Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Mwigulu ni zaidi ya parish worker, wanaowajua watakuwa wamenielewa, ana kiherehere jamani kuliko ushuzi wa ngomani, kwani hajui kukaa kimya sometimes ni busara?
Ataweza kujibu kila neno kweli huyu?
Au ndiyo anajitutumua aonekane na raisi mpya!?
Wapi aliyetoka jalalani akala maganda akabugi!?? Anayeita wanadamu Mhm Mungu!
Wapi Askofu maarufu kwa ufufuaji?
Wapi waziri wa tangawizi na malimau mwenye mpenzi wakili msomi??
Kimya SANA!
Everyday is Saturday................................😎
Ataweza kujibu kila neno kweli huyu?
Au ndiyo anajitutumua aonekane na raisi mpya!?
Wapi aliyetoka jalalani akala maganda akabugi!?? Anayeita wanadamu Mhm Mungu!
Wapi Askofu maarufu kwa ufufuaji?
Wapi waziri wa tangawizi na malimau mwenye mpenzi wakili msomi??
Kimya SANA!
Everyday is Saturday................................😎