Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji7]Mwisho wa siku lazima utasaini kwenye karatasi. Kumbuka karatasi ndo "hard copy". Hizo saini za kwenye "software" muda wowote zaweza kuingia virusi na kuharibika(Kuwa corrupted) i.e. sio salama kivile. Kwa mantiki hiyo ni vyema ukawa na zote mbili soft na hard copies.