Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah nikweli kabisaaaUkifika kwenye hio link m-click secretary
[emoji1313][emoji1313][emoji1313] then utafika kwenye list halisi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora wewe umeelewa🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽🫱🏻🫲🏽Daaaah nikweli kabisaaa
Mkuu unamaanisha United Streets of Arusha?USA ya Arusha
😄🤣😂Kwaio acc yake haiko verified 🤣🤣🤣 halafu post ina 1.39hrs na ina 369 likes.
Acheni mambo ya kitoto basi
Kwahiyo wazungu waki.. nasi tu... kumbe mentality yetu ingali na safari ndefuView attachment 2463461
Waziri wa Mambo ya Nje ya Marekani (U.S. Secretary of State) Blinken ameachia orodha ya ngoma alizozizimia kwa mwaka 2022 ambapo miongoni mwa ngoma hizo, ameitaja Yataniua yake Mbosso Khan akimshirikisha Diamond Platnumz aka Simba.
Acha roho mbaya panapohitajika kupongeza fanya hivyo.Kwahiyo wazungu waki.. nasi tu... kumbe mentality yetu ingali na safari ndefu
Hujistukiagi weee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unabishana na Chief Secretary wa USA?
Tembeleeni official pages za ubalozi wa marekani nchini tanzania
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawajua vyedi mnooo. Hawanisumbui hata
Kwendaaaa hukoooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tembeleeni official pages za ubalozi wa marekani nchini tanzania
Twetter
Utaziona hizo post...