Waziri wa sasa wa fedha wa Tanzania ana exposure gani kwenye uchumi?

Waziri wa sasa wa fedha wa Tanzania ana exposure gani kwenye uchumi?

Sio dharau lakini elimu ya UD mpaka PhD ni utata kidogo, nondo za UD sio deep , useless and outdated theories kibao na kukariri tuu, no creativity or thinking outside the box na research ni zero, angalia budget ya UD ni ya kulipa mishahara tuu na umeme and what do you expect?
Wewe onyesha hata kimoja ulicho think outside the box sio kuropoka tuu afu huna suluhisho
 
Mleta uzi you have a point, jamaa alikua anajib maswali ya msingi aliyokuwa akiulizwa pale Clouds kwa majibu ya darasani kabisa ( too theoretical) mpk nikashindwa kabisa kumuelewa km huyu ndio Waziri wa fedha
Wewe ulitaka ajibu vipi? Kwani hayo yaliyoandikwa vitabuni unayoita too theoretical yametolewa mbinguni au yamefangiwa research mtaani? Unajikuta mjuaji kumbe empty,type wewe majibu yako ya uhalisia
 
Ni nafuu kutuma kwa njia ya EMS posta kuliko miamala ya simu.
Ni hivi sio wote wataenda huko posta kwa hiyo watakaoenda posta kuna kodi yake na huku kuna kodi kwa hiyo itakuwa.hivi kama ukipanga upate 10 b kwenye miamala ukapata 7 b kutoka 4 b ya kawaida..hapo kuna faida.

Kule posta kama walikuwa wanapata 3 b watapata sasa watapata 6b ko ni Yale yale
 
Mwisho wa mwaka ndio Waziri aje kuulizwa tija ya pesa za mafuta na miamala kama zimekidhi mahitaji au hapana..ila kulia Lia saizi ni utoto.
 
Mwisho wa mwaka ndio Waziri aje kuulizwa tija ya pesa za mafuta na miamala kama zimekidhi mahitaji au hapana..ila kulia Lia saizi ni utoto.
Kutegemea kukamua kodi Ili kuendesha uchumi ni kuua uchumi,kwann wasichochee uzalishaji Ili export ikue.Wakoloni waliendesha nchi kwa uzalishaji na sio kodi na walifanikiwa hadi uchumi ulikuwa mzuri SAwa na baadhi ya nchi za ulaya kama sweden, Norway,nk.Sisi tunashindwa nn raslimali zilizopo hazitumiki kabisa,ardhi pekee tu hata asilimia 20% haifiki matumizi yake.Nani katuroga Hakuna maendeleo bila export.Ukiua sekta binafsi umeua uchumi.
 
Kutegemea kukamua kodi Ili kuendesha uchumi ni kuua uchumi,kwann wasichochee uzalishaji Ili export ikue.Wakoloni waliendesha nchi kwa uzalishaji na sio kodi na walifanikiwa hadi uchumi ulikuwa mzuri SAwa na baadhi ya nchi za ulaya kama sweden, Norway,nk.Sisi tunashindwa nn raslimali zilizopo hazitumiki kabisa,ardhi pekee tu hata asilimia 20% haifiki matumizi yake.Nani katuroga Hakuna maendeleo bila export.Ukiua sekta binafsi umeua uchumi.
Kwanza Africa sio Ulaya,kipindi hicho wazungu walizalisha wenyewe na soko wakawa wenyewe kwa hiyo walijihakikishia soko.

Pili uchumi wetu kwa sehemu kubwa ni informal kwa hiyo kodi ya mafuta haiwezi kuua uchumi maana hizo pesa zinazokusanywa haziendi kulipa mishahara bali zinaenda kurudi kwenye huduma za jamii na miundombinu.

Afrika hii ambayo watu ni maskini swala la kukuza uchumi sio la overnight wala sera za kodi haziwezi kusaidia Sana kukuza uchumi kwa sababu chumi nyingi ni inelastic kwenye Kodi .Ndio maana serikali zinakomaa kuimarisha miundombinu ya uchumi na huduma Ili kuwapunguzia wananchi gharama na kuchochea uchumi.

Tzn hii matumizi ya simu sio ya vitu productive ni maongezi tuu ya kawaida kwa hiyo ukiweka kodi hapo hakuna uchumi unaoathirika hapo.
 
Kwanza Africa sio Ulaya,kipindi hicho wazungu walizalisha wenyewe na soko wakawa wenyewe kwa hiyo walijihakikishia soko.

Pili uchumi wetu kwa sehemu kubwa ni informal kwa hiyo kodi ya mafuta haiwezi kuua uchumi maana hizo pesa zinazokusanywa haziendi kulipa mishahara bali zinaenda kurudi kwenye huduma za jamii na miundombinu.

Afrika hii ambayo watu ni maskini swala la kukuza uchumi sio la overnight wala sera za kodi haziwezi kusaidia Sana kukuza uchumi kwa sababu chumi nyingi ni inelastic kwenye Kodi .Ndio maana serikali zinakomaa kuimarisha miundombinu ya uchumi na huduma Ili kuwapunguzia wananchi gharama na kuchochea uchumi.

Tzn hii matumizi ya simu sio ya vitu productive ni maongezi tuu ya kawaida kwa hiyo ukiweka kodi hapo hakuna uchumi unaoathirika hapo.
Kodi yeyeto inaathiri expenditure.Huwezi kuza uchumi kama 80% ya watu wako awazalishi wamekaa tu.Tza kuna uwiano Mkubwa sana wa raslimali zitumikazo na idadi ya watu.Yaani raslimali ni nyingi sana na hazitumiki sababu hakuna vision ya kuzitumia.Mfano kwann mito iishie baharini badala ya mashambani Ili tuchochee export watu wawe na income ya kumudu kununua wakinunua tunapata kodi kwa maendeleo.Wengi wanakula mara nne kwa wiki badala ya mara nne kwa siku sababu awazalishi Ili kupata kipato.
 
