Kilimo ni muhimu sana katika uchumi wa viwanda, ukishindwa kuwekeza kwenye kilimo Taifa linaanguka, linakuwa ombaomba. Swala la mbolea siyo la Mkenda ni swala zima la nchi na mamlaka zake zote kuipa nguvu wizara ya kilimo ili Taifa lipone.Leo tunasema kuhusu kilimo ambacho kinaajili asilimia 70 ya watanzania
Nimepokea masihihisho Mkuu
Uko SAHIHIMkuu upo sahihi lkn shida ipo kwa wakulima yani hawapendi kutumia mbolea ya Samadi au mboji kwenye kilimo maana kwa upande wa Samadi mifugo inakuwa njee ya zizi kwa zaidi ya masaa 12 kwaiyo ata mbolea anayo kusanya mkulima inakuwa ni ndogo
pia wakulima sio wepesi kutengeneza mbolea ya mboji maana kwa tafiti tulizo fanya imegundulika mboji inafanya kazi sawa na mbolea za chumvi endapo ikiandaliwa vizuri
Mwisho kabisa mkulima anaweza changanya mbolea ya Samadi na zakiwandani kitaalamu tunaita (Microdose) hiyo aina shida kwenye udongo kulinganisha na ile ya kutumia Mbolea ya kiwandani peke yake kwaiyo ni Bora mkulima apewe elimu juu ya matumiz ya mbolea yenye mchanganyiko wa Samadi na zakiwandani
Wanaooba peas ni wanasiasa sio matajiriWaambie matajiri waache kuiba pesa na kuzificha mabenki ya nje wazirufishe wajenge viwanda ikiwemo vya mbolea ili wakuze uchumi na kuleta ajira kwa vijana na mbolea itashuka bei
Mkuu wizara ilisema kwamba bei ya mbolea itakuwa huria yani kila mdau atapanga bei yake kutokana na gharama za uzalishaji alizotumia kwenye kuzalisha iyo mboleaUko SAHIHI
Lakini suluhisho la kuongeza surplus kwenye kilimo hasa cha Biashara sio kuchanganya mbolea bali ni ku stabilize bei ya mbolea ili walimu na wapate zaidi kubiashara
Mbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?Aisee hoja zingine bhana!. Kwa logic yako hii Serikali isiangalie hata kupanda kwa bei ya Petrol na Diesel kwa kuwa haini Visima vya Mafuta!!!
Nauli, tozo na bidhaa nyingine madukani mbona pia zimepanda hata kabla ya mbolea na hukusema? Una ajenda yako dhidi ya waziri wa kilimoMbolea kufika lak na kumi ni kumchafua Waziri tumwambie nani kama mbolea tumepanda..?
Mbolea ni uti wa mgongoMbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?
Umeiona mbolea tu? Nauli hujaziona? Tozo hujaziona? Hoja yako mbona imechagua waziri wa mbolea tu?
Soko huria haimaanishi uzalishaji wauze bei juuMbona bidhaa kibao Kama mabati cement n.k bila kusahau huduma nyingine Kama ada za shule, zinapanda na hulalamiki kwamba Mawaziri husika wachukuwe hatua?
Umeiona mbolea tu? Nauli hujaziona? Tozo hujaziona? Hoja yako mbona imechagua waziri wa mbolea tu?
Matajiri wamo sana tuWanaooba peas ni wanasiasa sio matajiri
Asilimia kubwa ya wezi wa pesa ni wanasiasa Mkuu
Safi Hali hii iendelee Ili tuandike katiba upyaBinafsi napata wasiwasi na huyu Waziri ambae elimu yake ni Professor, namuuliza kweli ameshindwa ku handle tatizo la bei ya mbolea nchini..?, na msaidizi wake Bashe ambaye kimsingi ni mkulima inamana Bashe na wewe kwenye mashamba yako unanunua DAP, KAN, UREA 110,000 kwa mahekari yote hayo uliyonayo. Mbona mnafanya makusudi kumchonganish Rais na wananchi.
Mnachokojua wewe na msaidizi wako ni kujiandikia pesa za Gala za taifa waje kanunue mhindi yenu na kuwahadaa WFP kuwa mmenunua kwa wakulima kumbe ni yenu. Mnachofanya hakikubaliki hata kidogo.
Sasa kama mbolea imetoka Elfu 65,000 hadi 110,000 na Waziri upo kazini hadi sasa na hatuoni mabadiliko unataka Rais afanyeje...?
Kwa sasa bei ya gunia mshindi Elfu 30, viaz 30, maharage 40. Kwa heka moja unatumia mifumo ni 3 ya mbolea bado madawa, vibarua, palizi, uvunaji na usafirishaji. Hii ni kusema ukitaka mkulima hela moja itabidi uuze mahindi gunia 12 hapo ni upate tuu mifuko mi 3 ya mbolea. Kwaio ukitoa ma gharama zingine mkulima atapata wastani wa gunia 3 kama faida yaani Elfu 90 kwa msimu wote wa kilimo. Je hamuoni mnaenda kupunguza wqzalishaji, je namuona mnaenda kuleta baa la njaa..?
Asilimia 80 ya wapiga kura wa CCM ni wakulima, je unataka wananchi waichukie serikali ya CCM. Muda mwingine hawa walimu wenye ma profesa wabaki vyuoni wafundishe hizi kazi wapewe wataalamu ambao kimsingi wana uwezo mkubwa zaidi wa kiutendaji kuliko hawa walimu wenye u Professor.
Rais Samia wakulima tunaimani na wewe fanya jambo bei ya mbolea. Na hili tunakuomba usimwachie mtu sio PM sio Waziri, ingia mwenyewe front msimu wa kilimo ndio huu ili uiepushe nchi yetu na baa la njaa hapo mwakani.
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
kwenye vitu nyeti kama hivi si vibaya ukakaa kimya, kuliko kuja kwenye uzi wa watu , unaogusa moja moja maisha ya baba ako na mama ako, na hata huyo ambaye huwa ana kukojoza! na kuweka uharo wako kama huo! uwage na aibuu!! Ovyo! Ovyo! Ovyo kabsa!Huyu waziri ana kiwanda cha mbolea? Acha kuchafua watu.