Waziri wa sasa wa fedha wa Tanzania ana exposure gani kwenye uchumi?


Mhhhhhh "hao wanaotafsiri dira ya Rais" hawajasikia wanavyopigiwa kelele kuwa wakatwe kodi? mbona wameweka pamba masikioni.
 
N/waziri wa fedha ni Eng,
Kuna siku niliona anatoa semina elekezi kwa maofisa wa hazina.
Halafu ndio mshauri wa waziri wa fedha.

Kuna wizara tunafanyia maigizo ndio maana malalamiki hayaishi
 
Phd from UDSM, akili ya kuku na bado akaondoka na Phd
 
Mwigulu anao uwezo wa kutumia laki kwa siku kununua vocha,hivyo hawezi kuona makali ya maisha.

Vocha anapewa fungu na ofisi kwa mawasiliano, kodi halipi kutoka kwenye mshahara wake. Saa ngapi mtaongea nae lugha moja mkaelewana?

Ni kama mnaishi dunia mbili tofauti.
 
Ameamua kuwa mbunifu na siyo kuiga eti nchi Fulani wanafanya hivi nami nifanye Kama wao.

Unataka muige mpaka lini?
Umemsoma vizuri mleta UZI!? Hajalaumu ku copy kutoka nchi zingine, kauliza "unadhani ni kwanini nchi zingine hazitozi kodi kwenye hayo maeneo!?" Mbona vitu vingine ni virahisi tu kuvielewa, havihitaji shule kubwa hadi upotoshe alicho sema mleta UZI!?
 
Maadui zetu bado ni wale wale tu:

Ujinga
Umasikini
Maradhi

The circle in that order.
 
Darasani alifanya vizuri sana,na amefanya kazi benki kuu kwa muda mrefu tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Vocha anapewa fungu na ofisi kwa mawasiliano, kodi halipi kutoka kwenye mshahara wake. Saa ngapi mtaongea nae lugha moja mkaelewana?

Ni kama mnaishi dunia mbili tofauti.
Mswahili akiwa na njaa ndio huwa na akili.We angalia maraisi wote na 80% ya viongozi wote washawahi kuwa walimu shida na tabu za wenzao wanazijua lakini walipopata tu madaraka hata wa kuwaza tu kuwainua waalimu hayupo washaasau wote.
 
Darasani alifanya vizuri sana,na amefanya kazi benki kuu kwa muda mrefu tu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Muda mrefu? Imeandikwa kamaliza chuo mwaka mwaka 2004 first degree, masters mwaka 2006, huyu jamaa kaanza ubunge wakati wa awamu ya kwanza ya Kikwete ambayo ni mwaka 2005, huo muda mrefu ni miaka mingapi? au miezi?
 
Kwa nchi zetu za kiafrika kusoma siyo kuelimika.Wanafanya ufisadi siyo darasa la saba ndio hawa hawa wanaojimwambafy ni maDr na maProf.Afrika,soma ule basi ndio maana wanapenda kweli kuanza na title Dr.....,Prof.......Kwa wenzetu ujinga huo haupo
Hahahahaaaa.. mambo hayo kama ya Brigedia Dkt.........Tz watu Kwa title hawajambo, lakini hebu njoo kwenye tija kulingana na hizo qualifications kizungumkuti.........matokeo yake ndio mbunge Msukuma huwa akihoji wanamtolea povu.....kazi kwelikweli.
 
Aweke hapa publication zake kwenye international peer reviewed journals kama walivyo watu kama prof. Lipumba. Kuna theory zozote au hypothesis za kiuchumi alizofanyia kazi zikaja na matokeo? au kaishia tu kujificha kwenye phd ya kutunukiwa hapo mlimani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…