Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu

Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu

Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Si kweli,jambo la Kisheria linaenda kwa Mamlaka ya sheria.
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Hujaona wapi ? waziri yuko sahihi tunataka vitu vifanywe kitalaamu na si kukurupuka tu.hizo ni siasa kiuhalisia huwezi tu kuikabidhi Narco kwani hao wanauwezo wa kuendesha Narco?
 
Boss wako anapokupa maagizo hata kama si sahihi huna budi kuyafuata.

Rais sio Mama yako anayeweza kukutuma bombani ukachote maji na usitii amri kwa kisingizio cha kuchoka.
Hata jambo la hovyo unakubaliana naye sababu tu ni Boss.sisi watz huu ujinga ndo unatufikisha pabaya.mbona Ruto walitofautiana na Uhuru ?
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Sasa kwa akili yako ulitaka lijibiwe, "ndiyo mama sasa tunaenda kuwakusanya vijana tuwagawie vitalu"
Mali ya serikali haigawanywi hivyo!
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Huu ni uchonganishi wenye nia OVU dhidi ya huyo waziri wa kilimo, inawezekana mnaitaka hiyo nafasi......
 
Hata jambo la hovyo unakubaliana naye sababu tu ni Boss.sisi watz huu ujinga ndo unatufikisha pabaya.mbona Ruto walitofautiana na Uhuru ?
Yaani kuna watu wanaandika vitu mpaka unashangaa kama waliwahi kuingia darasani
 
Kwanini asibishiwe kama hayupo sahihi. Kwani Raisi ni Mungu akili zako funza kabisa wewe
Hutakiwi kumbishia hadharani
Kwanini asibishiwe kama hayupo sahihi. Kwani Raisi ni Mungu akili zako funza kabisa wewe
Hutakiwi kumpinga hadharani,pale unakubali Kisha pembeni ndiyo unatoa hayo maoni/ushauri wako,tatizo vijana hatujui utaratibu
 
Mashimba Ndaki ana mfumo dume wa kisukuma shida ipo hapo.....plus aliemteua aahhhh
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Yule wa nishati aliewaita KAMATI YA BUNGE wapuuzi hajadharau mhimili wa Bunge?

Narudia, Waziri wa mifugo anapewa JINA BAYA Ili atumbuliwe!!!!!

Fanyeni, ni muda wenu, ingawa na mchache!!!!
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Taahi.ra wewe, wapi na lini Rais alisema wapewe vijana wa SUA? hivi unajua vyuo vya mifugo vya serikali (LITA) vinazalisha vijana wangapi kwa mwaka? wenyewe waende wapi?
 
Pale kuna mikataba ya watu na Serikali, kwaiyo Waziri huwezi kuamua tu Kama Mwenyekiti wa VICOBA lazima taratibu zifuatwe,mnataka Mashimba akurupuke alafu baadaye kibubu Cha wanyonge kichotwe fedha za fidia baada ya serikali kushitakiwa kwa kukiuka mikataba.
 
Back
Top Bottom