu kwa urafiki na mwalimu hapo SUA lakini wao waliofanya mitihani wakawekewa alama hovyohovyo bila kujali waluichopata kwenye test zao!

Hawa vijana kwa uanafunzi wao wamelifikisha kwa barua kulalamikia ubora wa mwalimu huyo lakini ni miezi miwili hawana majawabu ya tukio hilo. Yaonekana ni mtindo ulioota mizizi kwa baadhi ya wanataaluma. Hii ni ishara ya uongozi dhaifu. Unaweza ukasema ni tukio la mtu mmoja lakini ushujaa huo kautoa wapi kama mfumo uko imara?
Si vyuo tu kwani hana habari kuwa hesabu shule ya msingi siku hizi wanachagua jibu sahihi??
 
Back
Top Bottom