TANZIA Waziri wa Fedha, Dkt. Willliam Mgimwa afariki dunia!

Hivi alikuwa anaumwa nini?bill yake huko si mchezo
 

Sitaki kuamini kama na ww ni wa dizaini hii. kwa nn usinge omboleza kiswahili tukakuelewa?
 
Hakwenda Apolo ndo maana. RIP Mgimwa japo Nape alisema wewe ni Mzigo bt Msamehe tu.
 
Mungu aiweke Roho yake Mahala panapostahili,Amein.
 
Jamani hizi habari zimeanza kitambo sana kuzushwa na hakuna uthibitisho wwt sitatoa r.i.p yangu mpaka serikali iidhinishe au itangaze.
 
Tumeuanza mwaka vibaya.
so sad, may He RIP.
 
kumbe wewe mtani,mla mbwa,poleni sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…