MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Amekwepa issue ya uchaguzi eeee. sawa sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekwepa issue ya uchaguzi eeee. sawa sawa
Hatupo darasani hapa.Nisome vyema ndugu hizo ni pronouns tu hazisimaanishi wewe bali a third party.
Mnashangilia ya kina Gachagua wakati kwenu ndio katiba ina-najisiwa kila siku, and no one raises his finger. Stupid you.
Hatupo darasani hapa.
Sasa mkuu, wewe ungekuwa kwenye nafasi yake ungesema serikali chini ya dkt samia imekosea sana? Guess what'd have been the outcome.What a cheap excuse 🙄?
Hizi Dini siyo njia ya kwenda mbinguni for sure! Huyu Kabudi si ndiye anayejidai ni muanglikana safi? Kutetea uozo ni kawaida yake! Kabudi huyu na yule wa katiba ya warioba wakionana mmoja itabidi afe!!
Hizi Dini siyo njia ya kwenda mbinguni for sure! Huyu Kabudi si ndiye anayejidai ni muanglikana safi? Kutetea uozo ni kawaida yake! Kabudi huyu na yule wa katiba ya warioba wakionana mmoja itabidi afe!!
Sasa mkuu, wewe ungekuwa kwenye nafasi yake ungesema serikali chini ya dkt samia imekosea sana? Guess what'd have been the outcome.
Maswali ya msingi kabisa badala ya kuyajibu kitaaluma ambayo yeye ni mbobevu anajibu kama anahutubia walalahoi wasiojua chochote!
Tatizo la chawa hawako huru, wako huru kusifia rais tu
T
Tatizo la chawa hawako huru, wako huru kusifia rais tu
Jaribu kuwa mvumilivu kwa wenye maoni tofauti na mtazamo wako. Usiwe dikteta kama yule mwenyekiti mtukufu.Bila shaka dawa imeshakuingia. Tulia hivyo hivyo.
Jaribu kuwa mvumilivu kwa wenye maoni tofauti na mtazamo wako. Usiwe dikteta kama yule mwenyekiti mtukufu.
Maswali ya msingi kabisa badala ya kuyajibu kitaaluma ambayo yeye ni mbobevu anajibu kama anahutubia walalahoi wasiojua chochote!
Hapo ndipo mnakosea na watesi wenu wanashangilia.Ni kawaida dawa kuwa chungu hasa kwa wenye mahaba na watekaji.
Ila ukweli mchungu huyu ndugu kama Gachagua wengine hatukumtegemea ahimili hadi mwisho.
Kwa hakika hata angekuwa nani, hakuwa na namna nyingine!
"Mahakama za Tanzania zinaongoza kwa uweledi"