Waziri wa Maji, Jumaa Aweso: Wachawi kikwazo maji kufika vijijini

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso: Wachawi kikwazo maji kufika vijijini

"Unakwenda Vijijini unakuta 'tank' kubwa lakini hakuna maji, unauliza kwa mkandarasi kwanini hakuna maji anakwambia Mh. Naomba nikunong'oneze namwambia hapana! Waeleze wananchi kwanini maji hakuna anasema hajawahi kuona wananchi wachawi kama Vijijini anasema mabomba Usiku yanapaa kama ndege, namuuliza rubani wake yupo wapi? Kwahiyo wahandisi wa namna ile hawawezi kufanya kazi na wizara"
Ha ha ha haaa! Hii niliikosa. reyzzap njoo huku kuna mwandisi wa maji anataka kukupiku kwa vichekesho...! Eti usiku mabomba yanapaaa!!! Waziri naye kauzu eti na rubani wake yupo wapi!?
 
Huyu Jamaa atakuwa ni Muongo..., Mosi mkandarasi hawezi kutoa majibu ya hivyo, pili angeona kweli hayo asingebaki kufanya kazi hapo angeshaondoka zamani.., na kama kweli kaona apunguze kutumia vilevi

Na hao wananchi angewaambia wampe hio teknolojia aweze kupaisha maji kutoka huko yaliko mpaka majumbani mwa watu..., kwanini tuingia gharama ya mabomba...

Magu wkt flani kwenye hotuba yake alisema wkt wanajenga daraja sehemu ilisgindikana kabisa wakimaliza kujenga huku linabomoka huku tena mpk wakaambiwe iteni wazee wa hapa kaeni nao wafanye mambo yao.

Baada ya kukaa nao daraja likajengwa bila tabu bila msukosuko wowote ule mpk mwisho.
 
Magu wkt flani kwenye hotuba yake alisema wkt wanajenga daraja sehemu ilisgindikana kabisa wakimaliza kujenga huku linabomoka huku tena mpk wakaambiwe iteni wazee wa hapa kaeni nao wafanye mambo yao.

Baada ya kukaa nao daraja likajengwa bila tabu bila msukosuko wowote ule mpk mwisho.
Hao wazee wangewapa position ya Ushauri na kuwaweka kwenye payroll huenda hii SGR ingeshaisha....
 
Hello JF

Hii habari imenichekesha sana
----
Waziri wa Maji, Jumaa_Aweso ameeleza kupitia alipokuwa katika ziara ya kukagua miradi ya maji Vijijini moja ya kituko alichokutana nacho kwenye kijiji kimoja alipomuuliza mkandarasi sababu ya maji kutokuwepo kwenye kijiji hicho licha ya kujengwa tank kubwa la maji.

"Unakwenda Vijijini unakuta 'tank' kubwa lakini hakuna maji, unauliza kwa mkandarasi kwanini hakuna maji anakwambia Mh. Naomba nikunong'oneze namwambia hapana! Waeleze wananchi kwanini maji hakuna anasema hajawahi kuona wananchi wachawi kama Vijijini anasema mabomba Usiku yanapaa kama ndege, namuuliza rubani wake yupo wapi? Kwahiyo wahandisi wa namna ile hawawezi kufanya kazi na wizara"
Kuna kijiji Ileje alikwenda mvua ikiwa inanyesha, wanakijiji wakaisitisha mvua eneo la mkutano tuu ili Mh, Awesso asisingizie mvua na kushindwa kuongea na wananchi.... Ajabu eneo la uwanja liliobaki hadi kijiji kizima mvua ilikuwa ikinyesha isipokuwa eneo la mkutano pekee.

Yawezekana ikawa kweli kabisa hayo madai ya wakandarasi.
 
Wachawi na washirikina wanarejesh nyuma sana taifa kuendelea
Tatizo ni kwamba wanasiasa wanawategemea kwenye mambo yao. Ila ingekuwa kheri sana kama tungekuwa na sera & sheria za kutokomeza ushirikina na uchawi TZ
 
Tatizo ni kwamba wanasiasa wanawategemea kwenye mambo yao. Ila ingekuwa kheri sana kama tungekuwa na sera & sheria za kutokomeza ushirikina na uchawi TZ

Wengi wa wanasiasa ni washirikina, wachawi ndio wapendwa wao.

Nchi za Kiarabu zilifanikiwa kutokomeza hayo mambo baada kuweka sheria za ukikamtwa mchawi au mshirikina unakula kitanzi. Sasa hivi zipo safi kabisa, Muarabu akitaka mganga ina mbidi aje Africa tu kutafuta, arabuni izo vitu zimepotea kabisa.
 
Wengi wa wanasiasa ni washirikina, wachawi ndio wapendwa wao.

Nchi za Kiarabu zilifanikiwa kutokomeza hayo mambo baada kuweka sheria za ukikamtwa mchawi au mshirikina unakula kitanzi. Sasa hivi zipo safi kabisa, Muarabu akitaka mganga ina mbidi aje Africa tu kutafuta, arabuni izo vitu zimepotea kabisa.
Usiombe mwanasiasa akusikie eti una mpango wa kuanzisha kampeni ya kupinga uchawi. Utakuwa adui yake fasta sana
 
Nilifika kijijini Kilindi huko ndani ndani wakati napata chakula nilikutana na mtendaji/ km sijakose anacheo cheo huko ofisini. Analalamika kila akijenga mashimo ya choo kinatitia.Akawa kadata anawaza jinsi atakavyowakilisha baheti yake tena ya mashimo.
Mimi nikamtonya safari hii waite wazee tuu wa kijiji waambie unataka kuanza ujenzi wa mashimo ya choo.Tena utaanza kwa dua /sala kabisa. Alinipigia simu kafanikiwa na maisha yanaenda
 
Nilifika kijijini Kilindi huko ndani ndani wakati napata chakula nilikutana na mtendaji/ km sijakose anacheo cheo huko ofisini. Analalamika kila akijenga mashimo ya choo kinatitia.Akawa kadata anawaza jinsi atakavyowakilisha baheti yake tena ya mashimo.
Mimi nikamtonya safari hii waite wazee tuu wa kijiji waambie unataka kuanza ujenzi wa mashimo ya choo.Tena utaanza kwa dua /sala kabisa. Alinipigia simu kafanikiwa na maisha yanaenda
Wazee watata sana, ajabu wanataka heshima tuu wala sio pesa
 
Kuna matukio niliwahi kushuhudia Kijiji cha Kidoka_Kondoa 2006 katika uchimbaji wa kisima ....Mkandarasi anaweza kua mkweli
 
Haya mambo msidhani hayapo ni uhakika yapo


Mchawi hapendi maendeleo yeyote apenda watu waishi kikuzimuzimi tu

Utakataa kwa kuwa hajakukuta
 
Back
Top Bottom