Yaani hii habari imeletwa na Waziri wa Tanzania?“Wakati tunaendelea na mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast nikamuuliza kwanini mmemuacha Pacome akaniuliza Pacome ndiyo nani? Nikamjibu ni Mchezaji wa Yanga na ni nyota wa Ligi Kuu”
Mheshimiwa Damas Ndumbaro, Waziri wa Michezo akieleza moja ya mahojiano yake aliyoyafanya na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast.
Source: Bwigane Tv
Ushabiki maandazi unatuzidi, chochote cha yanga unataka kuponda tu.Sasa mleta mada yeye alitaka apate maoni negative...hahahahahaha
Mvp wa ivory coast halafu asimjue?Inawezekana kweli hamjui.
Mkuu hapa ni waziri huyo akimkabidi ufunguo wa gari Pacome kuwa MVP wa ligi yaoUshabiki maandazi unatuzidi, chochote cha yanga unataka kuponda tu.
Mie ushabiki huo sina kwa kweli, ni mpenzi wa simba lakini pacome ni mchezaji mzuri, siwezi kukosa adabu kiasi hiki, waziri wa michezo akisema hamjui samatta sote tutamshangaa ila akisema hamjui abdallah khamis, hatuwezi shangaa
Huyo waziri hapa akimkabidhi gari Pacome baada ya kuwa MVPWaziri Ndumbaro, mleta Mada na Bwigane Tv wote ni ..... Mbumbumbu in Rage voice.
MVP wa Ligi ya Ivory Coast aheshimiwe.
Waziri wa Ivory Cost yuko na Akili Kubwa..
Waziri wa Tanzania ni Chawa au Akili ndogo....ikae hivyoYaani hii habari imeletwa na Waziri wa Tanzania?
Waziri MahadhiMichezo ipo mingi labda waziri wa michezo ya ngono,au atakuwa waziri junior huyo
Sawa sawaUshabiki maandazi unatuzidi, chochote cha yanga unataka kuponda tu.
Mie ushabiki huo sina kwa kweli, ni mpenzi wa simba lakini pacome ni mchezaji mzuri, siwezi kukosa adabu kiasi hiki, waziri wa michezo akisema hamjui samatta sote tutamshangaa ila akisema hamjui abdallah khamis, hatuwezi shangaa
Wengine huwa wanaleta propaganda za kitoto tu.Sasa uliona ile clip ya yule journalist?
Journalist alikuwa anasema umati mkubwa wa mashabiki wa Ivory Coast waliokuwa wanaleta vurugu baada ya kutofuzu walionekana kumlaumu kocha kwanini hakumuita Pacome.
Ni kawaida sana hili. Kwani kuwa waziri wa michezo ni lazima umfahamu kila mchezaji? Kufahamu wachezaji ni swala lingine, huenda kuna hata timu za ligi kuu yao anaweza asizijue.“Wakati tunaendelea na mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast nikamuuliza kwanini mmemuacha Pacome akaniuliza Pacome ndiyo nani? Nikamjibu ni Mchezaji wa Yanga na ni nyota wa Ligi Kuu”
Mheshimiwa Damas Ndumbaro, Waziri wa Michezo akieleza moja ya mahojiano yake aliyoyafanya na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast.
Source: Bwigane Tv
Nakubaliana na wewe [emoji817]. Nchi yako imefanya vibaya kwenye mashindano, wewe unakuja na Taarifa ya kuponda mchezaji wa timu nyingine kisa hushabikii timu hiyo? Suala la Pacome linasaidia nini kufuta aibu ya Taifa stars kuondolewa mapema AFCON?Waziri wa Tanzania ni Chawa au Akili ndogo....ikae hivyo
Tatizo letu watanzania tunadhani dunia nzima wanachanganya .......taaluma na siasa....hakuna hiyooo kwa nini waziri amjue mchexaji wa kila team ? Sio kweli....yeye sio kocha wala scout....acheni siasa za kitoto Ndumbaro ni tapeli wa mpira hilo tunajua“Wakati tunaendelea na mazungumzo na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast nikamuuliza kwanini mmemuacha Pacome akaniuliza Pacome ndiyo nani? Nikamjibu ni Mchezaji wa Yanga na ni nyota wa Ligi Kuu”
Mheshimiwa Damas Ndumbaro, Waziri wa Michezo akieleza moja ya mahojiano yake aliyoyafanya na Waziri wa Michezo wa Ivory Coast.
Source: Bwigane Tv
Wenye akili kama hz mko wengi sana na ndio maana ccm inatawala kila sikuYanga ni timu ndogo kwahiyo sio rahisi mchezaji akicheza yanga akajulikana,angechezea Simba club kubwa na bora angefahamika
Yaani we takataka unaona umecoment kitu cha maana hapa..kwani ukweli si upo wazi..au huoni ukweli wewe..shxga weWenye akili kama hz mko wengi sana na ndio maana ccm inatawala kila siku