Nyoka kibisa
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 568
- 1,507
Nahitaji kujua kwanini wasomi wazuri wakishakuwa kwenye mfumo wa siasa wanakuwa kama hawajielewi hv?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasisitiza sii kweli, hajatokomea , clip ipo nimeisikiliza aliaga ana kikao akakata simu. Kupata impromptu ya 9 minutes is not a joke!1. Kwanza nikurejeshe kwenye uzi wangu original.
"Waziri wa Tanzania atokomea kusiko julikana katikati ya mahojiano Sauti ya Ujerumani
Kiukweli hunitendei haki kwenye hili la kupalilia teuzi. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!3. Nitambue kuwa always huwa una vested interest na mada zenye vionjo vya kupalilia teuzi ndugu paskali.
Duh...!.4. Bila shaka kila lose ball itokeayo your way, hutaka ku i exploit kikamilifu ila bahati haijasimama, au siyo?
Nimekulisha maneno gani?!5. Nikuitishe kutoniwekea maneno mdomoni kwani hata huyo mwamba haikuwa ajali kutokumtaja directly au hata indirectly.
No hakukombia kaaga ana kikao akakata simu.6. Kwamba hakukimbia and now it is just for the sake of argument?
Naomba kuheshimu mchango wako, lakini ukweli usemwe.7. Kwamba wadanganywa wote siku zote?
Thubutu!
Duh...!. Asante.Tatizo kubwa ni njaa.
Kina Paskali ni mfano wao.
Zinatakiwa teuzi na kuwa consolidated at whatever cost!
Atakiwa ameenda kutafuta Majibu MnembaWaziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi hivi karibuni alikuwa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha DW ambapo katika mahojiano Kabudi na mtangazaji Sudi walizungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea Tanzania kabla ya Waziri huyo kuondoka mwishoni mwa mahojiano hayo bila kuaga.
Kwenye mahojiano hayo mtangazaji Sudi Mnete alimuuliza Kabudi kuhusu kitendo cha serikali kuzuia maandamano ya CHADEMA, ripoti mpya iliyotoka ya Human Rights Watch na hali ya siasa ilivyo nchini.
Kabudi alipoulizwa kuhusu kitendo cha serikali ya Tanzania kufungia The Citizen, Kabudi alidokeza kuwa Mwananchi na The Citizen walifungiwa kwa mujibu wa sheria za nchi na kwamba kama kituo hicho kingekuwa hakijaridhishwa na maamuzi ya TCRA kilikuwa kinaruhusiwa kukata rufaa.
Soma pia: Mbowe ampinga Profesa Kabudi mbele ya halaiki; 'hatuwezi jadili mambo yale yale kwa miaka 30'
Ilipofika dakika ya 9 ya mahojiano Kabudi aliomba udhuru kwamba anaingia kwenye kikao kingine ambapo mara baada ya mtangazaji kuanza kumuuliza Waziri huyo kuhusu hali tete ya kisiasa hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Waziri huyo alikataa simu.
View attachment 3132609
Ama kweli la kuvunda halina ubani.
Source: DW Swahili
Hapa sasa nimeelewa maana yake hata penye moja yeye anasema kumi na mojaTatizo kubwa ni njaa.
Kina Paskali ni mfano wao.
Zinatakiwa teuzi na kuwa consolidated at whatever cost!
Tanzania siyo tu banana republic bali ni matango na madafu republic kabisa.Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi hivi karibuni alikuwa kwenye mahojiano na kituo cha habari cha DW ambapo katika mahojiano Kabudi na mtangazaji Sudi walizungumzia mambo mbalimbali yanayoendelea Tanzania kabla ya Waziri huyo kuondoka mwishoni mwa mahojiano hayo bila kuaga.
Kwenye mahojiano hayo mtangazaji Sudi Mnete alimuuliza Kabudi kuhusu kitendo cha serikali kuzuia maandamano ya CHADEMA, ripoti mpya iliyotoka ya Human Rights Watch na hali ya siasa ilivyo nchini.
