Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana biashara za mabusHalafu hajawai kufanya biashara popote tufike sehemu tuwatumie watu ambao angalau wameshafanya biashara wakaonja machungu ya ulipaji kodi
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”
"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"
"Sisi wenzenu tunaotafsiri dira ya Rais Samia, tumesema itakuwa aibu mno kwa kizazi hiki cha leo ziwepo shughuli zinakwama sababu tu tunataka tusitoe kodi, kwamba tusubiri tuletewa wengine wanaoweza kutozana kodi kutoka Nchi nyingine, hii haileti heshima kwa Nchi yetu na wala hailindi Uhuru wa Nchi yetu, Nchi inapokuwa huru ni lazima ijitegemee"———-Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba kwenye Clouds 360
Phd from UDSM, akili ya kuku na bado akaondoka na PhdMawazo na mpangilio wa hoja wa Mhe. Mwigulu Nchemba unakosa ladha ya utaalamu wa uchumi. Anajadili issues too theoretical au kama mtu aliyehitimu darasani akahama na skills za darasani kwenda kuongoza.
Kwa nchi hii na rasilimali tulizonazo zinazonufaisha wageni inasikitisha kuona Waziri anaagenda yakutoza Kodi ya vocha, vifurushi na mafuta.
Katika maisha ya kawaida huitaji kuwa mchumi uweze kung'amua kwamba ukiweka Kodi kwenye vocha, mafuta na vifurushi hautopata fedha utapata. Swali alilopaswa kujiuliza nikwanini mataifa mengine hayana tozo kwenye huduma hizi? Alipaswa kujiuliza kwanini mafuta Zambia yapo chini wakati yanapita dar es salaam?
Alipaswa kujiuliza kupandisha mafuta kwa kuongeza shs mia je Kuna athari kubwa kiasi gani kwenye sekta nyingine? Kwa mpangilio wake wa hoja naamini ajawahi kufanya kazi nje ya Tanzania, hajawahi kusimamia taasisi ikasogea, amepata Uwaziri kwa sababu yeye ndiyo msomi kwenye sekta hii katika wabunge waliopo bungeni.
Leo kwake yeye anavyoona biashara ya magendo inaanza kurudi kwamba watu wananunua mafuta nje anaamini Watanzania wanakosa uzalendo? Seriously Waziri wa fedha anaongelea price ziwe juu then watu wawe Wazalendo? Hizi ndizo economic principles alizofunzwa?
Nadhani kwa kuwa ndo tumefika point kila mtu anaweza kuwa Waziri Basi tuendelee kusubiri miaka 60 mingine
Mwigulu anao uwezo wa kutumia laki kwa siku kununua vocha,hivyo hawezi kuona makali ya maisha.
Umemsoma vizuri mleta UZI!? Hajalaumu ku copy kutoka nchi zingine, kauliza "unadhani ni kwanini nchi zingine hazitozi kodi kwenye hayo maeneo!?" Mbona vitu vingine ni virahisi tu kuvielewa, havihitaji shule kubwa hadi upotoshe alicho sema mleta UZI!?Ameamua kuwa mbunifu na siyo kuiga eti nchi Fulani wanafanya hivi nami nifanye Kama wao.
Unataka muige mpaka lini?
Mkuu hapa maza katupiga hakuna mtu paleHalafu hajawai kufanya biashara popote tufike sehemu tuwatumie watu ambao angalau wameshafanya biashara wakaonja machungu ya ulipaji kodi
4 watawalaMaadui zetu bado ni wale wale tu:
Ujinga
Umasikini
Maradhi
The circle in that order.
Analipiwa kila kitu na serikali ndiyo maana ana kiburiMwigulu anao uwezo wa kutumia laki kwa siku kununua vocha,hivyo hawezi kuona makali ya maisha.
Darasani alifanya vizuri sana,na amefanya kazi benki kuu kwa muda mrefu tuMawazo na mpangilio wa hoja wa Mhe. Mwigulu Nchemba unakosa ladha ya utaalamu wa uchumi. Anajadili issues too theoretical au kama mtu aliyehitimu darasani akahama na skills za darasani kwenda kuongoza.
Kwa nchi hii na rasilimali tulizonazo zinazonufaisha wageni inasikitisha kuona Waziri anaagenda yakutoza Kodi ya vocha, vifurushi na mafuta.
Katika maisha ya kawaida huitaji kuwa mchumi uweze kung'amua kwamba ukiweka Kodi kwenye vocha, mafuta na vifurushi hautopata fedha utapata. Swali alilopaswa kujiuliza nikwanini mataifa mengine hayana tozo kwenye huduma hizi? Alipaswa kujiuliza kwanini mafuta Zambia yapo chini wakati yanapita dar es salaam?
Alipaswa kujiuliza kupandisha mafuta kwa kuongeza shs mia je Kuna athari kubwa kiasi gani kwenye sekta nyingine? Kwa mpangilio wake wa hoja naamini ajawahi kufanya kazi nje ya Tanzania, hajawahi kusimamia taasisi ikasogea, amepata Uwaziri kwa sababu yeye ndiyo msomi kwenye sekta hii katika wabunge waliopo bungeni.
Leo kwake yeye anavyoona biashara ya magendo inaanza kurudi kwamba watu wananunua mafuta nje anaamini Watanzania wanakosa uzalendo? Seriously Waziri wa fedha anaongelea price ziwe juu then watu wawe Wazalendo? Hizi ndizo economic principles alizofunzwa?
Nadhani kwa kuwa ndo tumefika point kila mtu anaweza kuwa Waziri Basi tuendelee kusubiri miaka 60 mingine
Kula kulala abebi zege kujua uhalisia wa maisha ya watuAnalipiwa kila kitu na serikali ndiyo maana ana kiburi
Mswahili akiwa na njaa ndio huwa na akili.We angalia maraisi wote na 80% ya viongozi wote washawahi kuwa walimu shida na tabu za wenzao wanazijua lakini walipopata tu madaraka hata wa kuwaza tu kuwainua waalimu hayupo washaasau wote.Vocha anapewa fungu na ofisi kwa mawasiliano, kodi halipi kutoka kwenye mshahara wake. Saa ngapi mtaongea nae lugha moja mkaelewana?
Ni kama mnaishi dunia mbili tofauti.
Kuwa na phd sio uwezo wa kuongoza.Darasani alifanya vizuri sana,na amefanya kazi benki kuu kwa muda mrefu tu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Muda mrefu? Imeandikwa kamaliza chuo mwaka mwaka 2004 first degree, masters mwaka 2006, huyu jamaa kaanza ubunge wakati wa awamu ya kwanza ya Kikwete ambayo ni mwaka 2005, huo muda mrefu ni miaka mingapi? au miezi?Darasani alifanya vizuri sana,na amefanya kazi benki kuu kwa muda mrefu tu
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hahahahaaaa.. mambo hayo kama ya Brigedia Dkt.........Tz watu Kwa title hawajambo, lakini hebu njoo kwenye tija kulingana na hizo qualifications kizungumkuti.........matokeo yake ndio mbunge Msukuma huwa akihoji wanamtolea povu.....kazi kwelikweli.Kwa nchi zetu za kiafrika kusoma siyo kuelimika.Wanafanya ufisadi siyo darasa la saba ndio hawa hawa wanaojimwambafy ni maDr na maProf.Afrika,soma ule basi ndio maana wanapenda kweli kuanza na title Dr.....,Prof.......Kwa wenzetu ujinga huo haupo