Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

Wametutandika na tozo, tukaambiwa kelele zimesikika, watafanyia marekebisho makato, kimya.

Tukaambiwa umeme ni 27,000/ utekelezaji zero.

Sasa hivi tunapigwa danadana za chanjo.
Zilongwa na zitendwa tofauti kabisa.
Eeh hii ndio awamu ya 6 katika ubora wake, story nyingi vitendo 0
 
Eti 27,000 uvutiwe umeme watanzania amkeni kutoka usingizini jamani hizo ni porojo tu ila nyuma ya pazia ndo kuna ukweli wote
 
Wameassume wanaotumia 3 phase ni watu wanaojiweza na wafanya biashara ndio maana

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Breaking News: MOTO MKUBWA WATEKETEZA MITAMBO YA UMEME ILIYOPO MSAMVU MOROGORO

Moto mkubwa waunguza na kuteketeza kituo kikubwa cha mitambo ya kupokea, kupoza na kusambaza Umeme kuelekea Mikoa ya Morogoro, Dar es salaam, Tanga na Kilimanjaro

Moto huo bado haujazimika hadi sasa
 
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
Niulize tena namba ya simu, jina,eneo, wilaya,
 
nimehonga 25,000,, surveyor akakuja,,,,nikampiga Kvant ndogo.....akaomba 10,000,kakamilisha mchoro na control number.....nimelipia.....akaomba 15,000 anifungie fasta.....siku wanaafunga nikawapa 20,000= jumla ni kama 100,000 pamoja na mawasiliano,,,
runshwa ngumu sana Tanzania...ngumu mno........
 
Wameassume wanaotumia 3 phase ni watu wanaojiweza na wafanya biashara ndio maana

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app

Hapana mkuu, hayo na mawazo yao yasio na kichwa wala miguu. Wako wengi muno wenye uhitaji wa 3fesi alakini awana uwezo kutokana na ada kubwa mno, 912,000/= sio kidogo mkuu, wenye viwanda vikubwa, vituo vya mafuta ndiyo wenye uwezo huo.



TANESCO muogopeni Mungu ninyi watu,, Mungu apendi ukandamizaji mzehe.
 
Hapana mkuu, hayo na mawazo yao yasio na kichwa wala miguu. Wako wengi muno wenye uhitaji wa 3fesi alakini awana uwezo kutokana na ada kubwa mno, 912,000/= sio kidogo mkuu, wenye viwanda vikubwa, vituo vya mafuta ndiyo wenye uwezo huo.
Wewe ni kwa nini umeamua kutumia 3 phase?

Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
 
Kwani kwa kupunguza gharama za hiyo huduma kumeathiri mishahara yao?
 
Lalamiko lolote linaenda na taarifa muhimu hivyo kama kweli umekwama popote tupatie taarifa tuzifanyie kazi mara moja
Shida yooote ni mama basi hakuna kingine. MagufuliJP will always be remembered forever. Pumzika kwa amani [emoji24] [emoji24] [emoji24] baba
 
Kuleta siasa kwenye shirika muhimu kama tanesco ni hatari sana.

Hiri li nchi silielewi mkuu. Why awaruhusu upinzani/wawekezaji waingie kama mitandao ya simu!! Aise wangeruhusu upinzani wangefanya lamaana munoo.



Tanesco ni jipu

TANESCO
 
Lalamiko lolote linaenda na taarifa muhimu hivyo kama kweli umekwama popote tupatie taarifa tuzifanyie kazi mara moja
Shida yooote ni mama basi hakuna kingine. MagufuliJP will always be remembered forever. Pumzika kwa amani [emoji24] [emoji24] [emoji24] baba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…