Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu

Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu

Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Yuko sahihi shida ni uchawa unawasumbua ndo mnakua akina ndio ndio.


Haya twende, Huyo mhitimu wa SUA anapewa kitalu Ng'ombe anazitoa wapi? Au anapanda nyasi kwenye hicho kitalu?

Wazo la mheshimiwa huenda ni zuri ila sio rahisi kama mnavyo liona.

NARCO huwa wanawakodishia Wafugaji vitalu, wao wanakuja kulisha mifugo yao inapata malisho inanenepa na wanapata fedha ya kulipa na kodi ya kukodishiwa kitalu.

Sasa huyu mwanafunzi anapewa kwa muktadha upi? Amekodi au kapewa msaada? Na atapewa kwa muda gani? Ni lazma wizara ikae na wadau waujadili huo mpango kwa pamoja lasivyo sio kitu rahisi.



Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
1660666329764.png

Nchi hii ngumu, aliyebishiwa kaona poa tu wengine nje wanaungua
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Una tatizo binafsi na Waziri ww, unaonekana una chuki binafsi, stop this nonsense ASAP.
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Wewe kwa nini una vita kubwa na mashimba ndaki?unataka cheo?

kama Mungu hajakupangia hutapata

Kwa chuki ulizonazo kila ukiamka unaeneza fitina

🔊🔊NA HUTAPATA CHOCHOTE MPK SIKU UNAKUFA UTABAKI HIVO HIVO,save hii 🟥
 
achana na mambo binafsi tuzungumzie hoja mahususi hao walioondolewa kina Kalemani, Lukuvi, Kabudi nao ulikuwa unautaka uwaziri wao?
Acha ujinga wewe mpumbavu,unadhani Rais hana taarifa sahihi

Kila siku unakuja na vitaarifa vyako vya kipuuzi,ushindwe na ulegee na ushuke mpk chini
 
Ina maana rais ana akili kuliko watu wote katika nji hii
 
Boss wako anapokupa maagizo hata kama si sahihi huna budi kuyafuata.

Rais sio Mama yako anayeweza kukutuma bombani ukachote maji na usitii amri kwa kisingizio cha kuchoka.
Sasa kama Rais sio mama yako, ni kwa nini mnajipendekeza kwa kumuita mama??
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.

Mbona una chuki sana na Waziri Ndaki? Shida nini mkuu?
Kila siku unafungua nyuzi kumponda na kuonyesha yeye si lolote kakukosea nini?

Kama ni uwaziri mbona Wizara ziko lukuki? Kuna mawaziri kibao wanapuyanga mbona huwasemi? Daily uko na Ndaki
Unaboa sana
 
Ficha ujinga wako taratibu za kumiliki vitalu ziko vizuri sifa kubwa uwe mtanzania, usiwe na sifa ya uhalifu, uwe na uzoefu wa kufuga hizo ni baadhi ya sifa chache kama una sifa nenda kaombe kitalu badala ya kuleta majungu
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Kumshauri kiongozi mkuu ndo kazi ya waziri na kufanya hivyo siyo kumpinga. Mimi nadhani watanzani tunatakiwa kubadilika sana. Nidhamu ya uoga ndo chanzo cha matatizo yetu.
 
Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji

Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili ama kutekeleza maagizo aliyopewa na Mh. Rais kama yalivyo ama kuandika barua ya kujiuzulu na sio kupingana na Mh Rais hadharani na kusema kabisa kwamba anaunda timu ya wataalamu ili kuishauri Sekali.

Hii ni sehemu ya nukuu ya Waziri Mashimba " jambo hili tumelipima na tukaliona linahitaji umakini mkubwa na kwa hiyo ili kutekeleza jambo hili wizara tumeunda timu ya wataalamu kutoka wizara na taasisi mbalimbali zinazohusika na mambo mbalimbali sasa timu hii tunataka ifanye tathmini ya kina ya utendaji na changamoto zilizoko ndani ya Narco ili tuweze kuishauri sawasawa Serikali"

Huu ni utovu wa nidhamu uliopitiliza lakini tukisema humu mnaanza kuhusisha mambo yenu ya udini na ukabila, sijawahi kuona Waziri anapingana na Rais wake kwa sababu madaraka ya waziri amekasimiwa na Mh Rais sasa unaposema anaundia timu ya wataalamu maagizo ya Mh Rais maana yake nini.
Waziri yupo sahihi.
 