Kabudi alipoulizwa kuhusu kitendo cha serikali ya Tanzania kufungia The Citizen, Kabudi alidokeza kuwa Mwananchi na The Citizen walifungiwa kwa mujibu wa sheria za nchi na kwamba kama kituo hicho kingekuwa hakijaridhishwa na maamuzi ya TCRA kilikuwa kinaruhusiwa kukata rufaa.
Soma pia: Mbowe ampinga Profesa Kabudi mbele ya halaiki; 'hatuwezi jadili mambo yale yale kwa miaka 30'
Ilipofika dakika ya 9 ya mahojiano Kabudi aliomba udhuru kwamba anaingia kwenye kikao kingine ambapo mara baada ya mtangazaji kuanza kumuuliza Waziri huyo kuhusu hali tete ya kisiasa hasa katika kipindi hiki ambacho taifa linaelekea kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Waziri huyo alikataa simu.
View attachment 3132609
Ama kweli la kuvunda halina ubani.
Source: DW Swahili
Hapa sasa nimeelewa maana yake hata penye moja yeye anasema kumi na moja
Nasisitiza sii kweli, hajatokomea , clip ipo nimeisikiliza aliaga ana kikao akakata simu. Kupata impromptu ya 9 minutes is not a joke!
Kiukweli hunitendei haki kwenye hili la kupalilia teuzi.
Duh...!.
Nimekulisha maneno gani?!
No hakukombia kaaga ana kikao akakata simu.
Naomba kuheshimu mchango wako, lakini ukweli usemwe.
P
Wewe ulitaka asemeje? Aendelee kupiga porojo na watangazaji wakati ana vikao vya muhimu vinamsubiri? Wabongo tumezoea ubabaishaji na porojoWhat a cheap excuse 🙄?
Niache na uzushi wako ndio maana wananchi wanamfuata wanae amini anasema ukweli wewe nataka nikuite muongo mkubwa na mnafiki!Uliiona alama hii ? ewe kipara?
Niache na uzushi wako ndio maana wananchi wanamfuata wanae amini anasema ukweli wewe nataka nikuite muongo mkubwa na mnafiki!
Mimi ni mwanahabari, na kwa waandishi wa Tanzania, mimi ni bingwa wa impromptu, kitendo cha kupata chance ya impromptu ya dakika 9, kiukweli kabisa ni Kabudi amemuheshimu sana Sudi na DW, mtu huhitaji kuwa Subhana wa Taala kujua baada ya kuaga alikata simu na hakulisikiliza hata swali la mwisho!.Sikiliza tena.
1. Kwamba alitokomea na kuwa kuaga kilikuwa siyo kisingizio tu? Labda kama wewe ni subhana kuyajua hayo?
Alifanya appointment ya simu tuu kupata reaction, impromptu ni hakutoa maswali yalikuwa ya papo kwa papo, tujifunzeni appreciation ya kushukuru kwa madogo ili tujaaliwe makubwa. Sudi mwenyewe amemaliza kwa kushukuru.2. Haipo shaka kuwa kulikuwa na miadi rasmi na bila shaka muda kamili wa interview hiyo uliojulikana Kwa pande zote.
Kuna kitu wengi hawakijui kunihusu mimi, wakati nikiwa kijana, nikiishi London nilitinga Bush House, nikiwa US nilitinga VOA na nikiwa Ujerumani nilitinga DW pale Kolon na nilikuwa correspondent wa DW Radio, wenzetu wanafundishwa being assertive na persistent, mimi nilishindwa kwa uzalendo tuu. Mpaka leo my family lives in US, uzungu umenishinda hivyo nina two families, kule na huku, na niliposoma sana Bible nikagindua issue ya mke mmoja ni urongo wa wazungu, sio mpango wa Mungu, kwasababu wao whites, they are cold blooded, not as hot and active as blacks damu moto, ndio maana nikamshauri hata yule Blaza wangu, "Pongezi Rais Magufuli Kuwa Mkweli Daima. Tuanzishe Church of Africa, Tuoe Wake Wengi, Tuzae Watoto Wengi?"3. Kuwa mwulizaji aliendelea kuuliza maswali wakati mheshimiwa Kisha kula Kona kuwa hakukushangazi wewe? Hapo ndipo wengine kunapotushangaza. Zingatia redio hizi siyo RTD!
