Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

Waziri wa Elimu, ubora wa Vyuo Vikuu hauko sawa; natoa mfano wa SUA

Daah Mungu akusamehe sana kwa uongo ulioandika hapo namba 6.Hivi ni lini tulienda kufanya practical Muslim university[emoji848][emoji119][emoji119][emoji119].

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe kama ni student wa Sua,ninajua ni wa ile kozi isiyo na waalimu mnavizia part timers tu haya sema ukweli,practical mnazofanya ni za chuo kikuu au mnafanya tu kumaliza semester?

Sasa hivi hakuna mwalimu hata mmoja wa physics,sema mnasomaje hiyo kozi?,kama yupo weka hapa majina yake.

Haya,mnapata waalimu wazuri mazingira mabaya ya kazi,nani akae hapo?

Halafu uache kunifata Private message,changia hapahapa panatosha.
 
Wewe inaonekana ni mwanafunzi wa sua hadi muda huu,basi tuambie elimu yenu hapo unaionaje?

Je,kwa sasa mna waalimu wa physics baada ya wale jamaa wawili TAs kuhama?
Mimi niko Sua hapahapa,naingia lindo na kutoka kwahiyo najua kila kilichopo hapa,ni kweli hao jamaa wote wameondoka.

Kwa sasa hakuna Tutorial wa kufundisha,wamebaki na part timers wa muslim university na udsm.

Alianza mmoja akaenda Udom,mwingine yuko chuo cha maji dar au Udsm mojawapo,huyu wa pili ameondoka kama mwezi wa pili,wote wameondoka mwaka huuhuu.

Kwenye idara husika kuanzia mkuu wa idara hatambui na hajali kuhusu elimu, hadi mkuu wa kitivo hana alijualo kuhusu ubora wa elimu waliopewa kuusimamia,wamebaki kula posho tu.

Elimu ya Sua ni nzuri kule magadu tu,hapa mazimbu kuna madudu ya kutisha,kidogo watu wa mazingira na hesabu wanajitahidi,wengine endeleeni kuibiwa ada,tutakutana kwenye usahili utumishi tuililie nafasi moja.
 
Wale jamaa wamehama?
Wamehama sababu gani?
Na vyuo hani wamehamia?

Kuna yule mmoja mweupe hivi alikua na ndevu an manywele mengi,nimemsahau jina,jamaa akikufundisha electronics usipoelewa basi una shida kubwa,hakuna theory jamaa haijui,hakuna idea utasema asikupe solution,sijawahi kuona mtu kama yule aliyebobea.

Kuna siku aliwaalika jamaa fulani kwake wanakuambia sebule yote imejaa sensors,hatumii tv mpuuzi yule,anakuambia kwake kupumzika ni kulala tu akiamka mezani na electronics zake.

Jamaa nasikia toka mdogo anafanya hayo maelectronics tu,hata shuleni alikosoma ni hayohayo anafanya,ndio mtu wa kwanza kukuta anafanya kwa mikono yale anayofundisha.
Sua kama mmempoteza huyo basi kuna shida.

Yule mjinga atakua mtu mkubwa sana hapo mbele kwenye academia,halafu sikujua kama alikua Tutorial Assistant.
Yuko deep sana aisee,nawaza akiwa profesa itakuaje.

Nimemaliza hapo 2021,Niko kitaa.
Ni kweli jamaa wote hawapo,mmoja UDOM mwingine nasikia UDSM au chuo cha maji pale dar.

Hao jamaa walikua marafiki sana, kazi walipiga sana,tatizo viongozi hawajali hilo, wote wakapotea.

Halafu utakua unamsemea jamaa mmoja hivi alikua mrefu,kama ni huyo kwa stori nilizonazo yuko vizuri kwenye eneo lake,yaani humwambii lolote hapo,sema ndio hivyo SUA ni ya mchongo.

Mwanzoni nilijua jamaa ana Phd kumbe Tutorial tu,siku moja nilikuta amechafua meza kwenye waya na mavitu mengine hayaeleweki anabuni sijui nini,hadi leo nahisi sio mzima yule jamaa.

Watu kama hao ni wa kuwaendeleza haraka but SUA always dump them in a trash.
 
Leo niko lindo wakuu,kama kuna swali kuhusu SUA leteni hapahapa tunamaliza,mambo ya kudanganyana sijui ni chuo bora achaneni nayo.

Kuna watu wanauliza mimi ni nani,ukitaka kunijua njoo usiku uone moto.
 
Wale jamaa wamehama?
Wamehama sababu gani?
Na vyuo hani wamehamia?

Kuna yule mmoja mweupe hivi alikua na ndevu an manywele mengi,nimemsahau jina,jamaa akikufundisha electronics usipoelewa basi una shida kubwa,hakuna theory jamaa haijui,hakuna idea utasema asikupe solution,sijawahi kuona mtu kama yule aliyebobea.

Kuna siku aliwaalika jamaa fulani kwake wanakuambia sebule yote imejaa sensors,hatumii tv mpuuzi yule,anakuambia kwake kupumzika ni kulala tu akiamka mezani na electronics zake.

Jamaa nasikia toka mdogo anafanya hayo maelectronics tu,hata shuleni alikosoma ni hayohayo anafanya,ndio mtu wa kwanza kukuta anafanya kwa mikono yale anayofundisha.
Sua kama mmempoteza huyo basi kuna shida.

Yule mjinga atakua mtu mkubwa sana hapo mbele kwenye academia,halafu sikujua kama alikua Tutorial Assistant.
Yuko deep sana aisee,nawaza akiwa profesa itakuaje.

Nimemaliza hapo 2021,Niko kitaa.
Kozi gani umepiga SUA mkuu?
 
Japo mleta mada hakutoa mrejesho lakini mrejesho wa hii habari ni kwamba.

Lecture aliyegawa marks bila mwanafunzi kufanya UE aliandika barua ya kujieleza ndio watu wa mfumo wa matokeo wakafuta matokeo feki aliyokua ameyabuni.

Mwanafunzi husika alifanya mtihani huo mwezi wa 9 mwaka 2022 kipindi cha sapu.

Haya yote yalitokea baada ya TAKUKURU kuja hapa chuoni,na kukuta habari hii ya jamii forum ni ya kweli.

Shukrani sana jamii forum kwa kuwa chombo huru.

Kama habari hizi ni uongo,aje mtu kukanusha hapa.
 
Back
Top Bottom