Pfizer
JF-Expert Member
- Mar 25, 2021
- 590
- 807
Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso anashiriki Kongamano la Kumi na Tano la Uwekezaji katika Ujenzi wa Miundombinu (15th International Infrastructure Investment and Construction Forum and Expo) linalofanyika tarehe 19-21 Juni, 2024, Macao SAR, China.
Waziri Aweso ni moja wa waalikwa kati ya Mawaziri mbalimbali duniani wanaohusika na sekta zinazoendana na utekelezaji wa Miradi mbalimbali ikiwa kwa Tanzania Sekta ya Maji imetambuliwa kuwa ya mfano katika mafanikio kwenye muktadha huu.
Aidha lengo pia ni uzoefu wa namna gani Serikali kupitia Wizara ya Maji imefanikiwa katika utekelezaji wa Miradi ya Maji inayotoa huduma kwa wananchi na mageuzi yaliofanyika katika Sekta hii.
Waziri Aweso ni moja wa waalikwa kati ya Mawaziri mbalimbali duniani wanaohusika na sekta zinazoendana na utekelezaji wa Miradi mbalimbali ikiwa kwa Tanzania Sekta ya Maji imetambuliwa kuwa ya mfano katika mafanikio kwenye muktadha huu.
Aidha lengo pia ni uzoefu wa namna gani Serikali kupitia Wizara ya Maji imefanikiwa katika utekelezaji wa Miradi ya Maji inayotoa huduma kwa wananchi na mageuzi yaliofanyika katika Sekta hii.