Waziri wa Kilimo Profesa Mkenda, unataka Rais Samia akubebeje?

Nakama mnatakama wewe mkenda na raisi wako mnataka kutuchezea ss wakulima mtatuona mmekazana kuzurula dar ,dodoma Basi hamna habari na wakulima ninakuapia nitaitisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya mbolea
 
Nakama mnatakama wewe mkenda na raisi wako mnataka kutuchezea ss wakulima mtatuona mmekazana kuzurula dar ,dodoma Basi hamna habari na wakulima ninakuapia nitaitisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya mbolea
Mpumbavu wewe,kwanza Rais kawasaidia kwenye mahindi amenunua na bei zimepanda sasa,badala ya kuleta upuuzi wa vitisho vya mbu nje ya net kauze mahindi ununue mbolea.

Serikali haihusiki na kupanda bei za mbolea na kamwe haiwezi kuweka ruzuku,sio mara ya kwanza mbolea kupanda 2018 bei zilikuwa 90,000-110,000 na mlinunua .

By the way mama yuko kazini ,moto mtaupata msimu huu ila ujao mambo yatakuwa shwari👇







 
Nakama mnatakama wewe mkenda na raisi wako mnataka kutuchezea ss wakulima mtatuona mmekazana kuzurula dar ,dodoma Basi hamna habari na wakulima ninakuapia nitaitisha maandamano nchi nzima kwa ajili ya mbolea
Tutawaona wakati JF kwenyewe unatumia avatar
 
Hayo Makampuni hayazalishi sukari yanabakinkuahiza nje sasa s n bora tuagize wananchi wapate nafuu
 
Hii
Hii ni hoja kubwa
Usije kushangaa Mkenda akasema hatoi vibali vya mbolea
 
Mawaziri wengine ni mizigo
Waziri mwadilifu ila sio mchapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…