Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kimombo hicho??Amefanya nini huyu jamaa?
Mfia dini mvaa kobazi mwigulu sio ndugu yako katika imani hapo mfereji unapwita muda woteWenzetu hawarembi kama sisi na Lameck.
Asnate ngoja nifanye editing [emoji3]*rasm -> rasmi
*siara -> ziara
*wazira hiyo -> wizara hiyo
*Asante/ Ahsante.Asnate ngoja nifanye editing [emoji3]
Uchumi umeyumba mpk akaonywa na WB na IMF.Amefanya nini huyu jamaa?
Asnate ngoja nifanye editing [emoji3]
Ndio[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mhindi?
Ndio[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani raia sisi tumtose mam Samia Hilo halitawezekana kwa Sasa HV ccm wamesha tujulia jinsi ya kutuongozaa hamtaa amini anapita vzr na mwingulu anarudAisee huyu waziri inasikitisha yaani yeye alikuwa siku zote anaamini kupunguza government expenditure kumbe soko lina akili tofauti ya kuona government expenditure inapelekea kupunguza shughuli so reaction was bad. Naamini hapa kwetu angekuwa Dkt Magufuli Mwigulu isingechukua siku. Watanzania ni wastaarabu mno Rais Samia wanamsubili 2025 wamtose