Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Tangia jiwe amefariki mbona umekuwa na hasira sana,.ni dalili za depression?Mfia dini mvaa kobazi mwigulu sio ndugu yako katika imani hapo mfereji unapwita muda wote
Mhaya wa Kaishozi huyo, hovyo kwelikweli kwenye uandishi.*rasm -> rasmi
*siara -> ziara
*wazira hiyo -> wizara hiyo
*waamie -> wahamie
*adharani -> hadharani
*habr -> habari
Afrika kuna serikali au ni takataka zote. Hamieni Burundi! Shenzi!Ni waziri wa fedha bwana kwasi kweteng muingereza mwenye asili ya Ghana leo amefutwa kazi rasm akiwa siara nchini marekani ,ikumbukwe kuwa Ni ndani ya mwezi mmoja tu ndio waziri huyu ameweza kutumikia wizara hiyo toka kuteuliwa kwake.
Kisa sa Cha kufutwa kazi imelezwa kuwa Ni kutokana na Sera yake mbovu alizonazo na kudorora kwa uchumi na Hali tete kwa raia wa uingereza. ,
Amefutwa kazi akiwa ziarani nchini marekani na kutakiwa kurejea nyumbani Mara moja.
Huku kwetu Africa waziri anakuwa na Sera mbovu na majibu ya ovyo ya kutishia na kutaka raia wahamie nchi za jirani lakn ajabu waziri bado yupo anatamba tu Wala hawajibiki na Wala kukanusha kauli zake alizo zitoa hadharani kwenye vyombo vya habari bado anachekelewa na kuendelea kupewa ziara mbali mbali hi leo Yuko marekani kwenda kupika ripoti ya banki ya dunia kwamba Tanzania tutafanya vizuri sana ktk mikopo tunayochota huko [emoji848][emoji848]
Africa Ni ngumu Sana kutoboa ndo maana mungu ana kila sababu kutufanya kuzaliwa huku na kututofautisha kwa kila kitu na wenzetu wazungu imagine week tatu tu uanafutwa kazi bila kujali
Alamsiki
Watz ni makondoo!Aisee huyu waziri inasikitisha yaani yeye alikuwa siku zote anaamini kupunguza government expenditure kumbe soko lina akili tofauti ya kuona government expenditure inapelekea kupunguza shughuli so reaction was bad. Naamini hapa kwetu angekuwa Dkt Magufuli Mwigulu isingechukua siku. Watanzania ni wastaarabu mno Rais Samia wanamsubili 2025 wamtose
Ahahaha acha mkuu tunarekebisha tu mban fresh man tuliaa tukutane kaishozi kyomaaMhaya wa Kaishozi huyo, hovyo kwelikweli kwenye uandishi.
Sas mkuu tumfanyaje waziri huyu kiazi na fisadiAfrika kuna serikali au ni takataka zote. Hamieni Burundi! Shenzi!
mbona ni kama aliomba kujiuzulu au kimomb kwang ttzo [emoji16]Bwana Kwasi Kwarteng ameondolewa akiwa mkutanoni Washington, Marekani.
View attachment 2387102
[emoji2][emoji2]Wewe ni mhindi?
Tungekuwa jasiri ni kuandamana mpk atoke.Sas mkuu tumfanyaje waziri huyu kiazi na fisadi
Sisi huyu Mwigulu na Samia tumeshawapa guarantee miaka 10 hata kama tutafikia hali ya Ethiopia 1984....Hata huyo Lizz hachukui round. Maisha yamekuwa magumu kwenye nchi za magharibi, wanatafutana uchawi.
Waingereza wamemuwahi Kwarteng kabla ajawaambia wasio penda sera zake wahamie nchi ya Haiti🤣🤣🤣Ni waziri wa fedha bwana kwasi kweteng muingereza mwenye asili ya Ghana leo amefutwa kazi rasm akiwa siara nchini marekani ,ikumbukwe kuwa Ni ndani ya mwezi mmoja tu ndio waziri huyu ameweza kutumikia wizara hiyo toka kuteuliwa kwake.
Kisa sa Cha kufutwa kazi imelezwa kuwa Ni kutokana na Sera yake mbovu alizonazo na kudorora kwa uchumi na Hali tete kwa raia wa uingereza. ,
Amefutwa kazi akiwa ziarani nchini marekani na kutakiwa kurejea nyumbani Mara moja.
Huku kwetu Africa waziri anakuwa na Sera mbovu na majibu ya ovyo ya kutishia na kutaka raia wahamie nchi za jirani lakn ajabu waziri bado yupo anatamba tu Wala hawajibiki na Wala kukanusha kauli zake alizo zitoa hadharani kwenye vyombo vya habari bado anachekelewa na kuendelea kupewa ziara mbali mbali hi leo Yuko marekani kwenda kupika ripoti ya banki ya dunia kwamba Tanzania tutafanya vizuri sana ktk mikopo tunayochota huko [emoji848][emoji848]
Africa Ni ngumu Sana kutoboa ndo maana mungu ana kila sababu kutufanya kuzaliwa huku na kututofautisha kwa kila kitu na wenzetu wazungu imagine week tatu tu uanafutwa kazi bila kujali
Alamsiki
Kumuondolea raisi kinga ya mashtaka itasaidia sanaAisee huyu waziri inasikitisha yaani yeye alikuwa siku zote anaamini kupunguza government expenditure kumbe soko lina akili tofauti ya kuona government expenditure inapelekea kupunguza shughuli so reaction was bad. Naamini hapa kwetu angekuwa Dkt Magufuli Mwigulu isingechukua siku. Watanzania ni wastaarabu mno Rais Samia wanamsubili 2025 wamtose
Upo sahihi mkuuYaani raia sisi tumtose mam Samia Hilo halitawezekana kwa Sasa HV ccm wamesha tujulia jinsi ya kutuongozaa hamtaa amini anapita vzr na mwingulu anarud
Huyu mwana mam hafiki mbali hat mwakani hatoboiHata huyo Lizz hachukui round. Maisha yamekuwa magumu kwenye nchi za magharibi, wanatafutana uchawi.
Namshmga San mtu akinimbi eti Samia asubiri 2025 watamtoza Nani kina Nani hkn wakuiangusha ccm madaraka hat viungane vyama vyote ccm anapita ktkt yao huyoooUpo sahihi mkuu
Halafu jamaa anamsifia maguful angemuwajibisha mwigulu wakati huyo magu mwenyewe alikuwa ni mwizi. Kweli watanzania sisi ni hovyo kabisa.
CCM imeshajua akili zetu na uwezo wetu. Wanafanya lolote lile watakalo.