GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hivi hapo Wizarani Kwako hakuna Watendaji waliokuzidi Akili ambazo huna ili wawe Wanakusaidia Kiushauri na usiwe Unakurupuka Kimaongezi?
Waziri Mchengerwa nani alikudanganya kuwa Vilabu vya Simba na Yanga vinamilikiwa na vinasimamiwa na Serikali yako mpaka leo katika Hafla ya Kuwopongeza Tembo Warriors ukasema kuwa vitakuwa Vinatii Muongozo wa Serikali yako katika Kufanikiwa Kwao Kimataifa Klabu Bingwa na Shirikisho?
Yaani Waziri mzima wa Michezo nchini Tanzania hujui kuwa Timu pekee iliyo mikononi mwako na Serikali yako ni ya Taifa Stars na nyinginezo ila huku Simba SC na Yanga SC hamna Ubavu huo wa Kuviamrisha na Kuvishurutisha kama usemavyo na utakavyo?
Tena kwa faida yako sasa ni kwamba hivi Vilabu vikubwa Viwili vya Tanzania ndiyo vina Nguvu ya Kiushawishi Kisiasa, Kijamii na Kiuchumi na vikiamua Mgombea Binafsi GENTAMYCINE niwe Rais wa Tanzania na Mkweo aangushwe mwaka 2025 vinaweza na ndiyo maana Serikali zote zilizopita ziliziheshimu zaidi Simba SC na Yanga SC na bila Nguvu yao Kubwa huenda mwaka 2005 mwana Yanga SC Rais Mstaafu Kikwete asingeshinda na huenda pia hata mwaka 2015 mwana Simba SC Hayati Rais Dkt. Magufuli asingeshinda.
Wewe ni Waziri wa hovyo kupita Maelezo katika hiyo Wizara ya Michezo na sijui ni Sifa zipi zilikuweka hapo na kila Siku nakuona Unaharibu tu badala ya kupatia.
Waziri Mchengerwa nani alikudanganya kuwa Vilabu vya Simba na Yanga vinamilikiwa na vinasimamiwa na Serikali yako mpaka leo katika Hafla ya Kuwopongeza Tembo Warriors ukasema kuwa vitakuwa Vinatii Muongozo wa Serikali yako katika Kufanikiwa Kwao Kimataifa Klabu Bingwa na Shirikisho?
Yaani Waziri mzima wa Michezo nchini Tanzania hujui kuwa Timu pekee iliyo mikononi mwako na Serikali yako ni ya Taifa Stars na nyinginezo ila huku Simba SC na Yanga SC hamna Ubavu huo wa Kuviamrisha na Kuvishurutisha kama usemavyo na utakavyo?
Tena kwa faida yako sasa ni kwamba hivi Vilabu vikubwa Viwili vya Tanzania ndiyo vina Nguvu ya Kiushawishi Kisiasa, Kijamii na Kiuchumi na vikiamua Mgombea Binafsi GENTAMYCINE niwe Rais wa Tanzania na Mkweo aangushwe mwaka 2025 vinaweza na ndiyo maana Serikali zote zilizopita ziliziheshimu zaidi Simba SC na Yanga SC na bila Nguvu yao Kubwa huenda mwaka 2005 mwana Yanga SC Rais Mstaafu Kikwete asingeshinda na huenda pia hata mwaka 2015 mwana Simba SC Hayati Rais Dkt. Magufuli asingeshinda.
Wewe ni Waziri wa hovyo kupita Maelezo katika hiyo Wizara ya Michezo na sijui ni Sifa zipi zilikuweka hapo na kila Siku nakuona Unaharibu tu badala ya kupatia.