Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Na bendera nusu mlingotiWatupe taarifa rasmi sasa, bila hivyo tutaendelea na uvumi mpaka wimbo wa taifa utakapopigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na bendera nusu mlingotiWatupe taarifa rasmi sasa, bila hivyo tutaendelea na uvumi mpaka wimbo wa taifa utakapopigwa
Sasa wamemzushia Mrema wa Chadema kifo. Mrema kajitokeza hadharani yuko gado. Haya tuonyesheni rais wetu kipenzi cha Watanzania. Alie chaguliwa na Watanzania wote kwa kura nyingi yeye na wabunge wa CCM na madiwani wa CCM.Zikiwa zile zinazowahusu wao ndiyo makatazo na vitisho zikiwa ni zile zisizowahusu wala hutaona wakisema chochote cha kukemea
Huenda pia wakatudanganya Tunataka tumuone mwenyewe akizishutumu barakoa kama alivyofanya kipindi kileWatupe sasa habari rasmi
Hata mm nashangaa watanzania tumefika hapa .Ila cha kujiuliza ni nani katufikisha hapa kwenye chuki ya nanma hii maana kuna kundi linafurahi matatizo ya watu.Tuendako ndo kubaya zaidi itafika mahara hata kutumiwa na maadui ni rahisi maana hatuna upendo tena.I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Huyo Mrema nani anamjua hadi azushiwe kifo?Sasa wamemzushia Mrema wa Chadema kifo. Mrema kajitokeza hadharani yuko gado. Haya tuonyesheni rais wetu kipenzi cha Watanzania. Alie chaguliwa na Watanzania wote kwa kura nyingi yeye na wabunge wa Ccm na madiwani wa Ccm
Mwalimu hakuwa mbinafsi, muuaji, fisadi na alikuwa na utu. Ukiona watu wanasherekea ujue wana maumivu ya siku nyingi miyini. Mfano wizi wa kura, hali ngumu ya maisha nk.I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadili
KileleniKwani nini kimetokea
Ukiona hali inafikia hivyo ujue kuna mahali fulani kuna shida na ni kikundi cha watu au mtu fulani ndio aliyechochea haya mambo na kutuondoa kwenye umoja wetu tuliokuwa nao tangu enzi za mwalimu. Tafakari!I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Mabadiliko yaanzie hukohuko juu kwanza.......I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike
Ccm hoyeee..Hata mm nashangaa watanzania tumefika hapa .Ila cha kujiuliza ni nani katufikisha hapa kwenye chuki ya nanma hii maana kuna kundi linafurahi matatizo ya watu.Tuendako ndo kubaya zaidi itafika mahara hata kutumiwa na maadui ni rahisi maana hatuna upendo tena.
Wakitaka nchi irudi kwenye upendo, Ccm irudishe majimbo/kata zote walizo iba. Pia mgonjwa hakushinda. Mungu hadhihakiwi.Ukiona hali inafikia hivyo ujue kuna mahali fulani kuna shida na ni kikundi cha watu au mtu fulani ndio aliyechochea haya mambo na kutuondoa kwenye umoja wetu tuliokuwa nao tangu enzi za mwalimu. Tafakari!
Panya wasumbufu sana wakianza kuchakura ukiamka kimya ukirudi kulala wanaanza tena. Ila paka akiingia tu...I cement that kabisaaaa maana watu wamekalia umbea tuuu , oo flani anaumwa ooh flani kafa , turudi kwenye misingi yetu ya zamani ya utu ifike mahali usifurahie mwenzio akipata matatizo hata kama ni kweli. Enzi za mwalimu haikuwa hivi tubadilike