kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Mawazo na mpangilio wa hoja wa Mhe. Mwigulu Nchemba unakosa ladha ya utaalamu wa uchumi. Anajadili issues too theoretical au kama mtu aliyehitimu darasani akahama na skills za darasani kwenda kuongoza.
Kwa nchi hii na rasilimali tulizonazo zinazonufaisha wageni inasikitisha kuona Waziri anaagenda yakutoza Kodi ya vocha, vifurushi na mafuta.
Katika maisha ya kawaida huitaji kuwa mchumi uweze kung'amua kwamba ukiweka Kodi kwenye vocha, mafuta na vifurushi hautopata fedha utapata. Swali alilopaswa kujiuliza nikwanini mataifa mengine hayana tozo kwenye huduma hizi? Alipaswa kujiuliza kwanini mafuta Zambia yapo chini wakati yanapita dar es salaam?
Alipaswa kujiuliza kupandisha mafuta kwa kuongeza shs mia je Kuna athari kubwa kiasi gani kwenye sekta nyingine? Kwa mpangilio wake wa hoja naamini ajawahi kufanya kazi nje ya Tanzania, hajawahi kusimamia taasisi ikasogea, amepata Uwaziri kwa sababu yeye ndiyo msomi kwenye sekta hii katika wabunge waliopo bungeni.
Leo kwake yeye anavyoona biashara ya magendo inaanza kurudi kwamba watu wananunua mafuta nje anaamini Watanzania wanakosa uzalendo? Seriously Waziri wa fedha anaongelea price ziwe juu then watu wawe Wazalendo? Hizi ndizo economic principles alizofunzwa?
Nadhani kwa kuwa ndo tumefika point kila mtu anaweza kuwa Waziri Basi tuendelee kusubiri miaka 60 mingine
Kwa nchi hii na rasilimali tulizonazo zinazonufaisha wageni inasikitisha kuona Waziri anaagenda yakutoza Kodi ya vocha, vifurushi na mafuta.
Katika maisha ya kawaida huitaji kuwa mchumi uweze kung'amua kwamba ukiweka Kodi kwenye vocha, mafuta na vifurushi hautopata fedha utapata. Swali alilopaswa kujiuliza nikwanini mataifa mengine hayana tozo kwenye huduma hizi? Alipaswa kujiuliza kwanini mafuta Zambia yapo chini wakati yanapita dar es salaam?
Alipaswa kujiuliza kupandisha mafuta kwa kuongeza shs mia je Kuna athari kubwa kiasi gani kwenye sekta nyingine? Kwa mpangilio wake wa hoja naamini ajawahi kufanya kazi nje ya Tanzania, hajawahi kusimamia taasisi ikasogea, amepata Uwaziri kwa sababu yeye ndiyo msomi kwenye sekta hii katika wabunge waliopo bungeni.
Leo kwake yeye anavyoona biashara ya magendo inaanza kurudi kwamba watu wananunua mafuta nje anaamini Watanzania wanakosa uzalendo? Seriously Waziri wa fedha anaongelea price ziwe juu then watu wawe Wazalendo? Hizi ndizo economic principles alizofunzwa?
Nadhani kwa kuwa ndo tumefika point kila mtu anaweza kuwa Waziri Basi tuendelee kusubiri miaka 60 mingine