Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Rubbish, safari hii mmewaandama wakristo haswa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lipo hapaWaziri mwenyewe MSUKUMA ,alafu MKIRISTO
Umeona jamaa kajipa kazi kama sio anataka iyo nafasi basi anatumika. Maana kakaza shingo kumponda Mashimba. Waswahili tuna roho za ajabu kuombeana mabayaKWANINI UNAVITA KUBWA SANA NA MH.MASHIMBA NDAKI?
Ndiyo maana, jina lako ni Saidioooachana na mambo binafsi tuzungumzie hoja mahususi hao walioondolewa kina Kalemani, Lukuvi, Kabudi nao ulikuwa unautaka uwaziri wao?
Si kweli,jambo la Kisheria linaenda kwa Mamlaka ya sheria.Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Hujaona wapi ? waziri yuko sahihi tunataka vitu vifanywe kitalaamu na si kukurupuka tu.hizo ni siasa kiuhalisia huwezi tu kuikabidhi Narco kwani hao wanauwezo wa kuendesha Narco?Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Hata jambo la hovyo unakubaliana naye sababu tu ni Boss.sisi watz huu ujinga ndo unatufikisha pabaya.mbona Ruto walitofautiana na Uhuru ?Boss wako anapokupa maagizo hata kama si sahihi huna budi kuyafuata.
Rais sio Mama yako anayeweza kukutuma bombani ukachote maji na usitii amri kwa kisingizio cha kuchoka.
Sasa kwa akili yako ulitaka lijibiwe, "ndiyo mama sasa tunaenda kuwakusanya vijana tuwagawie vitalu"Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Huu ni uchonganishi wenye nia OVU dhidi ya huyo waziri wa kilimo, inawezekana mnaitaka hiyo nafasi......Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Yaani kuna watu wanaandika vitu mpaka unashangaa kama waliwahi kuingia darasaniHata jambo la hovyo unakubaliana naye sababu tu ni Boss.sisi watz huu ujinga ndo unatufikisha pabaya.mbona Ruto walitofautiana na Uhuru ?
Mpaka anaongea hivyo ana taarifa nyingi tayari,hategemei wizaraKwamba Rais hakosei?
Hutakiwi kumbishia hadharaniKwanini asibishiwe kama hayupo sahihi. Kwani Raisi ni Mungu akili zako funza kabisa wewe
Hutakiwi kumpinga hadharani,pale unakubali Kisha pembeni ndiyo unatoa hayo maoni/ushauri wako,tatizo vijana hatujui utaratibuKwanini asibishiwe kama hayupo sahihi. Kwani Raisi ni Mungu akili zako funza kabisa wewe
Yule wa nishati aliewaita KAMATI YA BUNGE wapuuzi hajadharau mhimili wa Bunge?Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Taahi.ra wewe, wapi na lini Rais alisema wapewe vijana wa SUA? hivi unajua vyuo vya mifugo vya serikali (LITA) vinazalisha vijana wangapi kwa mwaka? wenyewe waende wapi?Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji
Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.
Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.