Mimi nimejaaliwa jicho la tatu kuona visivyo onekanika, Kabudi alitaka kumkatiza kitambo ila alimheshimu sana. Naomba tumpe Kabudi maua yake, hakuna mtu mwingine angeweza kupangua hoja zile za uongo, uzushi na uzandiki kama Kabudi, lets appreciate this.4. Kwamba uwezekano wa kuwa kala kona upo, ila wewe umeng'ang'ana kuwa hakika hakula kona? Au ulikuwa naye muda huo?
No silaumu kitu bali kwanza nimekushukuru, kuileta humu, maana kusikiliza redio ni nikiwa kwenye gari tuu, hivyo hii sikuisikia.1. Mkuu hapa utakuwa unatulaumu Bure.
Hakula kona, baada ya kuomba udhuru, alimkatia simu Sudi, ila aliendeleza tuu uking'ang'anizi , hata Tido akiwa BBC ni tofauti na akiwa TBC Hassan Marin wa TBC hafai kwenye TV2. Labda nikuulize wewe unajua 100% kuwa hakula kona?
Ni kweli, tukisha kubaliana makubwa ya msingi, haya mengine madogo madogo tutayamaliza tuu, kubwa la msingi kwanza ile kupatikana tuu kuhojiwa na DW ni credits kwake, viongozi wetu wengi ni waoga kama kunguru!, hawajiamini!, hivyo wakitafutwa wanaingia mitini!. Kabudi amepatikana, that alone is plus kwake!. Usually impromptu ni swali moja, mwisho mawili, lakini hii ya 9 minutes, kiukweli Kabudi amewaheshimu sana, angalia hizi impromptu zangu3. Unajua kuna tofauti ya kuaga na kutumia kisingizio cha kuaga?
Hizo sio tuu nazijua, nimekutana nazo sana,na hata mimi nazitumia sana haswa niwapo safarini, mimi napenda sana misosi tofauti tofauti, na hufikia hoteli zile zile, chakula cha hoteli hiyo hula breakfast only, lunch,nakula mtaani dinners nakula viwanja clubs na kujichukulia take away ya kile chakula cha usiku,kuna misosi kwa macho they look so tasty,ila ukila ni tofauti, hivyo ukija next time ukijilikana tuu upo, unaletewa msosi bila hata kuagiza, hivyo nawaambia reception akija mtu wa take away mwambie sipo!Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?4. Hujawasikia hata kusikia wenye kuwaambia watoto majumbani akija fulani mmwambie sipo?
hakuna kigeniKumbe kipi kigeni ndugu?
?!。1. Nimekuonyesha original Uzi wangu. Huyo mwamba hata jina wala uwaziri wake sikutaja.
?!。2. Uzi wangu title nimekupa na content ilikuwa sentensi mbuli tu.
hii ndio jf ya kisasa,3. Mengine ni ya moderator ambao hata interview hiyo hawakujua ilikuwa leo.
pole4. Nukuu zote kwenye maneno yao ni kuniwekea miye maneno na huko si kunitendea haki!
naomba niheshimu mawazo yako1. Hayo ni mawazo yako. Nadi tuna mawazo yetu. Tofautisha kisemwacho mdomoni na kinachoendelea moyoni. Walisema mwenye macho haambiwi tazama.
naamini2. Hata HAMAS na Hezbollah wanasema wanapiga kweli kweli huko. Ni mawazo yako tuamini tu wasemayo?
asanteNaomba kuheshimu mchango wako for the sake of argument, lakini ukweli shuruti usemwe.
kweliAu nasema uongo?
kama semaji siyo,mwasibu?Sisi tunajua kakimbia
Kama prof. aliokotwa jalalani hebu kwa busara zako fikiria hao walimu wa shule za msingi watakuwa kwenye dampo la aina gani?Duh! Profesa wa UDSM akiwa hohehahe sijui ndugu zetu waalimu wa shule za msingi watakuwa na hali gani.
Literature is for literate people.Kama prof. aliokotwa jalalani hebu kwa busara zako fikiria hao walimu wa shule za msingi watakuwa kwenye dampo la aina gani?
Mzee wa watu kachimbaa - ha ha ha.