Waziri wa nishati aitangaze orodha ya Watanzania ambao Hadi Sasa wameshalipia Tsh 27,000 za kufungiwa umeme Mjini. Tanesco kuna mgomo baridi

Hiri li nchi silielewi mkuu. Why awaruhusu upinzani/wawekezaji waingie kama mitandao ya simu!! Aise wangeruhusu upinzani wangefanya lamaana munoo.



Tanesco ni jipu

TANESCO
Hawawezi kuruhusu hilo, TanesCo ni shamba la bibi kila mjukuu huchuma atakavyo
 
Umeme unatakiwa ufungwe Bure Kwa Wananchi 100% . Kwani baada ya kufungiwa utawalipa umeme the rest of your life.
Pili umeme unazalishwa Kwa maji sehemu kubwa, maji ni free sio uranium.
 
Imeisha iyo umeupiga mwingi sana
 
Sababu ya yote haya ni CHADEMA
machadema haya Mabaya sana[emoji239] yanaupiga mwingi
 
Unahitaji takwimu? Zipo taratibu za kifata ili kupata takwimu halali kwenye taasisi lakini kama una tatizo tupatie taarifa kamili tulifanyie kazi
Wenye matatizo tuko wengi.
Mimi pia, ila sitoi namba ng'o.
Fanyieni marekebisho huduma zenu.
Siyo unakuja kutuchora tuu hapa.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu aliyelipa 27000, siku ya kufungiwa umeme walimwambia mteja awape pesa ili wamfungie, mteja alikataa mpaka sasa hajafungiwa. Ni jirani yangu, nifanyeje kumsaidia?
 
Ifike kipindi serikali pamoja na shirika la umeme nchini TANESCO iuweke wazi mfumo wa malipo juu ya usambazaji wa mradi wa umeme vijijini(REA) kwani gharama zina tofautiana sana kutoka kwa mkazi mmoja na mwingine.
 
Naomba kuuliza kwanini shirika hili(TANESCO)halibinafsishwi kama ilivo kwa makampuni ya simu nchini? Huenda tungeweza kununua 'unit' 100 za umeme kwa shilingi 1000/=.
 
Naomba kuuliza kwanini shirika hili(TANESCO)halibinafsishwi kama ilivo kwa makampuni ya simu nchini? Huenda tungeweza kununua 'unit' 100 za umeme kwa shilingi 1000/=.
labda Hawa makaburu weusi CCM wafe ndio tutapata Viongozi wenye maono hapo Kuna upigaji wa wakubwa hawawezi kuruhusu upinzani TANESCO itakufa kifo Cha Mende
Chaliiiiiiiiiiiiiiii!
 
Warudishe tu gharama ya kuingiza umeme iwe kama zamani!
Hii ya 27,000/ naona tanesco wanachemka

Ova
 

Kuna sehemu watu wanaomba kuongeza meter ( mita separation) ambayo haihitaji mita .
Wote hao hamna aliyekwisha kuunganishiwa
 
Halafu kuna mjinga anakuja anakuambia
  1. Mpe namba ya simu
  2. Mtaa wako
  3. Wilaya
  4. Mkoa
  5. Jina...
As if anakuja kutoa solution
Naunga mkono nimemtumia hizo detail mwaka unakatika sasa
 
Umeongea ukweli mtupu Tanesco wanazingua
 
Mimi nimelipia hiyo Elfu 27.000/- tangu mwezi wa 6 surveyor amekuja lakini ngoma imekuwa nzito kuniletea nguzo na kunifungia umeme Cha ajabu jirani amelipia nyuma yangu tayari ameletewa nguzo na tayari umeme kwake unawaka. Sitaki kusema kuwa kuna mambo ya rushwa kwa sababu sina ushahidi ila hii Wale walio karibu na waziri wamfikishie taarifa kuwa Agizo lake limedharauliwa.
 
Pamoja na yote hayo Tanesco mkuranga kuna urasimu sujawahi kuona watu wame omba umeme na wamesha lipia mpaka leo hawajaunganishiwa umeme mh waziri njoo office ya Tanesco mkuranga ujio ee madudu yaliyopo, na sijui hio kodi ya mjengo utakusanyaje
 
Tuliambiwa hivyo hivyo

tukalipiaa bei kubwa wakatufungia

hakuna shirika pale
Wote wezi.
clowns.
 
Sasa karudi nyumbani kupasha mikono kwa kuwapigia makofi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…