Sielewi ni suala la ukadiriaji wa kodi ndio unawafanya TRA wafunge kwa wingi maduka ya wafanya biashara nchini' sielewi labda TRA wana njama za kumkomoa na kumchonganisha mh Rais ili azidi kuchukiwa zaidi, si kwa kufunga biashara kwa kasi ya ajabu kama hiyo.
Lakini, kwani uchumi kwenu ukoje? Kama kunamabadiriko ya kiuchumi mifukoni mwenu, basi mjue hata kwa wafanya biashara mambo ni mabaya zaidi.
Kama ni kulipa mikopo serikali inayokopa, tutailipa tu, lakini ili ilipwe serikali inahitaji kuwa na walipa kodi wengi zaidi na sio kuwapunguza kwa kufungia biashara zao
Waziri wa Fedha na jopo lako, fanyia utafiti hili'.
Lakini, kwani uchumi kwenu ukoje? Kama kunamabadiriko ya kiuchumi mifukoni mwenu, basi mjue hata kwa wafanya biashara mambo ni mabaya zaidi.
Kama ni kulipa mikopo serikali inayokopa, tutailipa tu, lakini ili ilipwe serikali inahitaji kuwa na walipa kodi wengi zaidi na sio kuwapunguza kwa kufungia biashara zao
Waziri wa Fedha na jopo lako, fanyia utafiti hili'.