Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Balozi Augustine Mahiga akana Tanzania kujitoa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu

Hapo muhishimiwa anamaanisha ile hadithi ya nyama ya nguruwe sili lakini mchuzi nakunywa. Huwezi kubadili itifaki ya mahakama ya kimataifa kwa ajili ya nchi moja tu!!
 
Kwa nini hataki kutaja kipengele kinachokinzana na Sheria zetu? Kwa vyo vyote vile kitakuwa kinaibana Serikali!
Wamepewa maagizo kuhakikisha pandikizi lao linashinda uchaguzi Chadema, ili ikitokea likashindwa kihalali chama kifutwe,
Kwa amri ya msajili.
Chama kikifutwa chadema watakosa pa kufungulia kesi, kwani mahakama za Ibrahimu Mussa ziko kwapani kwa jiwe,
Kimbilio liliokuwa limebaki in Mahakama ya afrika
 
Jiwe kila anachofanya hapa nchini nionavyo ni sahihi na hataki aingiliwe na kwa sababu mahakama za Tz anaziamlisha atakavyo alifikili na huko ataziamlisha, ila mahiga ni spika tu anayeteseka ni jiwe mwenyewe.
 
Na kwanini wakatae wananchi kuwashitaki. ? . nia uvu ndani yake
Kipengele muhimu cha mtu binafsi kuishitaki nchi kwenye mahakama ya Afrika kikiondolewa hiyo mahakama itabaki jengo tu la kujikinga na mvua.
 
Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Augustine Mahiga amesisitiza kuwa Tanzania haijajiondoa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) bali imeiomba iondoe itifaki inayokinzana na sheria ya Tanzania, na endapo ombi hilo lisipotekelezwa, ndipo itajiondoa.

Wakati huo huo Shirika la Amnesty International limesema uamuzi wa Tanzania kuondoa itifaki inayoruhusu watu na NGOs kuishtaki katika Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika (AfCHPR) kunaoneshwa serikali inakwepa kuwajibishwa. Tanzania itakuwa ya pili kuondoa itifaki hiyo baada ya Rwanda.

Source. Swahili times





 
Panapofuka Moshi..............this serves as an official notice of withdrawal. Sasa Mahiga anatueleza nini, na Kabudi anatueleza nini-au mimi kingereza kimenipiga chenga? Mbona moto umesha onekana!!!
 
Hivi kagame na magufuli ni brothers in blood?
 
Hii ndiyo anayokana? Mwenzake ameshasaini
 

Attachments

  • Kujitoa Mahakama ya Africa.jpg
    40.8 KB · Views: 1
Sioni hiyo mahakama ibadili taratibu zake kwa ajili ya nchi moja tu inayolalamika. So yeah this is going south.

Yaani sisi ni waoga kupita hata Burundi na Rwanda, kuna udharimu gani sijui tunafanya mpaka tuogope kiasi hiki hizi mahakama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…