Ifikie mahali tuanzishe kozi ya uchawa na majungu kwa kuanzia ngazi ya cheti hadi PHD naona siku hizi vijana wengi wavivu wanaipenda na inawalipa sana na ajira zake zipo nje nje.
 
Sio kweli
Boss wako anapokupa maagizo hata kama si sahihi huna budi kuyafuata.

Rais sio Mama yako anayeweza kukutuma bombani ukachote maji na usitii amri kwa kisingizio cha kuchoka.
 
  1. Waziri wa Mifugo kubishana hadharani na Rais ni utovu wa nidhamu

    Tumeshuhudia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki akipinga hadharani maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyeagiza vitalu vya NARCO vifutwe na kupewa vijana wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo SUA ili kutengeza fursa za ajira kupitia ufugaji Mambo ambayo Waziri alipaswa kuyafanya ni mawili...
    • saidoo25
    • Thread
    • 7 minutes ago
    • hadharani mifugo nidhamu rais sawa utovu wa nidhamu waziri
    • Replies: 6
    • Forum: Jukwaa la Siasa
  2. S

    Waziri Mashimba amvimbia Rais Samia agizo la kufuta vitalu

    Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amemjibu Rais Samia Suluhu Hassan kuwa agizo lake la kutaka kufutwa kwa vitalu vya Ranchi za Taifa NARCO vinavyomilikiwa kisheria na wawekezaji mbalimbali nchini amelipima na kwamba linahitaji umakini mkubwa kutekelezwa. "Mh Rais aliagiza vitalu...
    • saidoo25
    • Thread
    • Saturday at 10:12 AM
    • ikulu mawasiliano luhemeja narco samia suluhu wizara ya mifugo na uvuvi
    • Replies: 51
    • Forum: Jukwaa la Siasa
  3. S

    Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

  4. S

    Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

    Hakuna anayemfitini mtu wewe ndio unafanya fitna kama Rais amekwambia amempa onyo la mwisho wewe ni nani kupinga?
  5. S

    Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

    Kanda haiwezi kutumika kuficha uzembe wa kiongozi eti kisingizio ametoka kanda ya ziwa
  6. S

    Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

    Acheni siasa za udini anahojiwa na Mhe Rais kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake sio kwa sababu ya dini yake kama watu wanakwambia samaki wameisha Ziwa Victoria kwa sababu ameshindwa kudhibiti uvuvi haramu na leo bei ya samaki haishikiki, watu wanauana kila siku kwa migogoro ya wakulima na...
  7. S

    Rais Samia akosa imani na Waziri Mashimba Ndaki

    Acha ujinga tumia akili hakuna anayetaka cheo cha mtu anayetoa uongozi ni Mwenyezi Mungu na sio wewe yaani tusindwe kumuunga mkono Mhe Rais aliyeonyesha kutoridhishwa na utendaji kazi wa Mashimba wewe unaleta mzaha
Huyu jamaa atakuwa kalipwa ili kumchafua waziri Mashimba
 
Kama kwamba mtanzania mwenye akili uko peke yako. Haiwezekani ukamfungulia nyuzi kibao wewe mwenyewe, mbona unamshupalia mh ndaki kama kwamba kuna kitu binafsi unataka utimize malengo kwa kumtumia Mkuu wa nchi!? Umefungua uzi wa kwanza ukaona hautoshi, wa pili, wa tatu, wa nne, wa tano😳😤 kitu gani kilicho jificha nyuma ya pazia hutaki kuwaelewa watanzania sema unataka kutumia fimbo ya mkuu wa nchi kumchapia mh Ndaki?
 
acheni kutetea ujinga Mawaziri wangapi wametumbuliwa. ametumbuliwa Kabudi, Lukuvi, Kalemani, Ndugulile, Kitila Mkumbo, Mwambe, Chamuriho, Prof. Manya, Mwita Waitara na wote hao hawajawahi kujibizana na Mh. Rais hadharani kwa lolote
Halafu wote wakristo!
 
Back
Top Bottom