Kodi yeyeto inaathiri expenditure.Huwezi kuza uchumi kama 80% ya watu wako awazalishi wamekaa tu.Tza kuna uwiano Mkubwa sana wa raslimali zitumikazo na idadi ya watu.Yaani raslimali ni nyingi sana na hazitumiki sababu hakuna vision ya kuzitumia.Mfano kwann mito iishie baharini badala ya mashambani Ili tuchochee export watu wawe na income ya kumudu kununua wakinunua tunapata kodi kwa maendeleo.Wengi wanakula mara nne kwa wiki badala ya mara nne kwa siku sababu awazalishi Ili kupata kipato.
Kwa medium term tunahitaji pesa mambo yaende
 
Exposure ni kitu muhimu sana, nafikiri hapa ndipo lilipo tatizo
 
Economics Or Economy?
Bachelor of Economy - UDSM, 2004
Masters of Economy - UDSM, 2006
PhD in Economics - UDSM, 2017
===
Amewahi kufanya kazi kwenye daraja la - Economist I Bank of Tanzania, 2006 - 2010.
 
Bachelor of Economy - UDSM, 2004
Masters of Economy - UDSM, 2006
PhD in Economics - UDSM, 2017
===
Amewahi kufanya kazi kwenye daraja la - Economist I Bank of Tanzania, 2006 - 2010.
Kwahiyo huyu tunatenganisha kwa mkwaju tu (BA/MA/PhD-UDSM). Lipumba (BA/MA-DSM), (MA/PhD-Stanford). Sawa buana.
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Sisi wenzenu tunaotafsiri dira ya Rais Samia, tumesema itakuwa aibu mno kwa kizazi hiki cha leo ziwepo shughuli zinakwama sababu tu tunataka tusitoe kodi, kwamba tusubiri tuletewa wengine wanaoweza kutozana kodi kutoka Nchi nyingine, hii haileti heshima kwa Nchi yetu na wala hailindi Uhuru wa Nchi yetu, Nchi inapokuwa huru ni lazima ijitegemee"———-Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba kwenye Clouds 360
Sasa kilichobaki ni kurudisha kodi ya kichwa kama ilivyokuwa enzi za zamani. Maana kama ni kodi mbona tutoa sana, ukifanya biashara kuna kodi unalipa, wafanyakazi kuna kodi wanalipa ,bidhaa za dukani tunalipia kodi, kama ni kodi basi walete na kodi ya kichwa, kodi ya kukuu na na nyinginezo.
 
Sasa kilichobaki ni kurudisha kodi ya kichwa kama ilivyokuwa enzi za zamani. Maana kama ni kodi mbona tutoa sana, ukifanya biashara kuna kodi unalipa, wafanyakazi kuna kodi wanalipa ,bidhaa za dukani tunalipia kodi, kama ni kodi basi walete na kodi ya kichwa, kodi ya kukuu na na nyinginezo.
ubunifu hakuna
 
"Mtu anayetuma 1000 hadi 2000 anakatwa Tsh.10, anayetuma 20,000 hadi 30,000 anakatwa 960, Mil. 1 hadi Mil. 3 ni 9000 na Mil 3 na kuendelea ni 10,000, kwa anaetuma 100,000 hadi 200,000 anakatwa 2500, kama unaweza kutuma 10,000 kwanini usichangie shughuli za maendeleo?”

"Kwenye chungu, ni lazima bajeti, fedha zitatoka wapi ni lazima tutoe kodi, mwaka huu tumeleta kodi ya miamala, ni vizuri sana mjue hili la kwenye miamala sio tu kodi, hili tunatunisha mfuko, ni solidarity fund, huu ni mfuko wa mshikamano wa Watanzania"

"Sisi wenzenu tunaotafsiri dira ya Rais Samia, tumesema itakuwa aibu mno kwa kizazi hiki cha leo ziwepo shughuli zinakwama sababu tu tunataka tusitoe kodi, kwamba tusubiri tuletewa wengine wanaoweza kutozana kodi kutoka Nchi nyingine, hii haileti heshima kwa Nchi yetu na wala hailindi Uhuru wa Nchi yetu, Nchi inapokuwa huru ni lazima ijitegemee"———-Waziri wa Fedha na Mipango, Dr. Mwigulu Nchemba kwenye Clouds 360
shida si kutoa kodi sawa, shida ni ongezeko la makato sasa
 
Ni kweli anaweza kuwa mchumi daraja la kwanza lakini kama hiyo elimu haionekani kwenye utekelezaji wa majukumu yake haina tofauti na ambae hajasoma uchumi kabisa, achilia mbali aliyepata daraja la chini kwenye uchumi.
elimu yetu si ni ya kukalili tu,ukinasa vizuri vitu kichwani mbona Phd unaifikia kilahisi sana....ndio maana tunaona sasa ktk field inavyokuwa shida
 
Wakuu punguza ni shombo kwa kila kitu, fuatilia kwa makini utamuelewa Mwigulu siyo unavyomdhania. Kwa kujihusisha na masuala ya fedha na uchumi Benki kuu na wizara ya fedha kwa zaidi ya miaka 20, inatosha kwa mwanasiasa.
Pale Benki kuu kwenye ajira za watoto wa viongozi? Pale wanapoiba pesa kwa kuchapisha noti za ziada? Pale Benki kuu wanapolipa madeni hewa?
 
Back
Top Bottom