Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nijuavyo hata mkitumia control number fedha huwa zinarudishwa kutoka BOT kuna kuwaga na A/C 2 za taasisi(BOT) ya makusanyo na ya matumizi kwa kila taasisi, hata kama ni fedha za ukumbi za taasisi lazima zilipwe kwa control number then zinarudishwa bank, hapo waziri kabariki wizi na nijuavyo taasisi yenu hiyo kwa rushwa ni balaa na nusuKipindi hicho iliamuriwa itumike kwenye hili eneo la ununuzi magari mkuu
Hili ni kosa kubwa sn mkuu fedha ya serikali lazima ikusanywe kwa control number, huyu waziri hafai anatakiwa kuwajibika kwa wiziMiaka karibu yote pesa ya nenda kwa usalama huuzwa kama stika za bima mkuu.
Mkuu hujawahi kulipia stika ya nenda kwa usqlama?Mkuu nijuavyo hata mkitumia control number fedha huwa zinarudishwa kutoka BOT kuna kuwaga na A/C 2 za taasisi(BOT) ya makusanyo na ya matumizi kwa kila taasisi, hata kama ni fedha za ukumbi za taasisi lazima zilipwe kwa control number then zinarudishwa bank, hapo waziri kabariki wizi na nijuavyo taasisi yenu hiyo kwa rushwa ni balaa na nusu
Hapana mkuu taasisi yenu kwa rushwa haijambo kabisa hilo lipo wazi kuangia bure kutoka lazima utoe mchangoHaha mkuu mbona una makasiriko?
Nilishalipa mara kibao lakini huwa nalipa nikijua kabisa ni wizi mtupuMkuu hujawahi kulipia stika ya nenda kwa usqlama?
Hii hulipwa mkononi kwenye ofisi ya RTO
Kabisa mkuu hapo umenenaKuna haja ya kuubadili huu mfumo ni unatoa mwanya ya kukwapua
Tuanze na hapo mkuu inabidi mbadilike kwanza nanyie ambao ndiyo wasimamizi wakuu wa sheriaHili liko wazi mkuu halina ubishi
Masauni ni mpiga dili mzuri sn kwanza alikuwa na kashifa ya kufoji umri wakeHuu ni mradi wa wakubwa mkuu.
Hili ni shamba la bibi kila mtu anavuna anachoona kwa urefu wa kamaba yake
Ni kweli usemavyo mkuu lkn nakuhakikishia humu ndwni kuna watu mikono yao ni safi 100%Tuanze na hapo mkuu inabidi mbadilike kwanza nanyie ambao ndiyo wasimamizi wakuu wa sheria
Kwanini JPM hakumpa uwaziri kamili kwa miaka mitano amekuwa chini ya mawaziri wa 4 bila yeye kupandishwa, Kitwanga, Mwigulu, Lugola na SimbachaweneSinaga taarifa zake mkuu ndio nasikia kwako
HR anakutana na mahabusu wapi mkuu? nasemea nyie mnaokamata watu hovyo hovyo na kuwaweka mahabusu bila sababu za msingiNi kweli usemavyo mkuu lkn nakuhakikishia humu ndwni kuna watu mikono yao ni safi 100%
Tuna HR wetu huyo ni mfano wa kuigwa ni mzee mcha Mungu sana hagusagi lolote.
Wapo watakatifu kabisa huwezi amini
ndiyo hivyoKumbe?